Vijana mnapopata nafasi za kiuongozi kaeni mbali na rushwa na Ufisadi, Kuna siku majina yenu yatajadiliwa kama ilivyo leo kwa Kafulila

Vijana mnapopata nafasi za kiuongozi kaeni mbali na rushwa na Ufisadi, Kuna siku majina yenu yatajadiliwa kama ilivyo leo kwa Kafulila

Sikilizeni, Nyie vijana hasa wale mnaopata nafasi za kuongoza jaribuni kukaa mbali na matendo mabaya ya rushwa pamoja na ufisadi kuna siku majina yenu yatajadiliwa kwa mema kama ilivyo leo kwa Kafulila, Polepole, Silaa na wengine.

Leo naomba mniwie radhi kwa mada hii huenda isiwapendeze baadhi ya watu humu hasa wasiopenda kusikia Kafulila na wazalendo wengine wakitajwa na mtu yoyote kwa mema.

Lakini lazima tukubaliane kwa rekodi hizi za kizalendo zilizowekwa na Cde David Kafulila hapa Tanzania ni ngumu kuuzuia umma kumjadili iwe ni mchana au usiku hata kama tunapenda au hatupendi atajajadiliwa tu kwa merits zake hizo za kizalendo.

Binafsi kwa muda Sasa nimejipa muda wa kutosha wa kufuatilia kile kinachoandikwa humu na kuzungumzwa maeneo mbalimbali kumuhusu David Kafulila.

Nimegundua mambo makuu matatu yaliyo nyuma ya tajwa tajwa hii ya Kafulila kama ifuatavyo:-

1. Kwamba, Leo ukitenda mema au ukatenda mabaya kwa Jamii|umma taarifa zako zote zitaandikwa hewani (clouds) na Umma huo huo hata kama wewe utakuwa nje ya ulingo wa siasa au nje ya nafasi yako hiyo kama ilivyo kwa Kafulila bado umma utakujadili tu.

2.Kwamba, imefika wakati baadhi ya Watanzania hata kama wao wanapenda kupokea rushwa au kutoa rushwa bado wanafurahishwa zaidi na kiongozi anayekataa kutoa au kupokea rushwa kama ilivyo kwa huyu David Kafulila leo.

3.Kwamba, David Kafulila anapendwa na kuaminiwa zaidi na Watanzania walio wengi hasa wenye vimelea vya Hayati baba wa Taifa Mwl Julius Kambarage Nyerere na marais waliofuata akiwemo Rais Samia Suluhu Hassan.

Pia soma
<<< Je, sifa anazopewa Kafulila zina ukweli wowote?
<<< Kwanini kila kwenye Wanasiasa 10 wa CCM wanaopendekezwa kugombea uRais David Kafulila lazima awemo?
Mungu ni wetu sote
 
Unahangaika sana kumzuia Kafulila I'll la tambua yule jamaa ni mpango kamili wa Mungu
Ni ujinga kumtaja Mungu, kwa ajili ya TUMBILI.

Hakuna Mungu hapo ni mpango binafsi wa yeye TUMBILI na familia NZIMA ya TUMBILI kitafuta kiki ambayo imegoma.
Kifupi ni upuuzi!
 
Sikilizeni, Nyie vijana hasa wale mnaopata nafasi za kuongoza jaribuni kukaa mbali na matendo mabaya ya rushwa pamoja na ufisadi kuna siku majina yenu yatajadiliwa kwa mema kama ilivyo leo kwa Kafulila, Polepole, Silaa na wengine.

Leo naomba mniwie radhi kwa mada hii huenda isiwapendeze baadhi ya watu humu hasa wasiopenda kusikia Kafulila na wazalendo wengine wakitajwa na mtu yoyote kwa mema.

Lakini lazima tukubaliane kwa rekodi hizi za kizalendo zilizowekwa na Cde David Kafulila hapa Tanzania ni ngumu kuuzuia umma kumjadili iwe ni mchana au usiku hata kama tunapenda au hatupendi atajajadiliwa tu kwa merits zake hizo za kizalendo.

Binafsi kwa muda Sasa nimejipa muda wa kutosha wa kufuatilia kile kinachoandikwa humu na kuzungumzwa maeneo mbalimbali kumuhusu David Kafulila.

