#COVID19 Vijana ndiyo wanasambaza Covid-19

#COVID19 Vijana ndiyo wanasambaza Covid-19

Halafu vijana wengi hawajielewi kabisa ,wanajichanganya kwenye makundi ya watu na kwenye daladala bila barakoa yaani wanaishi kama vile hakuna corona tahadhari ni "NEI" na ndio wanaopelekea wazee majumbani.
 
Back
Top Bottom