Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikiwemo Simba timu yakoKuna tumu nane mpaka kumi kwenye ligi kuu,haziwezi kyifunga yanga.
Hizo mechi ukizidishanarambili yaani home and awayni mechi 20
Ukiweka milioni kila mechi kwa msimu mmojauna sh ngaoi??
Sio mpaka niwafundishe kila kitu
Bila shaka kwenye derby huwa unaibetia yanga tena hela nyingi tu bila wasiwasiIkiwemo Simba timu yako
Hakika laZima Kwa Yanga tuweke pesa ndefuBila shaka kwenye derby huwa unaibetia yanga tena hela nyingi tu bila wasiwasi
Jamaa ametumia fasihi hajamaanisha milioni kama milioni bali mechi za yanga hasa zenye wadhamini kama wa yanga ni biashara tosha na ndizo kocha wao anamaanisha ni nyepesi sanaNAMTAKALI JAMAA, NAONA AMEFUMBWA, UKICHEZA KAMARI CHEZA PEKE YAKO USIALIKE WATU.
.INGEKUA RAHISI NAMNA HIYO WEWE UNGEKUA UNAMILIKI UTAJIRI HIVI SASA.
. YAANI MTU AMILIKI MILIONI HIYO HIYO ALAFU UITUPE KWENYE KAMALI HUKU UKIJUA HUNA AJIRA, BADALA AKAPWENTI VIATU VIZURI APATE ALAU FAIDA YA 5000 KWA KILA KIATU.
.YANGA SIKU ANAFUNGWA NA AZAMU ALIWAANDAA.
Ndio maana kocha wao analalamika ligi ni nyepesi kumbe ubovu wao kimataifa unachangiwa na changamoto duni kwa timu pinzani🤔Bula shaka umesoma literature mkuu,umedadavua vyema