Vijana mnapo copy contents zetu hapa JF toeni credits kwetu nakwa JF pia

Vijana mnapo copy contents zetu hapa JF toeni credits kwetu nakwa JF pia

Jamaa wanazingua sana!

Ni vema akakucheki ukamruhusu ili Contents zako zitumike lakini wao wanapiga kimya🤣
Mm binafsi situmii sana mitandao ya kijamii nje ya jf na wasap. Youtube ndio kabisa hua naingia huko kama nafuata trailer la muvi. Ndio nilikutana na huyu jamaa sijui anaitwa jamal or something... Kapita na post zangu nyingi tu, kwenye tublog huko na fb ndio balaa...
Huu uzi pia alipitanao 🤣
 
Mm binafsi situmii sana mitandao ya kijamii nje ya jf na wasap. Youtube ndio kabisa hua naingia huko kama nafuata trailer la muvi. Ndio nilikutana na huyu jamaa sijui anaitwa jamal or something... Kapita na post zangu nyingi tu, kwenye tublog huko na fb ndio balaa...
Huu uzi pia alipitanao 🤣
Hawa bila kuwachana makavu watazoea wajinga hawa!
 
Back
Top Bottom