Vijana na Wazee Arusha waahidi kura ya Ndiyo kwa Katiba Inayopendekezwa


Ha ha paragraph ya mwisho umetaja baadhi ya vipengele vya msingi vilivyomo kwenye katiba inayopendekezwa, kuanzia Ibara ya 32 ,safi sana umejitambua na utawaeleza vijana wenzako waiunge mkono Katiba inayopendekezwa!!!!
 
Ha ha paragraph ya mwisho umetaja baadhi ya vipengele vya msingi vilivyomo kwenye katiba inayopendekezwa, kuanzia Ibara ya 32 ,safi sana umejitambua na utawaeleza vijana wenzako waiunge mkono Katiba inayopendekezwa!!!!
Kwa hiyo unahitaji katiba ya nchi ili uelewe umuhimu wa maisha ????kwa hiyo kinachotokea Somalia, Sudan kusini ,jamhuri ya kidemokrasia ya Congo ,Syria na nchi zingine ni kwamba hawana katiba inayotambua umuhimu wa maisha ndio maana wanachinjana sio ??? Kwa hiyo suluhisho la matatizo yao ni katiba ????
Alafu inasikitisha eti ibara ya 32 inakupa nafasi ya ku pursue happiness Ina maana siku zote ulikua huna Furaha mpaka katiba ilivyo tamka ???
 

Ndo nakushangaa aisee wewe umepotea njia hapa!!hujielewi unachangia kwenda mbele kisha unarudi nyuma kwa haoja zako mwenyewe,hujui hata hiyo misingi mikuu ya Haki za binadamu kuwa inapaswa kulindwa na katiba?usiwe boya bila kulindwa na katiba utaishi kama mkimbiZi milele wewe!

Fuatiria nchi zote zenye machafuko ulizozitaja uone kama misingi hii inaheshimika nenda Somalia kawaulize kama katiba inafuatwa,juzijuzi tu Congo Rais Kabila alitaka kuongeza muda wa kuendelea kubakia madarakani angalia kilichotokea within few days??????!!!!hujui wewe kaa chini ufundishwe acha kurukaruka.

Katiba ya nchi ndiyo inaguarantee uhai na maisha ya watu kwenye nchi ndo maana Rais akishika madaraka anaapa kuitetea na kuilinda katiba,kila kiongozi wa umma vivyo hivyo,Katiba ndo sheria kuu kama ulikua hujui! Sina haja ya kubishana na wewe Civics imepita kando pia masuala ya katiba yako out your mind thats why huelewi!
 

Naomba uelewe kuwa Katiba yeyote ya nchi yeyote ni sheria mama ya nchi husika. Inapoainisha mambo kadhaa maana yake hata sheria za nchi husika zita base kwa msingi wa Katiba ya nchi hiyo. Sura ya Tano kwa ujumla wake ikiwemo Ibara ya 32, imeainisha vitu vingi ambavyo vinamlenga mwananchi moja kwa moja kulingana na hali na makundi yao. Hapa ndipo zimeainishwa Haki za binadamu kwa mantiki hiyo hawa ni raia wa Tanzania, sasa haki za binadamu ni lazima ziendane na wajibu wa raia, jamii na mamlaka ya nchi.

uncleben tambua Misingi bora ya Katiba Inayopendekezwa ndiyo itakayosimamia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutunga sheria kulingana na muktadha wan chi yetu na wakati huu. Katiba ya Tanzania ni nzuri sana ndiyo maana nchi ulizozitaja wanatamani mambo mazuri ya chi yetu.

Usiombee na kutamani mabaya yanayotokea kwa wengine, wewe simamia ya kwako ili tuendelee kuishi kwa amani, upendo na ushirikiano miongoni mwa jamii yetu.
 
Inategemea ni vijana wa aina gani unaowazungumzia broda, sio Kila kijana ana mtindio wa ubongo kiasi cha kuikubali katiba yenye makengeza, hatudanganyiki; hatushawishiki!! Katiba ya Chenge na Six ni HAPANA, period.
Wewe ndo maana unaitwa MTK yaani ni kirefu cha neno MaTaKo, hahahaha una jina zuri asee hongera, kumbe ndo maana hata hoja zako zinakuwa ovyo ovyo tu.
 

Aiseee nyie mmefungwa mawazo na siasa ...hivi kuna nchi iliyobobea ki demokrasia Kama marekani ...hivi hizo haki za binadamu ni kina Nani wanaozivunja kuliko nchi yeyote duniani Kama sio marekani pamoja na kua kwenye katiba yao na kujifanya wanasimamia haki ...Una hakika katiba ya Tanzania ni nzuri Sana kwa hiyo wanacholalamikia wanzazibar au watanganyika ni uupuzi sio ??? Jambo likiwapo kwenye katiba haina maana kwamba watu watashindwa kutumia loop holes kuwabana watu
Wewe chekelea tu katiba imekupa Uhuru wakati juzi hapa mswaada wa cybercrime umepita na utakubana vilevile na Uhuru wako
Fanya kazi kwa bidii,muombe Mungu wako akulinde na akupe afya bora uweze kuitumikia yeye na wanaokuhitaji ..haitaji Uwe na IQ ya 220 ndio utambue mema na mabaya fanya yale unayapenda kufanyiwa mambo ya serikali za dunia hii ni magumu kuliko unavyo aminishwa ..bill of rights kuwa kwenye katiba haina maana ndio watakifuata
 

