Vijana: Mtafute namna ya kujiajiri

Vijana: Mtafute namna ya kujiajiri

chamilo nicolous

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2016
Posts
2,097
Reaction score
1,457
Kuajiriwa ni utumwa ulioboreshwa:

Sikia

1: Biashara ya kuajiri watu na kuwalipa mshahara ni Mfumo ulioanza baada ya kukomesha biashara ya utumwa. Kumbuka biashara ya kuchukua mtu mwingine kuzalisha mali ni Mfumo unaolipa; Katibu uone. Biashara ya utumwa ilikuwa biashara yenye faida sana. Hivyo Mfumo wa utumwa ukaboreshwa kwa misingi ya kwamba badala ya Mabwana kusaka watumwa au kuchukua mateka sasa watu wenyewe walijipeleka Ili wa kalipwe!

2: Ukiajiriwa wewe ni mtumwa, Eti mnajiita wafanyakazi mmm chelewa kazini, au usije kazini siku 2 uone!!!

3: Masaaa yote ya kuzalisha (saa 1 as-- 10 jioni ) ni mali ya muajiri, huruhusiwi kufanya kazi yoyote ya kukuingizia kipato, na ikionekana unafanya kazi za kujiongezea kipato masaa hayo unachukuliwa hatua kwa mujibu wa kanuni za utumishi wa umma!!

4: Ikionekana huna uwezo wa kuzalisha kwa sababu zozote zile, unatemeshwa, kwa misingi ya kwamba muajiri anatafuta mtu mwingine;

5: Vijana tafuteni namna uanzishe mradi binafsi unalipa. Muajiri atakuajiri baada ya kufanya mahesabu makubwa ya kuona anapata faida kiasi gani.
 
Mkuu tatizo huyu kijana unaemzungumzia
Katumia 90% ya umri wake shuleni kujifunza theory

Hana hata idea au uwezo wa kuendesha biashara
Hana hata huo mtaji wa kufungua miradi
Hata hata connection/watu wanaojua biashara

Unazani utawza kumkunja samaki aliyekauka?

Nazani anza na vijana walio bado mashuleni
Wasome lakn waanze kujitafuta taratibu
At least ajue basics za kilimo,biashara na miradi baadhi

[emoji1417]
 
Unaripoti kutoka wapi ndugu mwandishi?
Maana kuna vitu sidhani kama umefanya consideratio
1. Mtaji unao?
2. Unawajua mgambo wa manispaa?
3. Unajua gharama za leseni za biashara n.k?
4. Unajua bei ya mbolea?
5. Unajua bei ya petroli ya kumwagilizia?
6. Unajua mabadiliko ya tabia nchi?
7. Unajua mfumuko wa bei za bidhaa?
8. Unakumbuka kuhusu tozo?
What you are saying might be true, lakini kuliko kuja tu kusema watu ni watumwa na waache waanze kujiajiri, ungekuja na mipango elekezi kuhusu huyo kijana ajiajiri kwa njia ipi na jinsi ya kufanikisha hilo jambo lake. Njoo na detailed explanation ili kumsaidia huyo kijana kujiajiri.
ILA ukija ki motivesheno spika, mjomba umechambia sime.
 
Sio kila mtu anaweza kujiajiri. Kujiajiri sio rahisi.
 
Kuajiriwa ni utumwa ulioboreshwa:Sikia
1: Biashara ya kuajiri watu na kuwalipa mshahara ni Mfumo ulioanza baada ya kukomesha biashara ya utumwa. Kumbuka biashara ya kuchukua mtu mwingine kuzalisha mali ni Mfumo unao lipa; Katibu uone. Biashara ya utumwa ilikuwa biashara yenye faida sana. Hivyo Mfumo wa utumwa ukaboreshwa kwa misingi ya kwamba badala ya Mabwana kusaka watumwa au kuchukua mateka sasa watu wenyewe walijipeleka Ili wa kalipwe!
2:Ukiajiliwa wewe ni mtumwa, Eti mnajiita wafanyakazi mmm chelewa kazini, au husije kazini siku 2 uone!!!

3:Masaaa yote ya kuzalisha (saa 1 as-- 10 jioni ) ni mali ya muajiri, huruhusiwi kufanya kazi yoyote ya kukuingizia kipato, na ikionekana unafanya kazi za kujiongezea kipato masaa hayo unachukuliwa hatua kwa mjibu wa kanuni za utumishi wa umma!!

4: Ikionekana huna uwezo wa kuzalisha kwa sababu zozote zile, unatemeshwa, kwa misingi ya kwamba muajili anatafuta mtu mwingine;

5:Vijana tafuteni namna uanzishe mradi binafsi unalipa. Muajiri atakuajiri baada ya kufanya mahesabu makubwa ya kuona anapata faida kiasi gani.
Ukiwapa mawazo ya biashara zipi wafanye na mchanganuo wake ni fursa kwao
 
Tupe namna ya kujiajiri na mtaji, sio utapiga kelele tuu.
 
