Vijana msidanganyike, kuoa si guarantee ya kupata tendo. Nina mwezi nanyimwa sasa

Vijana msidanganyike, kuoa si guarantee ya kupata tendo. Nina mwezi nanyimwa sasa

Ni Jumatatu njema! Mfungo mwema kwa ndugu Waislamu!.

Vijana mimi huwa nawachora sana! Nawaangalia tokea mbali mno mnavyodanganyana kuwa ukioa muda wowote utakaotaka tendo basi ni kufunua tu sketi na kuchomeka, haya endeleeni kudanganyana.
Nina miaka 12 kwenye ndoa, hatujawahi kunyimana tendo. Tunagusanisha vidudu vyetu wakati wowote tunapo jisikia.

Infact kunyimwa tendo la ndoa maana yake umeshindwa kuongoza familia yako.
 
Kipi kilianza, ulianza kuwa na michepuko au ulianza kunyimwa tendo. Jitafakari. Unamkosea mkeo ndo maana anaishiwa hamu ya kufanya tendo la ndoa.
 
Sawa kijana umeeleweka lakini ambacho sijaelewa ni kwanini ndoa yako unataka kuitumia kama generalization ya ndoa zote kuonekana mbaya?
Wekeni mbivu na mbichi wazi. Mnapata faida gani mkiwadanganya danganya vijana nyie wazee wapumbavu wa kiafrika?! Kuna gharama gani ya kuongea uhalisia?! Wapi nimesema vijana WASIOE?!
 
Nina miaka 12 kwenye ndoa, hatujawahi kunyimana tendo. Tunagusanisha vidudu vyetu wakati wowote tunapo jisikia.

Infact kunyimwa tendo la ndoa maana yake umeshindwa kuongoza familia yako.
Sawa
 
Nina miaka 12 kwenye ndoa, hatujawahi kunyimana tendo. Tunagusanisha vidudu vyetu wakati wowote tunapo jisikia.

Infact kunyimwa tendo la ndoa maana yake umeshindwa kuongoza familia yako.
Mind you, miaka hiyo mbona michache sana kwenye ndoa?!
 
Kipi kilianza, ulianza kuwa na michepuko au ulianza kunyimwa tendo. Jitafakari. Unamkosea mkeo ndo maana anaishiwa hamu ya kufanya tendo la ndoa.
Ni kweli namkosea. Achilia mbali kumkosea, kuna sababu nyingi sana za wewe kutopata tendo kwa wakati au kabisa. Naongea na mtu mzima, unazifahamu.
 
Sawa kijana umeeleweka lakini ambacho sijaelewa ni kwanini ndoa yako unataka kuitumia kama generalization ya ndoa zote kuonekana mbaya?
Soma aya ya mwisho ya uzi wangu nimelieleza hilo.
 
Baba yako na mama yako wanaweza kukupa vyote ila si hicho kilichokufanya uoe.
vijana pateni ndoa acheni KUZINI
 
Baba yako na mama yako wanaweza kukupa vyote ila si hicho kilichokufanya uoe.
vijana pateni ndoa acheni KUZINI
Kwenye kipengele hicho cha kuzini walau umeongea vema. Ila kuzini unaweza kuzini hata ukioa, wangapi leo hii wanachepuka? Wangapi wananunua malaya na wameoa? Kuoa si guarantee ya kuepuka zinaa kwa 100%.
 
Wacha watu waolewe wazae watt walelewe kwny misingi bora.unataka watu wasioe wazae huko baba kule..mama ana wtt 6 kila mtoto na baba yake??
 
Kwanza mwanaume unaanzaje kunyimwa? Aiseeee... Mwanaume ukinyimwa, kosa ni lako, kuna mahala umekosea vibaya sana.
 
6000 tu yanitosha
Nauli 1000
5000 fisi mmoja
Kondomu bure
Sanitizer na wipes ndo pekee naenda nayo
Siamini kama ulivyo smart kwenye kuchangia humu, eti nawe unanunua makahaba wa uwanja wa fisi wa elfu tano. Bado sitaki kuamini[emoji38]
 
Back
Top Bottom