Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Ni chawa na ajiangalie vizur atatumbuliwa na mtaaibika.Kwani wewe ukiacha hizo kejeli,
Unasemaje kuhusu Kafulila?
Je, ni mwizi?
Je, ni fisadi?
Je, kajilimbikizia mali zozote popote?
Je, anafaa kujadiliwa kwa record zake hizo hata kama zimepita?
Hili Taifa tumekuwa watu wa kujali udaku badala ya hatma ya Taifa lenyewe.
Leo Rais Samia anafanya mambo makubwa ila hayapewi uzito badala yake umbea ndio unapewa nguvu.
Kwa hiyo tusimjadili Kafulila kwa kuogopa eti atatumbuliwa?Ni chawa na ajiangalie vizur atatumbuliwa na mtaaibika.
Unakataaje 3bn Mzee Kafulila?,😭😭Sikilizeni, Nyie vijana hasa wale mnaopata nafasi za kuongoza jaribuni kukaa mbali na matendo mabaya ya rushwa pamoja na ufisadi kuna siku majina yenu yatajadiliwa kwa mema kama ilivyo leo kwa Kafulila, Polepole, Silaa na wengine.
Leo naomba mniwie radhi kwa mada hii huenda isiwapendeze baadhi ya watu humu hasa wasiopenda kusikia Kafulila na wazalendo wengine wakitajwa na mtu yoyote kwa mema.
Lakini lazima tukubaliane kwa rekodi hizi za kizalendo zilizowekwa na Cde David Kafulila hapa Tanzania ni ngumu kuuzuia umma kumjadili iwe ni mchana au usiku hata kama tunapenda au hatupendi atajajadiliwa tu kwa merits zake hizo za kizalendo.
Binafsi kwa muda Sasa nimejipa muda wa kutosha wa kufuatilia kile kinachoandikwa humu na kuzungumzwa maeneo mbalimbali kumuhusu David Kafulila.
Nimegundua mambo makuu matatu yaliyo nyuma ya tajwa tajwa hii ya Kafulila kama ifuatavyo:-
1. Kwamba, Leo ukitenda mema au ukatenda mabaya kwa Jamii|umma taarifa zako zote zitaandikwa hewani (clouds) na Umma huo huo hata kama wewe utakuwa nje ya ulingo wa siasa au nje ya nafasi yako hiyo kama ilivyo kwa Kafulila bado umma utakujadili tu.
2. Kwamba, imefika wakati baadhi ya Watanzania hata kama wao wanapenda kupokea rushwa au kutoa rushwa bado wanafurahishwa zaidi na kiongozi anayekataa kutoa au kupokea rushwa kama ilivyo kwa huyu David Kafulila leo.
3. Kwamba, David Kafulila anapendwa na kuaminiwa zaidi na Watanzania walio wengi hasa wenye vimelea vya Hayati baba wa Taifa Mwl Julius Kambarage Nyerere na marais waliofuata akiwemo Rais Samia Suluhu Hassan.
Pia soma <<< Je, sifa anazopewa Kafulila zina ukweli wowote? >>>
Tumjadili ana nn cha maana? Wenzake walileta shobo la kipumbavu kama hilo kiko wapi? Yaan tuache kujadili mambo ya maana tujadili tumbili?Kwahiyo tusimjadili kwa kuogopa atatunbuliwa?
Bahati mbaya hatujui hata Sifa alizoangalia katika kumteua.
Ila tunachojua hata kuwepo kwa Kafulila katika Serikali kuonesha nia ya dhati ya kupambana na rushwa pamoja na ufisadi.
Kama Rais Samia angekuwa anapenda rushwa au Ufisadi kamwe asingemleta Kafulila kwenye Serikali yake.
Kitendo Cha Rais Samia kumteua Kafulila kuonesha nia ya wazi ya kupambana na wizi pamoja na Ufisadi.
Kashfa zipi na sisi tuzijue?Kwenye hiyo list mtoe Polepole. Ana kashfa nyingi kwenye utawala uliopita. Hayuko safi
Hakuna anayekulazimisha kumjadili mkuu wangu ila kelele za Uzalendo wake ndio zinatupigia kelele.Tumjadili ana nn cha maana? Wenzake walileta shobo la kipumbavu kama hilo kiko wapi? Yaan tuache kujadili mambo ya maana tujadili tumbili?
Kafulila is a valuable asset to our countrySikilizeni, Nyie vijana hasa wale mnaopata nafasi za kuongoza jaribuni kukaa mbali na matendo mabaya ya rushwa pamoja na ufisadi kuna siku majina yenu yatajadiliwa kwa mema kama ilivyo leo kwa Kafulila, Polepole, Silaa na wengine.
Leo naomba mniwie radhi kwa mada hii huenda isiwapendeze baadhi ya watu humu hasa wasiopenda kusikia Kafulila na wazalendo wengine wakitajwa na mtu yoyote kwa mema.
