Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Papaaa Mukulu na kalamu yake.
dronedrake waambie vijana wasidanganyike
Umemuelewa kweli?Kuwa mwanaume
Na ndiyo Maana umeseviwa Mbwa na mkeo. Kwa sababu una Akili za kimbwa mbwa plus Kenge kenge. Why mnatu fosi TuoeUkikosea kuoa huyu mtoa mada utaona anasema ukweli ila ukipatia kuoa utaona kama mtoa mada ni tahira.CHAGUA UPANDE
Wacha maneno yakoBado nipo dilemma🏃♀️
Really ?Nimekumiss kijana wangu
Watu wengi hamjui vitu vingi kuhusu wanawake ndio maana unaona hili ni kama geni kwako.Hii hata Mimi nimeitafakari Sana ,wife hawezi kuninyima unyumba kwa mwezi mzima yaani hata angenikamata na mchepuko live.
Sijui Ni mke wa namna gani lkn kumuamini mtoa Hoja yahitaji akili itulie. Na labda kapata pure feminist.
Katoka nje ya uwanaume wake ndio maana nikamsihi awe mwanaume ajiulize wapi anakoseaUmemuelewa kweli?
Sababu yake (aliyo andika) ya kusababisha akose Unyumba ni pale mwanamke anapokuwa kwenye hethi.Hii hata Mimi nimeitafakari Sana ,wife hawezi kuninyima unyumba kwa mwezi mzima yaani hata angenikamata na mchepuko live.
Sijui Ni mke wa namna gani lkn kumuamini mtoa Hoja yahitaji akili itulie. Na labda kapata pure feminist.
Bila tendo la ndoa kutaradadi yote uliyoyasema hayana maana,sex is a priority of any marriageLakini mnapaswa kuelewa kwa maisha ya sasa yalivyo mke mchukulie kama life partner na siyo sex partner ndoa yako itasalimika.
Yah sure🤭Really ?
WooooowYah sure🤭
Sasa hapa ndio kwenye tatizo, kama usipokwenda na midundo inavyokwenda utaharibikiwa.Bila tendo la ndoa kutaradadi yote uliyoyasema hayana maana,sex is a priority of any marriage
Urudi Tanzania tuanze kufanya maandalizi😂Wooooow
😘 Cheupe wangu