Dragunov Sniper
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 2,795
- 9
- Thread starter
- #221
Nimesema nyie kwa sababu wewe ni mmoja wapo wa watu tuliokua tunajadiliana kuhusu hili swala ..Nani kakuambia Mimi sifuati sheria za nchi ?? Bora Mimi nafanya ujinga mbele ya watu maana ujinga huu ningeufanya chumbani na paka ningeonekana chizi nimeuweka ujinga wangu hadharani ili niweze kujifunza .maneno yangu sio sheria unachoona kunakufaa chukua hakikufai achana nacho Kama katiba wewe ndio mwiba wa maendeleo yako sawa ila tuzilazimishane vijana wa arusha tunakubaliana na hiyo katiba
Unarukaruka tu,husomeki hata unachangia nini hapa si uachane na hii mada maana naona unalikoroga kila muda afu unalinywa mwenyewe! Teh teh teh teh pisha kule.