Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,325
- 7,807
Teuzi tunazoziona kila siku watu ni wale wale mbaya zaidi viongozi wengi wanaoteuliwa ni wazee hii inamaanisha Nini wadau? Swali je vijana hawatoshi kwenye nafasi hizo wazee hawa tumekuwa nao kwenye uongozi kwa muda mrefu lakini hatujaoni ufanisi
Wazee Hawa waliwaaminisha watanzania kuwa wao Wana uwezo sababu ya usomi wao lakini ufanisi bado hatuoni ufanisi wao kila katika utekelezaji kila ripoti ya CAG inapotoka inaonesha Kuna ufisadi makubwa wazee Hawa miaka mingi wanapambana sana watoto wao wanakuwepo kwenye system
Hitimisho Mimi kwa upande wangu naamini vijana wanauwezo mkubwa kwa sasa kuliko wazee Hawa tangu enzi za ujamaa tupo nao lakini uwezo wao ni mdogo kuliko uhalisia
Vijana wasomi wenye uwezo tunao wengi sana nchi hii basi tu tunawaangalia wanywa visungura na bodaboda na kusema vijana wa miaka hii hawana uwezo
Wazee Hawa waliwaaminisha watanzania kuwa wao Wana uwezo sababu ya usomi wao lakini ufanisi bado hatuoni ufanisi wao kila katika utekelezaji kila ripoti ya CAG inapotoka inaonesha Kuna ufisadi makubwa wazee Hawa miaka mingi wanapambana sana watoto wao wanakuwepo kwenye system
Hitimisho Mimi kwa upande wangu naamini vijana wanauwezo mkubwa kwa sasa kuliko wazee Hawa tangu enzi za ujamaa tupo nao lakini uwezo wao ni mdogo kuliko uhalisia
Vijana wasomi wenye uwezo tunao wengi sana nchi hii basi tu tunawaangalia wanywa visungura na bodaboda na kusema vijana wa miaka hii hawana uwezo