Nimegundua mambo makuu matatu yaliyo nyuma ya tajwa tajwa hii ya Kafulila kama ifuatavyo:-

1. Kwamba, Leo ukitenda mema au ukatenda mabaya kwa Jamii|umma taarifa zako zote zitaandikwa hewani (clouds) na Umma huo huo hata kama wewe utakuwa nje ya ulingo wa siasa au nje ya nafasi yako hiyo kama ilivyo kwa Kafulila bado umma utakujadili tu.

2.Kwamba, imefika wakati baadhi ya Watanzania hata kama wao wanapenda kupokea rushwa au kutoa rushwa bado wanafurahishwa zaidi na kiongozi anayekataa kutoa au kupokea rushwa kama ilivyo kwa huyu David Kafulila leo.

3.Kwamba, David Kafulila anapendwa na kuaminiwa zaidi na Watanzania walio wengi hasa wenye vimelea vya Hayati baba wa Taifa Mwl Julius Kambarage Nyerere na marais waliofuata akiwemo Rais Samia Suluhu Hassan.

Pia soma
<<< Je, sifa anazopewa Kafulila zina ukweli wowote?
<<< Kwanini kila kwenye Wanasiasa 10 wa CCM wanaopendekezwa kugombea uRais David Kafulila lazima awemo?
Andiko xuri sana
 
Andiko xuri sana
Mnajitekenya na kucheka wenyewe, Team TUMBILI, CHAWA wa TUMBILI 😅🤣😅🤣.
Hamuoni aibu mnafikiri watu hapa JF ni Bongolala??🤔🤔

Hizi ni ID mbili za Kafulila TUMBILI chawa, au Kafulila mwenyewe.

Mnachekesha sana nyie watu.

Hivi, hivi Huwa mnalipwa shilingi ngapi kwa haya MAIGIZO mnayofanya hapa??

Huwa mnatoa wapi hivi VICHEKESHO???😅🤣😅🤣
 
ABC,/cm-1774858.635023/VUGUVUGU ni account mbili tofauti, zinazotumiwa na TUMBILI na CHAWA wake TUMBILI 🤔🤔
Maudhui ya post, like to each other hapa jukwaani ni ushuda tosha

D mbili wala hazihitajiki kujiridhisha.
 
ABC,/cm-1774858.635023/VUGUVUGU ni account mbili tofauti, zinazotumiwa na TUMBILI na CHAWA wake TUMBILI 🤔🤔
Maudhui ya post, like to each other hapa jukwaani ni ushuda tosha

D mbili wala hazihitajiki kujiridhisha.
Sijui nyie wengine ni wageni hapa Jf
Hapa ID sio topic jadilini topics
 
Sikilizeni, Nyie vijana hasa wale mnaopata nafasi za kuongoza jaribuni kukaa mbali na matendo mabaya ya rushwa pamoja na ufisadi kuna siku majina yenu yatajadiliwa kwa mema kama ilivyo leo kwa Kafulila, Polepole, Silaa na wengine.

Leo naomba mniwie radhi kwa mada hii huenda isiwapendeze baadhi ya watu humu hasa wasiopenda kusikia Kafulila na wazalendo wengine wakitajwa na mtu yoyote kwa mema.

Lakini lazima tukubaliane kwa rekodi hizi za kizalendo zilizowekwa na Cde David Kafulila hapa Tanzania ni ngumu kuuzuia umma kumjadili iwe ni mchana au usiku hata kama tunapenda au hatupendi atajajadiliwa tu kwa merits zake hizo za kizalendo.

Binafsi kwa muda Sasa nimejipa muda wa kutosha wa kufuatilia kile kinachoandikwa humu na kuzungumzwa maeneo mbalimbali kumuhusu David Kafulila.

Nimegundua mambo makuu matatu yaliyo nyuma ya tajwa tajwa hii ya Kafulila kama ifuatavyo:-

1. Kwamba, Leo ukitenda mema au ukatenda mabaya kwa Jamii|umma taarifa zako zote zitaandikwa hewani (clouds) na Umma huo huo hata kama wewe utakuwa nje ya ulingo wa siasa au nje ya nafasi yako hiyo kama ilivyo kwa Kafulila bado umma utakujadili tu.

