Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
Ndoa nyingi zenye kupishana umri zindumu kuzidi ambazo mnalingana umri, ni tangu enzi za babu zetuHaya Mambo hayanaga formyula mzee baba, unaweza kuoa mwanamke unayemzidi hata miaka 15 ila bado akakupanda kichwani.
Kikubwa Ni kumpata mwanamke anayekupenda,kukuheshimu, mwaminifu na mwenye hofu na Mungu.Hayo ya kuzidiana umri Ni mbwembwe tu hayana maana.
Binafsi nilioa nikiwa na 28 mke wangu muda huo akiwa na 18, Kwa sasa naenda 36 mwenzangu yupo 26
kumekuwa na pattern kubwa ya vijana kutafutana waoane kwa kigezo cha kukaribiana ama kulingana umri.
Sababu kuu huwa ni "nioe binti mdogo tutaongea nae nini"
Niwajuze tu kwamba kwenye ndoa ni tofauti kabisa na urafiki ama uchumba, kuna natural adjustments zinafanyika ambazo hukuwahi kuzifikiria kabisa, mnajikuta mpo karibu zaidi, mfano mimi na gap langu la miaka 10 tuna vingi sana vya kuongea na mke wangu, adjustments zimefanyika mimi na yeye tukikaa sehem moja naweza kuona naongea na best friend wangu wa kike wa rika sawa, n.k.
Heshima at least ipo, ile resistance ya jeuri, ujuaji, kiburi inaweza kuwepo mimi nikizingua na ninajua wazi kwamba nimekosea lakini nje ya hapo ipo automatically, ukioa mwezako mnaekariiana umri kuna kuwa na resistamce kubwa sababu anajiona mpo sawa
Kwa umri nilionao ingekuwa nae mwenzangu yupo kwenye 34, 35 ama tunalingana tayari angekuwa kaanza kuonyesha dalili za kupoteza mvuto huku mimi nikiwa bado najali urembo, hili nahisi huwa linafanya wengi zaidi kuanza kuchepuka nje na wanawake ambao bado wapo kwenye 20s hadi 30s mbichi (30 - 32)
Nakazia ujumbe wako mkuu“Keep quiet when you’re winning” ni kanuni moja wapo ya mafanikio niliwahi isoma mahala. Mkuu kwenye hizi mambo ukiona una amani na ndoa yako just enjoy haluna haja ya kuona wenye mafarakano walikosea sana. Kwenye ndoa umri kitu kimoja wapo kati ya vingi vya kuangalia. Pia zingatia hizi mambo hazina formula. Leo unaweza kucheka na kujipiga kifua kuwa wewe ni kidume na umeweza ila baada ya muuda ikawa kilio.
Hivi wakati Christina Shusho ana huo umri wa mkeo wa 26yrs kuna aliyewahi fikiri leo angeachika na kuanza kutema shiti kwa mwenzie? Tulia mkuu kama hii ni moment yako ifurahie huijui kesho usiitie nuksi ndoa yako yenye amani kwa kumtangazoa kila mtu kuwa ulipatia na kuona wengine wanakosea.
Hayo tu mkuu.
Age isn't a big deal bro.Ndoa nyingi zenye kupishana umri zindumu kuzidi ambazo mnalingana umri, ni tangu enzi za babu zetu
Ni suala la kuangalia zaidi probability / penye uwezekano (sio uhakika) mkubwa
Hivi kwanini mnajidanganya kuwa wanawake umri ukienda wanapoteza mvuto? Haya mashangazi yana umri gani? Mvuto ni matunzo tu kama sio mambo ya kiafya.
Ndoto wapi asee kaolewa mnataka mabint muwachezee huko chuo ndo waje kuolewaNikajua umeoa lishangazi linakuzidi 10 yrs kumbe ni....
Anyway ulikatisha ndoto ya binti ya kimasomo.
Akasome ili agundue niniNikajua umeoa lishangazi linakuzidi 10 yrs kumbe ni....
