Vijana msio na ajira changamkeni mechi za Yanga ni ajira tosha, anza sasa kubet

Vijana msio na ajira changamkeni mechi za Yanga ni ajira tosha, anza sasa kubet

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Kuna tumu nane mpaka kumi kwenye ligi kuu,haziwezi kyifunga yanga.
Hizo mechi ukizidisha mara mbili yaani home and away ni mechi 20
Ukiweka milioni kila mechi kwa msimu mmoja una sh ngapi??

Sio mpaka niwafundishe kila kitu
 
NAMTAKALI JAMAA, NAONA AMEFUMBWA, UKICHEZA KAMARI CHEZA PEKE YAKO USIALIKE WATU.
.INGEKUA RAHISI NAMNA HIYO WEWE UNGEKUA UNAMILIKI UTAJIRI HIVI SASA.
. YAANI MTU AMILIKI MILIONI HIYO HIYO ALAFU UITUPE KWENYE KAMALI HUKU UKIJUA HUNA AJIRA, BADALA AKAPWENTI VIATU VIZURI APATE ALAU FAIDA YA 5000 KWA KILA KIATU.
.YANGA SIKU ANAFUNGWA NA AZAMU ALIWAANDAA.
 
NAMTAKALI JAMAA, NAONA AMEFUMBWA, UKICHEZA KAMARI CHEZA PEKE YAKO USIALIKE WATU.
.INGEKUA RAHISI NAMNA HIYO WEWE UNGEKUA UNAMILIKI UTAJIRI HIVI SASA.
. YAANI MTU AMILIKI MILIONI HIYO HIYO ALAFU UITUPE KWENYE KAMALI HUKU UKIJUA HUNA AJIRA, BADALA AKAPWENTI VIATU VIZURI APATE ALAU FAIDA YA 5000 KWA KILA KIATU.
.YANGA SIKU ANAFUNGWA NA AZAMU ALIWAANDAA.
Jamaa ametumia fasihi hajamaanisha milioni kama milioni bali mechi za yanga hasa zenye wadhamini kama wa yanga ni biashara tosha na ndizo kocha wao anamaanisha ni nyepesi sana
 
Jamaa ametumia fasihi hajamaanisha milioni kama milioni bali mechi za yanga hasa zenye wadhamini kama wa yanga ni biashara tosha na ndizo kocha wao anamaanisha ni nyepesi sana
Bula shaka umesoma literature mkuu,umedadavua vyema
 
MWALIMU NYERERE ANAMALIZA KWA USHAIRI KWENYE KITABU CHAKE.

UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.

Ole wake Tanzania Tusipoisaidia
Niwezalo nimelifanya kushauri na kuonya nimeonya.

tahadhali nimetoa ushauri na kuonya nimeshatoka kitini zaidi nifanye nini.

Namlilia Jaalia atumulikie njia Tanzania ailinde WAOVU wasiishinde.

Amina Tena Amina Amina Tena amina


UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.
MWALIMU JK NYERERE
 
Bula shaka umesoma literature mkuu,umedadavua vyema
Ndio maana kocha wao analalamika ligi ni nyepesi kumbe ubovu wao kimataifa unachangiwa na changamoto duni kwa timu pinzani🤔
 
Back
Top Bottom