swissme
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 13,663
- 19,894
Mweu wewe sibishani na dvs 6 mlungo.Wewe buku 2 unakifungu gani umekitaja hapa?
swissme
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mweu wewe sibishani na dvs 6 mlungo.Wewe buku 2 unakifungu gani umekitaja hapa?
Aliyeandika katiba ya kuwatetea waizi wenzake na mafisi
Swissme
Mweu wewe sibishani na dvs 6 mlungo.
swissme
Najua ndio umeamka, acha kudandia maada hukuulizwa wewe?
Millenium development goals (MDG), Vision 2020 kijana anaishangilia katiba mpya sababu IMEWAJALI VIJANA HASA KATIKA MASUALA YAO YA MICHEZO..so sad.
Mimi ni mtanzania na katiba inanihusu mimi sipewi pesa za kupiga debe jama wewe .mimi natetea maslai ya watanzania wenzangu usitupotoshe na uchafu wako.nenda zako huko
swissme
Wewe si ndio walewale wasiojua MKUZA wala MKUKUTA halafu unajiita kijana wa kisasa ulietumwa kushangilia katiba kisa imewagusa vijana katika suala la michezo.nadhani buku mbili mbili za hapo Lumumba zinawapa kiburi kujiunga na vifurushi kuleta mada za kipuuzi.Unaona laha kutaja kutaja hizo programu na miaka yake kisa imeandikwa kwa kiingereza!!!! Teh teh nakuonea huruma hujui utendalo youre out of the topic kalale!
Acha dharau kwa watanzani wewe!tunajielewa na tua maamuzi yetu!Aliyeandika katiba ya kuwatetea waizi wenzake na mafisiSwissme
Wewe si ndio walewale wasiojua MKUZA wala MKUKUTA halafu unajiita kijana wa kisasa ulietumwa kushangilia katiba kisa imewagusa vijana katika suala la michezo.nadhani buku mbili mbili za hapo Lumumba zinawapa kiburi kujiunga na vifurushi kuleta mada za kipuuzi.
Mweu wewe sibishani na dvs 6 mlungo.
swissme
Wewe si ndio walewale wasiojua MKUZA wala MKUKUTA halafu unajiita kijana wa kisasa ulietumwa kushangilia katiba kisa imewagusa vijana katika suala la michezo.nadhani buku mbili mbili za hapo Lumumba zinawapa kiburi kujiunga na vifurushi kuleta mada za kipuuzi.
Vijana Morogoro waikubali na kuisifia Katiba inayopendekezwa. Vijana Mkoani Morogoro wamesema kuwa Katiba Inayopendekezwa ni nzuri sana kwani imewajali vijana hata masuala yao ya michezo. Kutokana na kuikubali Katiba Inayopendekezwa wanawaomba vijana wenzao kote nchini kuipigia kura ya NDIYO. Huu ni ukweli usiopingika kuwa Katiba hii imejali makundi karibu yote. Hima vijana endelea kuisoma katiba kwa makini zaidi ili unapopiga kura yako ya ndiyo upige kura yako kwa uelewa. Tunaishukuru Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwa kutuongezea muda wa kuisoma na kuielewa vizuri kabla ya kupiga kura ya maoni.
Aliyeandika katiba ya kuwatetea waizi wenzake na mafisi
Swissme