Anyway ulikatisha ndoto ya binti ya kimasomo.
Bora umemaliza kabisaa.Hivi kwanini mnajidanganya kuwa wanawake umri ukienda wanapoteza mvuto? Haya mashangazi yana umri gani? Mvuto ni matunzo tu kama sio mambo ya kiafya.
Fainali uzeeni Mkuu wewe 50 ushaanza kuchoka mwili, mwenzako wakati huo ndo anagonga 40 hapo ndo utaona sura ya MWANADADABinafsi nilioa nikiwa na 28 mke wangu muda huo akiwa na 18, Kwa sasa naenda 36 mwenzangu yupo 26
kumekuwa na pattern kubwa ya vijana kutafutana waoane kwa kigezo cha kukaribiana ama kulingana umri.
Sababu kuu huwa ni "nioe binti mdogo tutaongea nae nini"
Niwajuze tu kwamba kwenye ndoa ni tofauti kabisa na urafiki ama uchumba, kuna natural adjustments zinafanyika ambazo hukuwahi kuzifikiria kabisa, mnajikuta mpo karibu zaidi, mfano mimi na gap langu la miaka 10 tuna vingi sana vya kuongea na mke wangu, adjustments zimefanyika mimi na yeye tukikaa sehem moja naweza kuona naongea na best friend wangu wa kike wa rika sawa, n.k.
Heshima at least ipo, ile resistance ya jeuri, ujuaji, kiburi inaweza kuwepo mimi nikizingua na ninajua wazi kwamba nimekosea lakini nje ya hapo ipo automatically, ukioa mwezako mnaekariiana umri kuna kuwa na resistamce kubwa sababu anajiona mpo sawa
Kwa umri nilionao ingekuwa nae mwenzangu yupo kwenye 34, 35 ama tunalingana tayari angekuwa kaanza kuonyesha dalili za kupoteza mvuto huku mimi nikiwa bado najali urembo, hili nahisi huwa linafanya wengi zaidi kuanza kuchepuka nje na wanawake ambao bado wapo kwenye 20s hadi 30s mbichi (30 - 32)
Well said na ni ukweli mtupu.Binafsi nilioa nikiwa na 28 mke wangu muda huo akiwa na 18, Kwa sasa naenda 36 mwenzangu yupo 26
kumekuwa na pattern kubwa ya vijana kutafutana waoane kwa kigezo cha kukaribiana ama kulingana umri.
Sababu kuu huwa ni "nioe binti mdogo tutaongea nae nini"
Niwajuze tu kwamba kwenye ndoa ni tofauti kabisa na urafiki ama uchumba, kuna natural adjustments zinafanyika ambazo hukuwahi kuzifikiria kabisa, mnajikuta mpo karibu zaidi, mfano mimi na gap langu la miaka 10 tuna vingi sana vya kuongea na mke wangu, adjustments zimefanyika mimi na yeye tukikaa sehem moja naweza kuona naongea na best friend wangu wa kike wa rika sawa, n.k.
Heshima at least ipo, ile resistance ya jeuri, ujuaji, kiburi inaweza kuwepo mimi nikizingua na ninajua wazi kwamba nimekosea lakini nje ya hapo ipo automatically, ukioa mwezako mnaekariiana umri kuna kuwa na resistamce kubwa sababu anajiona mpo sawa
Kwa umri nilionao ingekuwa nae mwenzangu yupo kwenye 34, 35 ama tunalingana tayari angekuwa kaanza kuonyesha dalili za kupoteza mvuto huku mimi nikiwa bado najali urembo, hili nahisi huwa linafanya wengi zaidi kuanza kuchepuka nje na wanawake ambao bado wapo kwenye 20s hadi 30s mbichi (30 - 32)
Nchi ya kihuni sana hii🤣napenda kuwabangua korosho walionizidi umri....inaleta ashki ashki atareee