Vijana ndo maana tunakuwa wagumu kuwaamini katika suala zima la madaraka! Mkipata hela mnachowaza ni kufungua zipu! Ona sasa!

Vijana ndo maana tunakuwa wagumu kuwaamini katika suala zima la madaraka! Mkipata hela mnachowaza ni kufungua zipu! Ona sasa!

Unajua mkuu tupo vijana maisha yanatupiga sana lakini siyo kwa sababu hatujui kutafuta au hatujui kuweka akiba lah vijisababu vidogo vidogo kama hivi ndiyo hutuletea madhila.

Mtu anakaa mwezi mzima hata mia hatumi kwa mzazi huku akijua mzazi yupo kijijini hali mbaya analia njaa,hautoboi kama huyo ndiyo anaenda kufa kabisa maana zikiisha hizo demu hana hela hana na akili nazo zitaruka.
Hapo unaona haziwezi kuisha unakula tu, Fid alichana "alichopoteza hakuhesabu alihesabu alichobakiza"
 
Tuseme huyu ndo kiongozi kapewa ofisi na account ya benki ya kampuni
Hima cement siyo Waganda hawa!

Eti mhudumu wa bet kaacha kazi kwa kasi ya upepo bila hata kukabidhi ili kumfuata mshindi aliyebahatisha!

Je zikikata ataendelea kumpenda?
 
Ushamba tu,humo mmejaa fungus tu ukiwa na ukwasi mzuri wapo watoto wazuri wenye sifa ya kula hela ya mwanaume.

Huyo si kama bar maid tu receptionist wa bet hawezi mzuzua mwanaume mwenye akili nzuri na hela mfukoni huyo dogo amekurupuka.
Huyo jamaa wazo hilo hajalipata ghafla.

Alikuwa akimmezea mate siku nyingi na saazingine udhalilishaji wa kisaikolojia ulishafanyika kabla ya siku ya tukio.

Hapo jamaa ni kama anaenda kulipiza kisasi cha unyanyaswaji kwa kupitia njia ya ngono.

Binadamu tumegawanyika, wengine furaha zao ama unyonge wao ama hasira zao hupenda kuzihitimisha kwa ngono.
 
Kuna Mchungaji mmoja wa Kenya, aliwahi kusema hivi. Wanaume, mwanamke hayuko nawewe sababu uko handsome. Yuko nawewe kwasababu kaona utamtatulia matatizo yake.
Ndicho nakiona hapo, kuna wanaume wengi, kama si hela zao wasingekuwa na warembo walionao.
Hiyo kauli haina mantiki! Ni sawa na kumwambia mtu kuwa "kama usingelikuwa na hela usingelikuwa na nyumba nzuri" au " kama usingelikuwa na hela usingeliweza kumiliki gari zuri". Sasa kwani kazi ya hela ni nini? Kazi ya hela ni kukufungulia fursa ya kumiliki vitu vizuri akiwemo mwanamke! Mwanamke anamilikiwa na mme kama ana hela au nguvu za kiroho!
Sasa mimi nina hela nakumiliki mrembo alafu useme "usingelikuwa na hela usingelinipata", ndo hivyo tena nakumiliki uko chini ya himaya yangu and I get what I want at any time hata usiku wa manane nikisema geuka unageuka! Inama unainama naingiza tu! Chezea hela wee!!! Mxiuuuuh! Bantu Lady
 
Huyu bingwa ajengewe sanamu
Huu ndio ushindi sasa

1718411736831.png
 
Back
Top Bottom