DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Katika Maisha yangu Mimi kula vizuri kulala katika Godoro la Futi 10 , Mboga za majani Nyama , juice Safi hayo ndo Maisha yangu napenda.
So siwezi kuishi kwa kuwatengenezea Maisha watu watakaozaliwa miaka 10 ijayo huu ni uongo kiukweli so i can't
Naamini mtakaozaliwa na nyie mtakula mtakavyovikuta kama sisi tunavyokula tunavyopata muda huu
So nawaomba Vijana wazee msijibane hakikisheni mnakula vizuri mnalala pazuri maana unajibana weee then ukifa watoto wako wanagombea Mali na wanaenda kidimbwi so ni ujinga kujinyima kula na kulala pazuri
Tufanye Kazi huku tunakula hawa warithi hawana Shukrani.
😅😅😅we jamaa miaka 10 itakukuta pesa zote umemalizia kwenye juicy na wala hujafaSo siwezi kuishi kwa kuwatengenezea Maisha watu watakaozaliwa miaka 10 ijayo huu ni uongo kiukweli so i can't
Naamini mtakaozaliwa na nyie mtakula mtakavyovikuta kama sisi tunavyokula tunavyopata muda huu
😅😅😅Katika Maisha yangu Mimi kula vizuri kulala katika Godoro la Futi 10 , Mboga za majani Nyama , juice Safi hayo ndo Maisha yangu napenda.
So siwezi kuishi kwa kuwatengenezea Maisha watu watakaozaliwa miaka 10 ijayo huu ni uongo kiukweli so i can't
Naamini mtakaozaliwa na nyie mtakula mtakavyovikuta kama sisi tunavyokula tunavyopata muda huu
So nawaomba Vijana wazee msijibane hakikisheni mnakula vizuri mnalala pazuri maana unajibana weee then ukifa watoto wako wanagombea Mali na wanaenda kidimbwi so ni ujinga kujinyima kula na kulala pazuri
Tufanye Kazi huku tunakula hawa warithi hawana Shukrani.
😅😅😅Alimanisha inchi 10Mkuu kapicha ka godoro la futi 10, mshahara unatoka kesho nilale pazuri
Katika Maisha yangu Mimi kula vizuri kulala katika Godoro la Futi 10, Mboga za majani Nyama, juice Safi hayo ndo Maisha yangu napenda. So siwezi kuishi kwa kuwatengenezea Maisha watu watakaozaliwa miaka 10 ijayo huu ni uongo kiukweli so i can't
Naamini mtakaozaliwa na nyie mtakula mtakavyovikuta kama sisi tunavyokula tunavyopata muda huu. So nawaomba Vijana wazee msijibane hakikisheni mnakula vizuri mnalala pazuri maana unajibana weee then ukifa watoto wako wanagombea Mali na wanaenda kidimbwi so ni ujinga kujinyima kula na kulala pazuri.
Tufanye Kazi huku tunakula hawa warithi hawana Shukrani.
Dah mkuu[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]Karibu sana
Karibu bidada🐷
Kula vizuri ni jambo jema kwa kuijali afya yako. Ila kama unakula kwa kufuru hapo unajikomoa.Katika Maisha yangu mimi kula vizuri kulala katika Godoro la Futi 10, Mboga za majani Nyama, juice Safi hayo ndo Maisha yangu napenda. So siwezi kuishi kwa kuwatengenezea Maisha watu watakaozaliwa miaka 10 ijayo huu ni uongo kiukweli so i can't
Naamini mtakaozaliwa na nyie mtakula mtakavyovikuta kama sisi tunavyokula tunavyopata muda huu. So nawaomba Vijana wazee msijibane hakikisheni mnakula vizuri mnalala pazuri maana unajibana weee then ukifa watoto wako wanagombea Mali na wanaenda kidimbwi so ni ujinga kujinyima kula na kulala pazuri.
Tufanye Kazi huku tunakula hawa warithi hawana Shukrani.