Vijana sio waaminifu. Nusura niingie JELA. Sitakuja kumdhamini Mtu walahi

Mkûu Asilimia 95% Vijana siô Waaminifu

Hao 5% waliobaki àmbao NI waaminifu siô ajabu 2.5‰ wavivu na wachagua Kazi. Hiyo 2.5% iliyobaki ndîo Vijana Wazuri
Yaani hii issue sio poa, vijana wengi ndio maana hawaendelei,kuna mdogo nimemdhamini Bajaji kwa mtu!Kweli Mungu angetupa kumjua mtu anawaza Nini moyoni,ingekuwa jambo la hatari! Hakuna watu wa ovyo kama vijana!
 
umenikumbusha kuna member humu alivyomkamata jamaa aliyemtapeli member wa humuhumu
.jamaa alikua kama FBI.

pole sana kamanda. watu washenzi sana
 
Hata ndugu zetu wa damu wanatufanyia visa kwa kujaribu kuwasaidia.
 
Yaani hii issue sio poa, vijana wengi ndio maana hawaendelei,kuna mdogo nimemdhamini Bajaji kwa mtu!Kweli Mungu angetupa kumjua mtu anawaza Nini moyoni,ingekuwa jambo la hatari! Hakuna watu wa ovyo kama vijana!

Sijajua hii inatokana na nini hasa Mkuu
 
Kibongo bongo uaminifu ni Tatizo. Watu wanatamaa, unavuja jasho anakuja mjinga mmoja anataka kupita na hela kiulaiini. Inauma
 
Vijana wanapenda kitonga sana hasa waliozaliwa mijini, ujanja wanauzidisha

Sasa Mtu kachukua document Zake kafuta meseji alafu anafikiri hatafikiwa mbaya zaidi anaishi hapohapo Dar, kazaliwa Dar, Wazazi wake wàpo Dsm.
Kûna Vijana vichwa Maji kwèli
 
Vijana wengi tunachelewa kufanikiwa kwasababu ya UAMINIFU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…