Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo unaona haziwezi kuisha unakula tu, Fid alichana "alichopoteza hakuhesabu alihesabu alichobakiza"Unajua mkuu tupo vijana maisha yanatupiga sana lakini siyo kwa sababu hatujui kutafuta au hatujui kuweka akiba lah vijisababu vidogo vidogo kama hivi ndiyo hutuletea madhila.
Mtu anakaa mwezi mzima hata mia hatumi kwa mzazi huku akijua mzazi yupo kijijini hali mbaya analia njaa,hautoboi kama huyo ndiyo anaenda kufa kabisa maana zikiisha hizo demu hana hela hana na akili nazo zitaruka.
Alafu mwangalie huyo jamaa miguuni kavaa makobazi hata viatu vya maana hana! Alichoona cha muimu ni huyo manzi😂😂Ukivuna juani lazima ule kivulini, sasa unataka jamaa avune juani na ale juani?
Alichofanya jamaa n sahihi ila awe makini tuu asije kurudi mifupa 😂Alafu mwangalie huyo jamaa miguuni kavaa makobazi hata viatu vya maana hana! Alichoona cha muimu ni huyo manzi😂😂
CCM WANASEMAJE NAOTuseme huyu ndo kiongozi kapewa ofisi na account ya benki ya kampuni
Hima cement siyo Waganda hawa!Tuseme huyu ndo kiongozi kapewa ofisi na account ya benki ya kampuni
Huyo jamaa wazo hilo hajalipata ghafla.Ushamba tu,humo mmejaa fungus tu ukiwa na ukwasi mzuri wapo watoto wazuri wenye sifa ya kula hela ya mwanaume.
Huyo si kama bar maid tu receptionist wa bet hawezi mzuzua mwanaume mwenye akili nzuri na hela mfukoni huyo dogo amekurupuka.


Hiyo kauli haina mantiki! Ni sawa na kumwambia mtu kuwa "kama usingelikuwa na hela usingelikuwa na nyumba nzuri" au " kama usingelikuwa na hela usingeliweza kumiliki gari zuri". Sasa kwani kazi ya hela ni nini? Kazi ya hela ni kukufungulia fursa ya kumiliki vitu vizuri akiwemo mwanamke! Mwanamke anamilikiwa na mme kama ana hela au nguvu za kiroho!Kuna Mchungaji mmoja wa Kenya, aliwahi kusema hivi. Wanaume, mwanamke hayuko nawewe sababu uko handsome. Yuko nawewe kwasababu kaona utamtatulia matatizo yake.
Ndicho nakiona hapo, kuna wanaume wengi, kama si hela zao wasingekuwa na warembo walionao.
😂😂😂😂! Hatari sana!Hii kitu hiiii![]()
Ila bora kufungua zipu kuliko kufungua mikunjo kunjo 😂Tuseme huyu ndo kiongozi kapewa ofisi na account ya benki ya kampuni
Just imagine kitu bolibo kama hichoMpka akili zenu zikihamia kichwani mtakua mmeshapigika sana
Muhimu kukojoa pazuri kwanza😂Alafu mwangalie huyo jamaa miguuni kavaa makobazi hata viatu vya maana hana! Alichoona cha muimu ni huyo manzi😂😂
Kulaumu k ipo kwenye makaratasi zaidi, kiuhalisia ukipata hela na k ikaingia kwenye 18, lawama zote husahaulikaUtamu k ni kitu kingine na Mimi nikihesabu hela zilizopotea kwenye k ilibidi saa hivi niwe namiliki hata Suzuki carry