Nina miaka 12 kwenye ndoa, hatujawahi kunyimana tendo. Tunagusanisha vidudu vyetu wakati wowote tunapo jisikia.Ni Jumatatu njema! Mfungo mwema kwa ndugu Waislamu!.
Vijana mimi huwa nawachora sana! Nawaangalia tokea mbali mno mnavyodanganyana kuwa ukioa muda wowote utakaotaka tendo basi ni kufunua tu sketi na kuchomeka, haya endeleeni kudanganyana.
Infact kunyimwa tendo la ndoa maana yake umeshindwa kuongoza familia yako.