2.Kwamba, imefika wakati baadhi ya Watanzania hata kama wao wanapenda kupokea rushwa au kutoa rushwa bado wanafurahishwa zaidi na kiongozi anayekataa kutoa au kupokea rushwa kama ilivyo kwa huyu David Kafulila leo.

3.Kwamba, David Kafulila anapendwa na kuaminiwa zaidi na Watanzania walio wengi hasa wenye vimelea vya Hayati baba wa Taifa Mwl Julius Kambarage Nyerere na marais waliofuata akiwemo Rais Samia Suluhu Hassan.

Pia soma
<<< Je, sifa anazopewa Kafulila zina ukweli wowote?
<<< Kwanini kila kwenye Wanasiasa 10 wa CCM wanaopendekezwa kugombea uRais David Kafulila lazima awemo?
Tanzania Uzalendo bado ni tatizo kubwa, Vijana wanashindani kwa Upigaji na maisha ya kifahari.
Nyerere angefanya tunavyofanya ingekuwaje?
 
Sikilizeni, Nyie vijana hasa wale mnaopata nafasi za kuongoza jaribuni kukaa mbali na matendo mabaya ya rushwa pamoja na ufisadi kuna siku majina yenu yatajadiliwa kwa mema kama ilivyo leo kwa Kafulila, Polepole, Silaa na wengine.

Leo naomba mniwie radhi kwa mada hii huenda isiwapendeze baadhi ya watu humu hasa wasiopenda kusikia Kafulila na wazalendo wengine wakitajwa na mtu yoyote kwa mema.

Lakini lazima tukubaliane kwa rekodi hizi za kizalendo zilizowekwa na Cde David Kafulila hapa Tanzania ni ngumu kuuzuia umma kumjadili iwe ni mchana au usiku hata kama tunapenda au hatupendi atajajadiliwa tu kwa merits zake hizo za kizalendo.

Binafsi kwa muda Sasa nimejipa muda wa kutosha wa kufuatilia kile kinachoandikwa humu na kuzungumzwa maeneo mbalimbali kumuhusu David Kafulila.

Nimegundua mambo makuu matatu yaliyo nyuma ya tajwa tajwa hii ya Kafulila kama ifuatavyo:-

1. Kwamba, Leo ukitenda mema au ukatenda mabaya kwa Jamii|umma taarifa zako zote zitaandikwa hewani (clouds) na Umma huo huo hata kama wewe utakuwa nje ya ulingo wa siasa au nje ya nafasi yako hiyo kama ilivyo kwa Kafulila bado umma utakujadili tu.

2.Kwamba, imefika wakati baadhi ya Watanzania hata kama wao wanapenda kupokea rushwa au kutoa rushwa bado wanafurahishwa zaidi na kiongozi anayekataa kutoa au kupokea rushwa kama ilivyo kwa huyu David Kafulila leo.

3.Kwamba, David Kafulila anapendwa na kuaminiwa zaidi na Watanzania walio wengi hasa wenye vimelea vya Hayati baba wa Taifa Mwl Julius Kambarage Nyerere na marais waliofuata akiwemo Rais Samia Suluhu Hassan.

Pia soma
<<< Je, sifa anazopewa Kafulila zina ukweli wowote?
<<< Kwanini kila kwenye Wanasiasa 10 wa CCM wanaopendekezwa kugombea uRais David Kafulila lazima awemo?
Najifunza kitu toka kwa Kafulila
 
Mkuu nakuelewa sana unapojaribu kuhamasisha Uzalendo kwa vijana wetu ila ukweli ni kwamba Tanzania mtu akiwa mzalendo anaonekana fala na hana maana yoyote hata kwenye familia yake.

Unakuta mzazi anamwambia mtoto mbona wewe hujengi Wala huna Magari kama yule mtoto wa Fulani.

Ndio maana vijana wengi wanakimbilia kuiba ili kuzifurahisha Jamii zao
Umemaliza Kila kitu
 
Sikilizeni, Nyie vijana hasa wale mnaopata nafasi za kuongoza jaribuni kukaa mbali na matendo mabaya ya rushwa pamoja na ufisadi kuna siku majina yenu yatajadiliwa kwa mema kama ilivyo leo kwa Kafulila, Polepole, Silaa na wengine.

