Vijana mnaotaka kuoa single Mother hebu pitieni hapa

Nikwel Mimi na mpenzi wangu tuliachana yeye akaenda kuolewa lakin cha ajabu nilikuwa nikimuitaji ana kuja kunipa penzi na wakati kashaolewa na mpaka anaolewa Mimi sikuwai kuzaanae mtoto
 
Safi sanaaah.
 
Na wale ambao walitaka kutoa ikagoma kutoka tunawaweka kundi lipi?
 
Kama ameua mtoto wake wa kumzaa na damu yake!! jiulize wewe ni nani?? mpaka uka e nae kwa amani maisha yenu yoteee? unajua hkn mtu mwenye maudhi km mume kimahusiano!!! mara ana mchepuko leo, mara hajarudi home! mara umempiga, mara unataka oa mwingine!! weeeee!! sasa oa usubiri tu kifo chako kizuri!!

Pindi ukijua tu siri!! alie toa mimba ni wa kukimbia kabisaaa kuliko ukoma!! na usiangalie nyuma!! haoni tabu hata kukutilia sumu, fitina kazini kwako ili ufukuzwe!! na mara nyingi ni waoga kukupikia msosi anapika house girl tu!


Siyo kwamba ni vipi!! bali ile dhambi aliyoifanya ya kuuua kiumbe bila hatia inamtafuna hata kwenye relationship, atakaa kimagutu magutu tu!! anaweza akaamka akaanza kusema

'' Oooh! Nyarusare nimeota unanikimbia nikikuita unazidi kutokomea kusiko julikana mbali kiasi sikukuona tena''
 
Here we go again most trending hot discussion SINGLE MOTHERS 😊!!
 
Wiki kadhaa zimepita bila ya kuwananga hawa watu, mmeanza tena. Kila mtu ana maamuzi yake wandugu


Ila kwa Singo Mazaz, kama Maelekezo yalivyotoka katika Kikao kilichopita na Yakaazimiwa na Mwenyekiti pamoja na Wajumbe
He he he watu hawana raha bila ya kutafuta wa kuwaweka midomoni teh!Yaani upeo wa kufikiri ndo umefika kikomo hapo!

Its very sad indeed!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…