Vijana Morogoro waikubali na kuisifia Katiba Inayopendekezwa

Vijana Morogoro waikubali na kuisifia Katiba Inayopendekezwa

bmbalamwezi

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2015
Posts
788
Reaction score
195
Vijana Morogoro waikubali na kuisifia Katiba inayopendekezwa. Vijana Mkoani Morogoro wamesema kuwa Katiba Inayopendekezwa ni nzuri sana kwani imewajali vijana hata masuala yao ya michezo. Kutokana na kuikubali Katiba Inayopendekezwa wanawaomba vijana wenzao kote nchini kuipigia kura ya NDIYO. Huu ni ukweli usiopingika kuwa Katiba hii imejali makundi karibu yote. Hima vijana endelea kuisoma katiba kwa makini zaidi ili unapopiga kura yako ya ndiyo upige kura yako kwa uelewa. Tunaishukuru Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwa kutuongezea muda wa kuisoma na kuielewa vizuri kabla ya kupiga kura ya maoni.
 
Vijana Morogoro waikubali na kuisifia Katiba inayopendekezwa. Vijana Mkoani Morogoro wamesema kuwa Katiba Inayopendekezwa ni nzuri sana kwani imewajali vijana hata masuala yao ya michezo. Kutokana na kuikubali Katiba Inayopendekezwa wanawaomba vijana wenzao kote nchini kuipigia kura ya NDIYO. Huu ni ukweli usiopingika kuwa Katiba hii imejali makundi karibu yote. Hima vijana endelea kuisoma katiba kwa makini zaidi ili unapopiga kura yako ya ndiyo upige kura yako kwa uelewa. Tunaishukuru Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwa kutuongezea muda wa kuisoma na kuielewa vizuri kabla ya kupiga kura ya maoni.

Hao ndiyo raia wanaojua na wanaotamani nchi yao iwe na Katiba Mpya ambayo ndiyo Sheria mama ya nchi yetu, vijana hawa ni wa mfano wa kuigwa ndiyo maana wanasema "Katiba Inayopendekezwa ni nzuri sana kwani imewajali vijana hata masuala yao ya michezo"
 
Vijana wa morogoro mm binafsi nawapongeza sana kwa kuonyesha msimamo wenu kwa kuwa vijana bado tunalo jkumu la kuisoma na kuielewa katiba inayopendekezwa ili tusije tukaingia kwenye mtego wa watu wachache wanaendeleza kampeni ya upotoshaji kuhusu katiba inayopendekezwa,la msingi tuisome popote tulipo ,tuielewe na hatimaye tufanye uamuzi sahihi wakati wa kupiga kura ya maoni.Nimeguswa sna na ujasiri huu wa vijana wa morogoro kwa kuwa wamefungua njia kwetu ss ambao tulikuwa tunadhani swala hili la katiba inayopendekezwa halituhusu,shime vijana wenzangu tuisome katiba pendekezwa
 
Wewe usiyevuta bangi akili yako ni dhaifu,just a little while only time will tell
 
Tena sema vijana wa CCM/nyinyiemu wanaoishi kwa majaaliwa ya buku 7 za Lumumba
 
Vijana wa morogoro mm binafsi nawapongeza sana kwa kuonyesha msimamo wenu kwa kuwa vijana bado tunalo jkumu la kuisoma na kuielewa katiba inayopendekezwa ili tusije tukaingia kwenye mtego wa watu wachache wanaendeleza kampeni ya upotoshaji kuhusu katiba inayopendekezwa,la msingi tuisome popote tulipo ,tuielewe na hatimaye tufanye uamuzi sahihi wakati wa kupiga kura ya maoni.Nimeguswa sna na ujasiri huu wa vijana wa morogoro kwa kuwa wamefungua njia kwetu ss ambao tulikuwa tunadhani swala hili la katiba inayopendekezwa halituhusu,shime vijana wenzangu tuisomse katiba pendekezwa
Naona unajikoment mwenyewe bila hata aibu intarahamwe weee


swissme
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Wewe usiyevuta bangi akili yako ni dhaifu,just a little while only time will tell

Man acha hizo kwani huliji hilo au unaleta ushabiki usiouelewa?vijana siku hizi wanajielewa wameshtuka kutumiwa na baadhi ya watu wasioitakia mema Tanzania, wanawatumia kama chambo ili wafanikishe mambo yao wakipata wanasepa na kuwachinjia baharini.
 
Naona unajikoment mwenyewe bila hata aibu intarahamwe weee


swissme

Swssme unachojaribu kufanya hapa ni kuzuia mafuriko kwa kutumia ulimi,najua unaumia sana unapoona vijana wengi wamejitambua na wanajiandaa kufanya maamuzi sahihi, umebaki peke yako na mawao hasi,unatamani nchi hii iwe kama Somalia I tell u it cant be,vijana wako timamu wewe usiwjielewa!!!
 
maigizo yanaendelea.....
7903999_orig.jpg
 
  • Thanks
Reactions: BAK
maigizo yanaendelea.....
7903999_orig.jpg

maigizo yanaendelea.....



KAMA KAWAITA YAKO TETTY aka TYTA Yote majina yako unaomba msaada wa kusemewa na Nathan ikimanisha huna uwezo wa kudebate kutokana na kufilisika mawazo,usipojiangalia utakuja kulipiwa wewe haiwezekani ukakosa kujisimamia everyday your'e copying and pasting??
 
Swssme unachojaribu kufanya hapa ni kuzuia mafuriko kwa kutumia ulimi,najua unaumia sana unapoona vijana wengi wamejitambua na wanajiandaa kufanya maamuzi sahihi, umebaki peke yako na mawao hasi,unatamani nchi hii iwe kama Somalia I tell u it cant be,vijana wako timamu wewe usiwjielewa!!!

Katiba ya chenge na yale makitu ya ccm

swissme
 
Katiba ya chenge na yale makitu ya ccmswissme
Kwenye michango yako huwezi kuacha kumtaja chnge,limbwata alilokupa uendelee kumpaisha linafanya kazi,Huwezi kunishawishi na limbwata lako hapa chenge wala ccm hawana katiba hapa KATIBA NI YA WANANCHI.
 
Kwenye michango yako huwezi kuacha kumtaja chnge,limbwata alilokupa uendelee kumpaisha linafanya kazi,Huwezi kunishawishi na limbwata lako hapa chenge wala ccm hawana katiba hapa KATIBA NI YA WANANCHI.


unapiga kelele tu na buku 7 haujui hata kifungu


Swissme
 
Back
Top Bottom