King Kong III JF-Expert Member Joined Oct 15, 2010 Posts 56,205 Reaction score 79,515 Feb 24, 2021 #21 Halafu vijana wengi hawajielewi kabisa ,wanajichanganya kwenye makundi ya watu na kwenye daladala bila barakoa yaani wanaishi kama vile hakuna corona tahadhari ni "NEI" na ndio wanaopelekea wazee majumbani.
Halafu vijana wengi hawajielewi kabisa ,wanajichanganya kwenye makundi ya watu na kwenye daladala bila barakoa yaani wanaishi kama vile hakuna corona tahadhari ni "NEI" na ndio wanaopelekea wazee majumbani.
Detective J JF-Expert Member Joined Oct 17, 2016 Posts 24,058 Reaction score 41,518 Feb 24, 2021 #22 Nguseroh said: Ukiwa na kisukari na pressure unaweza kupona korona kirahisi. Tatizo ukiwa na Ngoma Click to expand... hapana aisee. kidukari huwa inashusha immunity ya mwili. bora hata pressure. clrona ikikukuta na kisukari imekula
Nguseroh said: Ukiwa na kisukari na pressure unaweza kupona korona kirahisi. Tatizo ukiwa na Ngoma Click to expand... hapana aisee. kidukari huwa inashusha immunity ya mwili. bora hata pressure. clrona ikikukuta na kisukari imekula