Hiyo kauli haina mantiki! Ni sawa na kumwambia mtu kuwa "kama usingelikuwa na hela usingelikuwa na nyumba nzuri" au " kama usingelikuwa na hela usingeliweza kumiliki gari zuri". Sasa kwani kazi ya hela ni nini? Kazi ya hela ni kukufungulia fursa ya kumiliki vitu vizuri akiwemo mwanamke! Mwanamke anamilikiwa na mme kama ana hela au nguvu za kiroho!
Sasa mimi nina hela nakumiliki mrembo alafu useme "usingelikuwa na hela usingelinipata", ndo hivyo tena nakumiliki uko chini ya himaya yangu and I get what I want at any time hata usiku wa manane nikisema geuka unageuka! Inama unainama naingiza tu! Chezea hela wee!!! Mxiuuuuh!
Bantu Lady