Leo naomba mniwie radhi kwa mada hii huenda isiwapendeze baadhi ya watu humu hasa wasiopenda kusikia Kafulila na wazalendo wengine wakitajwa na mtu yoyote kwa mema.

Lakini lazima tukubaliane kwa rekodi hizi za kizalendo zilizowekwa na Cde David Kafulila hapa Tanzania ni ngumu kuuzuia umma kumjadili iwe ni mchana au usiku hata kama tunapenda au hatupendi atajajadiliwa tu kwa merits zake hizo za kizalendo.

Binafsi kwa muda Sasa nimejipa muda wa kutosha wa kufuatilia kile kinachoandikwa humu na kuzungumzwa maeneo mbalimbali kumuhusu David Kafulila.

Nimegundua mambo makuu matatu yaliyo nyuma ya tajwa tajwa hii ya Kafulila kama ifuatavyo:-

1. Kwamba, Leo ukitenda mema au ukatenda mabaya kwa Jamii|umma taarifa zako zote zitaandikwa hewani (clouds) na Umma huo huo hata kama wewe utakuwa nje ya ulingo wa siasa au nje ya nafasi yako hiyo kama ilivyo kwa Kafulila bado umma utakujadili tu.

2.Kwamba, imefika wakati baadhi ya Watanzania hata kama wao wanapenda kupokea rushwa au kutoa rushwa bado wanafurahishwa zaidi na kiongozi anayekataa kutoa au kupokea rushwa kama ilivyo kwa huyu David Kafulila leo.

3.Kwamba, David Kafulila anapendwa na kuaminiwa zaidi na Watanzania walio wengi hasa wenye vimelea vya Hayati baba wa Taifa Mwl Julius Kambarage Nyerere na marais waliofuata akiwemo Rais Samia Suluhu Hassan.

Pia soma
<<< Je, sifa anazopewa Kafulila zina ukweli wowote?
<<< Kwanini kila kwenye Wanasiasa 10 wa CCM wanaopendekezwa kugombea uRais David Kafulila lazima awemo?
Ngoja tuone
 
Sikilizeni, Nyie vijana hasa wale mnaopata nafasi za kuongoza jaribuni kukaa mbali na matendo mabaya ya rushwa pamoja na ufisadi kuna siku majina yenu yatajadiliwa kwa mema kama ilivyo leo kwa Kafulila, Polepole, Silaa na wengine.

Leo naomba mniwie radhi kwa mada hii huenda isiwapendeze baadhi ya watu humu hasa wasiopenda kusikia Kafulila na wazalendo wengine wakitajwa na mtu yoyote kwa mema.

Lakini lazima tukubaliane kwa rekodi hizi za kizalendo zilizowekwa na Cde David Kafulila hapa Tanzania ni ngumu kuuzuia umma kumjadili iwe ni mchana au usiku hata kama tunapenda au hatupendi atajajadiliwa tu kwa merits zake hizo za kizalendo.

Binafsi kwa muda Sasa nimejipa muda wa kutosha wa kufuatilia kile kinachoandikwa humu na kuzungumzwa maeneo mbalimbali kumuhusu David Kafulila.

Nimegundua mambo makuu matatu yaliyo nyuma ya tajwa tajwa hii ya Kafulila kama ifuatavyo:-

1. Kwamba, Leo ukitenda mema au ukatenda mabaya kwa Jamii|umma taarifa zako zote zitaandikwa hewani (clouds) na Umma huo huo hata kama wewe utakuwa nje ya ulingo wa siasa au nje ya nafasi yako hiyo kama ilivyo kwa Kafulila bado umma utakujadili tu.

2.Kwamba, imefika wakati baadhi ya Watanzania hata kama wao wanapenda kupokea rushwa au kutoa rushwa bado wanafurahishwa zaidi na kiongozi anayekataa kutoa au kupokea rushwa kama ilivyo kwa huyu David Kafulila leo.

3.Kwamba, David Kafulila anapendwa na kuaminiwa zaidi na Watanzania walio wengi hasa wenye vimelea vya Hayati baba wa Taifa Mwl Julius Kambarage Nyerere na marais waliofuata akiwemo Rais Samia Suluhu Hassan.