Lakini lazima tukubaliane kwa rekodi hizi za kizalendo zilizowekwa na Cde David Kafulila hapa Tanzania ni ngumu kuuzuia umma kumjadili iwe ni mchana au usiku hata kama tunapenda au hatupendi atajajadiliwa tu kwa merits zake hizo za kizalendo.
Binafsi kwa muda Sasa nimejipa muda wa kutosha wa kufuatilia kile kinachoandikwa humu na kuzungumzwa maeneo mbalimbali kumuhusu David Kafulila.
Nimegundua mambo makuu matatu yaliyo nyuma ya tajwa tajwa hii ya Kafulila kama ifuatavyo:-
1. Kwamba, Leo ukitenda mema au ukatenda mabaya kwa Jamii|umma taarifa zako zote zitaandikwa hewani (clouds) na Umma huo huo hata kama wewe utakuwa nje ya ulingo wa siasa au nje ya nafasi yako hiyo kama ilivyo kwa Kafulila bado umma utakujadili tu.
2. Kwamba, imefika wakati baadhi ya Watanzania hata kama wao wanapenda kupokea rushwa au kutoa rushwa bado wanafurahishwa zaidi na kiongozi anayekataa kutoa au kupokea rushwa kama ilivyo kwa huyu David Kafulila leo.
3. Kwamba, David Kafulila anapendwa na kuaminiwa zaidi na Watanzania walio wengi hasa wenye vimelea vya Hayati baba wa Taifa Mwl Julius Kambarage Nyerere na marais waliofuata akiwemo Rais Samia Suluhu Hassan.
Pia soma <<< Je, sifa anazopewa Kafulila zina ukweli wowote? >>>
Ana uzalendo upi? Hapa Tanzania Luna mwanasiasa mzalendo? Alipokuwa anawachangisha watu pesa kwa ajili ya timu pale Songwe kumbe ni usanii mpaka akatumbuliwa. Sasa, subiri, atapotea kabisa kwenye ramani.Hakuna anayekulazimisha kumjadili mkuu wangu ila kelele za Uzalendo wake ndio zinatupigia kelele.
Jamaa amewasambaza kweli mapromoterNi kweli kbs na kwa sasa hvi yupo juu kwa rate ya kulipa chawa wampromote hapa! Akaze buti karibu wajinga wa bongo watamuelewa tu!
Nyerere na Samia, ni mwanga na giza.Sikilizeni, Nyie vijana hasa wale mnaopata nafasi za kuongoza jaribuni kukaa mbali na matendo mabaya ya rushwa pamoja na ufisadi kuna siku majina yenu yatajadiliwa kwa mema kama ilivyo leo kwa Kafulila, Polepole, Silaa na wengine.
Leo naomba mniwie radhi kwa mada hii huenda isiwapendeze baadhi ya watu humu hasa wasiopenda kusikia Kafulila na wazalendo wengine wakitajwa na mtu yoyote kwa mema.
Lakini lazima tukubaliane kwa rekodi hizi za kizalendo zilizowekwa na Cde David Kafulila hapa Tanzania ni ngumu kuuzuia umma kumjadili iwe ni mchana au usiku hata kama tunapenda au hatupendi atajajadiliwa tu kwa merits zake hizo za kizalendo.
Binafsi kwa muda Sasa nimejipa muda wa kutosha wa kufuatilia kile kinachoandikwa humu na kuzungumzwa maeneo mbalimbali kumuhusu David Kafulila.
Nimegundua mambo makuu matatu yaliyo nyuma ya tajwa tajwa hii ya Kafulila kama ifuatavyo:-
1. Kwamba, Leo ukitenda mema au ukatenda mabaya kwa Jamii|umma taarifa zako zote zitaandikwa hewani (clouds) na Umma huo huo hata kama wewe utakuwa nje ya ulingo wa siasa au nje ya nafasi yako hiyo kama ilivyo kwa Kafulila bado umma utakujadili tu.
2. Kwamba, imefika wakati baadhi ya Watanzania hata kama wao wanapenda kupokea rushwa au kutoa rushwa bado wanafurahishwa zaidi na kiongozi anayekataa kutoa au kupokea rushwa kama ilivyo kwa huyu David Kafulila leo.
3. Kwamba, David Kafulila anapendwa na kuaminiwa zaidi na Watanzania walio wengi hasa wenye vimelea vya Hayati baba wa Taifa Mwl Julius Kambarage Nyerere na marais waliofuata akiwemo Rais Samia Suluhu Hassan.
Pia soma <<< Je, sifa anazopewa Kafulila zina ukweli wowote? >>>
Jamaa amewasambaza kweli mapromoter
Unakataaje 3bn Mzee Kafulila?,😭😭
Nimekupa tu HINTS ..acha kutumika dada yangu mpendwa..mbona kazi za kufanya zipo tu nyingiKwanini usitaje wewe huo uji ulionywewa?