Vijana Msijidanganye: Ukiamua kujiajiri ni lazima uwe na nidhamu ya kazi (Self-Discipline) mara kumi (10) zaidi ya ulivyoajiriwa ndio utafanikiwa

Mkuu kipimo cha mafanikio ya waajiriwa ni kujenga tu..?
Hapana,
Nimezungumzia kujenga mana ulisema hamna wenye ajira waliojenga.,
Point was tuache dharau mafanikio yako popote kila mtu na rizq yake na juhudi zake
 
Uhalisia unaonesha, hakuna kilichokaririwa. Biashara zina mapato ajira zimejaa makato. Assume tu within five years of Magufuli hakuna mshahara umeongezwa.
Unajua unafurahisha sana

Na biashara ngapi zilifungwa kutokana na kudaiwa malimbikizo ya kodi?.
Kipindi cha corona je?.
Hamna kitu ambacho ni 'risk free'
 
Inahitajika umachale na umakini mkuu ..ajira popote duniani haiwezi kukutoa labda ufanye savings ya hali ya juu. Tatizo hawaelewi hawa waajiriwa wetu hawaelewi japo ndo wateja wetu.
[emoji16][emoji16][emoji1]mbona mi nimetoboa ila nashindia maji na biskuti
 
Unajua unafurahisha sana

Na biashara ngapi zilifungwa kutokana na kudaiwa malimbikizo ya kodi?.
Kipindi cha corona je?.
Hamna kitu ambacho ni 'risk free'
Hizo no situational factors hata ajira nyingi zimepotea, hili janga la korona walioathirika zaidi ni employees hasa wale wakutegemea mshahara. Nazani wengi wamejifunza kuwa mshahara always hautoshi.
 
Kuhusu kodi hiyo sera mbovu za serikali, kodi zinakuwa nyingi kuliko mtaji wenyewe wa biashara. Lakini haiondoi ukweli kuwa nidhamu katika biashara kama alivyosema mkuu Infranity Solders, mapato yake ni makubwa kuliko nidhamu katika kazi.
Kama ukiweza kuhamisha shilingi 1000 kutoka kwa jirani yako kila siku, utakuwa na nafasi kubwa sana ya kutoboa. Maana pesa unazohitaji zipo kwenye mfuko wa jirani yako. Ukiwa kwenye ajira utategemea mfuko wa boss ili uishi.
Unajua unafurahisha sana

Na biashara ngapi zilifungwa kutokana na kudaiwa malimbikizo ya kodi?.
Kipindi cha corona je?.
Hamna kitu ambacho ni 'risk free'
 
Sometimes boss ndiye anakuwa mtu wa mwisho kutoka ofisini wakati huo wafanyakazi wengine woooote wamekwishafika makwao.
Hii CUlture ipo Japani; Mzee wangu alipata kuwa Mkuu wa Idara ya Innovation Kwenye Kampuni moja ya Majenereta huko; Sasa kwasababu sisi Tulikuwa huku Tz, yeye akawa anavuta kwenda home maana ataboeka; Wafanyakazi wakawa hawatoki;

Mpaka kuna siku ndo alikuja Kufahamu kwamba Japani kama Bosi wako hajatoka wewe huruhusiwi kutoka; na ndivyo huwa wanafanya hivyo; ikabidi sasa awe anatoka mapema, ili watu nao waende zao.

Umenikumbusha hiyo; Japo inaweza kuwa out of Mada
 
Daah hongera sana mkuu, kuajiriwa mi nakulia timing tu, huku sio mmh

Bora kujiajiri hata ukijitesa ni ya kwako na utapata uchungu zaidi ili upanue biashara yako na kufanya vitu vingine vya kupata pesa
Kuajiriwa boss wako anakupimia mshahara wako
Japo kila kitu kina faida na hasara
 
umbea wa watu kwenye usafiri wa umma unaleta huku..jitathmini
 

Wewe mabosi wengi hawapendi kulipa mishahara mizuri ili ubaki level ile ile na likizo hawakupi
Bora ujitese mwenyewe hata huumii moyo vile kuliko unamtajirisha mtu
 
Wewe mabosi wengi hawapendi kulipa mishahara mizuri ili ubaki level ile ile na likizo hawakupi
Bora ujitese mwenyewe hata huumii moyo vile kuliko unamtajirisha mtu
Ni kweli kabisa. Ajira hata uwe na nidhamu ya fedha kubwa kiasi gani kama unaishi kwa mshahara unateseka tu. Bora uteseke lakini kwa siku una uhakika na faida kadhaa kutokana na hustle zako.
 
Umemaliza kila kitu na thread ifungwe
 
Wewe mabosi wengi hawapendi kulipa mishahara mizuri ili ubaki level ile ile na likizo hawakupi
Bora ujitese mwenyewe hata huumii moyo vile kuliko unamtajirisha mtu
kujiajiri sio kitu rahisi na guarantee ya kufanikiwa mkuu, wapo wanaojiajiri na wanaangukia pua

Ndio maana ikiitwa job interview maelfu ya watu hujitokeza

Ndio maana mtoa mada kasema kujiajiri kunahitaji dedication zaidi hasa kwa anayeanza kuliko kuajiriwa
 

najua unasema kweli Lakin bora kujaribu kotekote
 
Bora kujiajiri hata ukijitesa ni ya kwako na utapata uchungu zaidi ili upanue biashara yako na kufanya vitu vingine vya kupata pesa
Kuajiriwa boss wako anakupimia mshahara wako
Japo kila kitu kina faida na hasara
True

Mi kwenye kujiajiri hata sioni hasara asee[emoji848]

Naona mafaida lukuki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…