King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Halafu vijana wengi hawajielewi kabisa ,wanajichanganya kwenye makundi ya watu na kwenye daladala bila barakoa yaani wanaishi kama vile hakuna corona tahadhari ni "NEI" na ndio wanaopelekea wazee majumbani.