Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,042
- 17,320
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli huyo ndezi ni pimbi.Kuna malaya wapo macho juu juu kuangalia fursa utakuta kabla hajapata kitu alikuwa hata salamu ya huyo pimbi haitiki.
Kinachofuata anaenda kumuibia zikiisha am-damp angaalie fursa kwingine,ni kawaida yao hao.
Unajua mkuu tupo vijana maisha yanatupiga sana lakini siyo kwa sababu hatujui kutafuta au hatujui kuweka akiba lah vijisababu vidogo vidogo kama hivi ndiyo hutuletea madhila.Mwamba hajamtumia bi mkubwa au faza hata kilo ya mchele kadaka goma
Ushauri unaweza kukubaliwa au kuakataliwa i.e. kutupiliwa mbali. Faida iliyopo ni kwa yule aliyetoa ushauri na ushauri wake ukatupiliwa mbali - huyo amejiwekea kinga kwani baadaye mambo yakienda mrama, yule mwathirika aliyekataa ushauri hawezi tena kurudi kukusumbua kwani ulishamwonya.Tuache kuwa washauri wa pesa za watu.
Ukijiona una akili tafuta zako ufanye unayoona sahihi.
Ushamba tu,humo mmejaa fungus tu ukiwa na ukwasi mzuri wapo watoto wazuri wenye sifa ya kula hela ya mwanaume.Kuacha tako sampuli hiyo ni ufala.
mkuu wanapatikana wapi hao wenye sifa ya kula hela?Ushamba tu,humo mmejaa fungus tu ukiwa na ukwasi mzuri wapo watoto wazuri wenye sifa ya kula hela ya mwanaume.
Huyo si kama bar maid tu receptionist wa bet hawezi mzuzua mwanaume mwenye akili nzuri na hela mfukoni huyo dogo amekurupuka.