Pia soma
<<< Je, sifa anazopewa Kafulila zina ukweli wowote?
<<< Kwanini kila kwenye Wanasiasa 10 wa CCM wanaopendekezwa kugombea uRais David Kafulila lazima awemo?
Kafulila Kwa uzalendo wake huu aendelee hivi hivi
 
Kwa hiyo tusimjadili Kafulila kwa kuogopa eti atatumbuliwa?

Bahati mbaya zaidi sisi hatujui hata sifa alizoangalia katika kumteua pengine hiki tunachokijadili leo hapa yeye alikiona kabla na ndio ikawa sababu ya kumteua.

Ila Watanzania tunachojua hata kuwepo kwa Kafulila katika Serikali kunaonesha nia ya dhati ya Serikali kupambana na rushwa pamoja na ufisadi aliyonayo Mhe Rais.

Kama Rais Samia angekuwa anapenda rushwa au Ufisadi kamwe asingemleta Kafulila kwenye Serikali yake.

Kitendo Cha Rais Samia kumteua Kafulila katika Serikali ya awamu ya sita ni kielelezo Cha wazi kabisa Cha kuonesha nia yake ya wazi ya kupambana na wizi pamoja na Ufisadi katika Serikali yake ya awamu ya 6.
Sauti yako ni kama ya Lucas Mwashambwa

Inasemekana kila mtu ana mtu anayefanana naye sana kama pacha.
😀👍🏽
 
Kwani wewe ukiacha hizo kejeli,

Unasemaje kuhusu Kafulila?

Je, ni mwizi?
Je, ni fisadi?
Je, kajilimbikizia mali zozote popote?
Je, anafaa kujadiliwa kwa record zake hizo hata kama zimepita?

Hili Taifa tumekuwa watu wa kujali udaku badala ya hatma ya Taifa lenyewe.

Leo Rais Samia anafanya mambo makubwa ila hayapewi uzito badala yake umbea ndio unapewa nguvu.
Sawa mkuu
 
Sikilizeni, Nyie vijana hasa wale mnaopata nafasi za kuongoza jaribuni kukaa mbali na matendo mabaya ya rushwa pamoja na ufisadi kuna siku majina yenu yatajadiliwa kwa mema kama ilivyo leo kwa Kafulila, Polepole, Silaa na wengine.

Leo naomba mniwie radhi kwa mada hii huenda isiwapendeze baadhi ya watu humu hasa wasiopenda kusikia Kafulila na wazalendo wengine wakitajwa na mtu yoyote kwa mema.

Lakini lazima tukubaliane kwa rekodi hizi za kizalendo zilizowekwa na Cde David Kafulila hapa Tanzania ni ngumu kuuzuia umma kumjadili iwe ni mchana au usiku hata kama tunapenda au hatupendi atajajadiliwa tu kwa merits zake hizo za kizalendo.

Binafsi kwa muda Sasa nimejipa muda wa kutosha wa kufuatilia kile kinachoandikwa humu na kuzungumzwa maeneo mbalimbali kumuhusu David Kafulila.

Nimegundua mambo makuu matatu yaliyo nyuma ya tajwa tajwa hii ya Kafulila kama ifuatavyo:-

1. Kwamba, Leo ukitenda mema au ukatenda mabaya kwa Jamii|umma taarifa zako zote zitaandikwa hewani (clouds) na Umma huo huo hata kama wewe utakuwa nje ya ulingo wa siasa au nje ya nafasi yako hiyo kama ilivyo kwa Kafulila bado umma utakujadili tu.

2.Kwamba, imefika wakati baadhi ya Watanzania hata kama wao wanapenda kupokea rushwa au kutoa rushwa bado wanafurahishwa zaidi na kiongozi anayekataa kutoa au kupokea rushwa kama ilivyo kwa huyu David Kafulila leo.

3.Kwamba, David Kafulila anapendwa na kuaminiwa zaidi na Watanzania walio wengi hasa wenye vimelea vya Hayati baba wa Taifa Mwl Julius Kambarage Nyerere na marais waliofuata akiwemo Rais Samia Suluhu Hassan.

Pia soma
<<< Je, sifa anazopewa Kafulila zina ukweli wowote?
<<< Kwanini kila kwenye Wanasiasa 10 wa CCM wanaopendekezwa kugombea uRais David Kafulila lazima awemo?
Ushauri mzuri sana
 
Back
Top Bottom