Kuajiriwa ni utumwa ulioboreshwa:Sikia
1: Biashara ya kuajiri watu na kuwalipa mshahara ni Mfumo ulioanza baada ya kukomesha biashara ya utumwa. Kumbuka biashara ya kuchukua mtu mwingine kuzalisha mali ni Mfumo unao lipa; Katibu uone. Biashara ya utumwa ilikuwa biashara yenye faida sana. Hivyo Mfumo wa utumwa ukaboreshwa kwa misingi ya kwamba badala ya Mabwana kusaka watumwa au kuchukua mateka sasa watu wenyewe walijipeleka Ili wa kalipwe!
2:Ukiajiliwa wewe ni mtumwa, Eti mnajiita wafanyakazi mmm chelewa kazini, au husije kazini siku 2 uone!!!

3:Masaaa yote ya kuzalisha (saa 1 as-- 10 jioni ) ni mali ya muajiri, huruhusiwi kufanya kazi yoyote ya kukuingizia kipato, na ikionekana unafanya kazi za kujiongezea kipato masaa hayo unachukuliwa hatua kwa mjibu wa kanuni za utumishi wa umma!!

4: Ikionekana huna uwezo wa kuzalisha kwa sababu zozote zile, unatemeshwa, kwa misingi ya kwamba muajili anatafuta mtu mwingine;

5:Vijana tafuteni namna uanzishe mradi binafsi unalipa. Muajiri atakuajiri baada ya kufanya mahesabu makubwa ya kuona anapata faida kiasi gani.

Hshajiajiri wasira, lukuvi, rizi Moko, February wala bingwa wa goli la mkono. Ila hawa wasiokuwa na mtaji connection wala mbele au nyuma?
 
Kwa upande mwingine kila mtu akijiari unafikiri dunia itazunguka?
Duniani kutegemeana.

Hadi mbinguni pia kuna kutegemeana.

Haya mawazo ya kujiajiri yalifanya hata shetani apande kichwa afikirie kujiajiri kutengeneza empire yake.

Ona sasa matokeo yake kajiajiri kuwa boss hadi sahvi maisha magumu.

By the way classes ziko kote hadi mbinguni sio duniani tu. Kuna malaika wakuu na wasaidizi. Upo mkuu.
 
Mkuu tatizo huyu kijana unaemzungumzia
Katumia 90% ya umri wake shuleni kujifunza theory

Hana hata idea au uwezo wa kuendesha biashara
Hana hata huo mtaji wa kufungua miradi
Hata hata connection/watu wanaojua biashara

Unazani utawza kumkunja samaki aliyekauka?

Nazani anza na vijana walio bado mashuleni
Wasome lakn waanze kujitafuta taratibu
At least ajue basics za kilimo,biashara na miradi baadhi

[emoji1417]
Uko sahihi! Hali ni mbaya, inabidi tupambane tu
 
Kwa upande mwingine kila mtu akijiari unafikiri dunia itazunguka?
Duniani kutegemeana.

Hadi mbinguni pia kuna kutegemeana.

Haya mawazo ya kujiajiri yalifanya hata shetani apande kichwa afikirie kujiajiri kutengeneza empire yake.

Ona sasa matokeo yake kajiajiri kuwa boss hadi sahvi maisha magumu.

By the way classes ziko kote hadi mbinguni sio duniani tu. Kuna malaika wakuu na wasaidizi. Upo mkuu.
Kwa hiyo tufanyeje kwa nchi masiki kama TZ, vijana wanachangamoto na sera ya kuwakomboa ni mbovu
 
Mkuu tatizo huyu kijana unaemzungumzia
Katumia 90% ya umri wake shuleni kujifunza theory

Hana hata idea au uwezo wa kuendesha biashara
Hana hata huo mtaji wa kufungua miradi
Hata hata connection/watu wanaojua biashara

Unazani utawza kumkunja samaki aliyekauka?

Nazani anza na vijana walio bado mashuleni
Wasome lakn waanze kujitafuta taratibu
At least ajue basics za kilimo,biashara na miradi baadhi

[emoji1417]
My
Achague kujifunza biashara au aendelee kupoteza mda kwa kutembeza bahasha
 
Jiulize swali moja, Duniani wooote tungekuwa tumejiajiri, unafikiri nini kingetokea.?
 
Nchi kubwa dunia nyingi Wana rate kubwa ya watu waliajiriwa , Automatically ni uongo kila mtu awe mfanyabiashara ni uongo hata usemeje.

Hyo ni motivational speech ila Haina uhalisia kila mtu ajiajiri then utaona itakuwaje katika uchumi wa pesa ambapo Kuna speculation ya buying na selling ,ngumu sana watu wote kuwa seccess katika biashara tambua hilo katika 10 ni 3 pekee wanatoboa.
 
Back
Top Bottom