Wewe ni mpuuzi? Vijana wa Arusha hawajawahi hata kuina hiyo katiba na wazee pia, wacha uzushi ujinga, tena ustuchanganye kbs hapa tulipo yenyewe tumechanganyikiwa.
 
wewe ni mpuuzi? Vijana wa arusha hawajawahi hata kuina hiyo katiba na wazee pia, wacha uzushi ujinga, tena ustuchanganye kbs hapa tulipo yenyewe tumechanganyikiwa.
wewe ndo mpuuzi na usie na akili, kama hujaiona ni wewe, wenzio wameshaiona kwa taarifa yako, kama kuchanganyikiwa umechanganyikiwa wewe na akili zako hizo finyu. Pole sana. Hii haiepukiki ndugu yangu na utazidi kuchanganyikiwa sana mwaka huu.
 
Unatoa povu tu hapo pwaaaaaaaaa
 

ni vyema ungesoma kwa makini ungenielewa nilichokimaanisha .ule nitoa mfano tu kijana pia umejibu hoja kwa hasira sio kiuweled maana umetoa maneno yasiyo yakistaarabu .usijikite kwenye kufeli kwangu maana hilo neno la kufel nalisika kwako.kijana makini anajadili hoja nasio kumjadil mjumbe .
 
Kijana ulichemka kubali ukweli mi nimepitia na nimeona hakuna sehemu ulisema natoa mfano.
 
Unatoa povu tu hapo pwaaaaaaaaa

mbona hoja ya uncleben iko vizur inahitaji mjadala kuwa nini amakiona ilitushirikishane mawazo. kionekanacho wakati mwingine hakina maana ya mwonekano namaanisha ukikisoma haina maana unakielewa vizur.UKIJIBU KUWA ANATEMA POVU TU mimi nakuona wewe ambaye huijibu hoja ndo unatema povu.ACHENI TABIA YA KUMSHAMBULIA MJUMBE.MSOMI ANASHAMBULIA HOJA
 

Kwa hilo la katiba ya Nyoka wa Makengeza na Six; sibadiliki; sishawishiki na sidanganyiki; kura ni HAPAAANA, ndio maana juzi nikakwambia karibu ujiunge na VUGUVUGU hili la mabadiliko; na ni kubwa kweli kweli, kura ni Hapaana! Period; siwezi kupiga kura ya ndiyo kubariki ufisadi; rushwa; ujangili; kukosa asili; uvunjifu wa haki za binadamu, dhuluma ya ardhi, vitisho nk nk. Kura ni HAPAAAAANA!
 

Unapotoa neno utambue kwanza hadhira yako ni ipi ili uweze kutoa ujumbe sahihi kwa mhusika au wahusika. Maelezo yako yananilenge mimi. Sii kila mtu anaweza kujumuishwa na mwingine. Huo ni uoni hafifu na fikra iliyodumaa. Huwezi kutumia quotation yangu halafu ukaniambia "Aiseee nyie mmefungwa mawazo………." Usihukumu wengine kwa maneno yangu.

Acha ushamba wako na ubabaishaji wako, unadhani wewe una IQ nzuri au ya juu kupita wengine? Ama kweli nyani haoni kundule. Pole kwa ujinga wako ila ipo siku utajitambua na utakiri mwenyewe kuwa ulikuwa mjinga. Utakapojingundua huwezi kuachwa, utakaribishwa tuu kundini na kukuiri mema ya nchi yako Tanzania.

Wewe ni mtu gani wewe unayependa kufanya hata ujinga mbele ya watu? Usifanye vitu kwa mazoea na ujanja ujanja. Ishi kama raia huru ndani ya nchi yake kulinga na Sheria, Kanuni na taratibu mahalia na bila kukiuka sheria za nchi.
 

Nimesema nyie kwa sababu wewe ni mmoja wapo wa watu tuliokua tunajadiliana kuhusu hili swala ..Nani kakuambia Mimi sifuati sheria za nchi ?? Bora Mimi nafanya ujinga mbele ya watu maana ujinga huu ningeufanya chumbani na paka ningeonekana chizi nimeuweka ujinga wangu hadharani ili niweze kujifunza .maneno yangu sio sheria unachoona kunakufaa chukua hakikufai achana nacho Kama katiba wewe ndio mwiba wa maendeleo yako sawa ila tuzilazimishane vijana wa arusha tunakubaliana na hiyo katiba
 


MTK usipate taabu endelea kukomaa na hiyo kura yako moja isiyo na impact yoyote kwenye sanduku la kura,Nothing to loose everthing to gain!!!Kura ya ndio itapigwa na watanzania wenye akili na katiba mpya ni lazima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…