Vijana someni Uuguzi, una fursa nyingi

Vijana someni Uuguzi, una fursa nyingi

Sidhani kama ni ushauri wa maana. Kwanza kusoma kozi yoyote ile lazima uwe na vigezo na uwezo wa kozi husika. Pili lazima ujue changamoto, na uhitaji wa hiyo kazi si kusema inalipa tu Basi waende, je uko tayari kupambana na changamoto ya kazi husika?

Pili huwezi kutumia reference ya mataifa ya nje Kama kigezo Cha mtu asome kozi Fulani. Hakuna gurantee ya kwenda huko na hata ukifika huko hakuna uhakika wa kupata hayo uyasemayo. Jambo la muhimu kabla ya kuamua kusomea kitu Fulani uelewa was kazi husika na changamoto zake ni muhimu Sana. Pili uwezo wa kozi husika kwa maana namna ya kujifunza na mwisho commitment ya kozi husika.
Nimezunguuka dunia hii hususani Ulaya, Marekani, Australia, na Asia, kote huko nimekuta Uuguzi (Nursing) ikiwa na fursa nyingi sana kuliko kada nyingine za Afya. Kule Marekani Uuguzi uko juu kwa ajira, malipo na kulidhika (satisfaction) ukifuatiwa na udakatari wa memo (dentist).

Vijana wengi wanadhani kuwa udaktari ndio taaluma yenye pesa na hadhi, labda hiyo ilikuwa zamani sana zilizopita wakati Tanzania kulikuwa na chuo kimoja tu cha sayansi za tiba (Muhimbili). Sasa hivi hali sio hiyo tena, udaktari sio dili tena baada ya zaidi ya wahitimu zaidi ya 2000 nchini kuhitimu kila mwaka kutoka vyuo mbalimbali. Wahitimu wa Udakatari wanasota mitaani ukilinganisha na wahitimu wa Uuguzi. Na wengi wao wanafanyakazi zisikuwa za kidaktari kama biashara,na uongozi. Kule Marekani na Ulaya wako madaktari ambao wameamua kusoma upya kozi ya uuguzi ili wapate manufaa kwa urahisi.

Sababu hasa ya mapinduzi haya ni:
1. Hospitali nyingi zinaajiri Madakatari wachache kuliko Wauguzi, hivyo wauguzi wanahitajika wengi kuliko madakatari.

2. Manesi wana taaluma nyingi ukilinganisha na madaktari, hivyo unaweza ukawatumia pia kwa kazi nyingi nyingine kama vile kwenye Uongozi, kutoa na kutunza dawa, kuzalisha, chanjo, stoo, maabara, kupima na kuhudumia watoto, utafiti, komputer/data, au Ualimu, kwasababu mtaala wa Uuguzi unawafundisha vitu vingi sana mbali ya uuguzi wa wagonjwa.

3. Mapato makubwa. Mbali ya mshahara lakini wauguzi wana overtime nyingi, seminar na mafunzo mengi ya kila wakati ambayao yanawaongezea kipato. Wauguzi wanaweza kufungua na kumiliki Maternity Home zao wenyewe na wanaweza kufungua au kutoa huduma kwenye maduka ya dawa muhimu. Daktari mara nyingi anapata kipato cha ziada kwa "kujilipua". Yaani kuhangaika na kutafuta part-time kwenye vi-hospitali mbalimbali wakati ule anaopaswa kupunzika na familia yake ili aweze kujiongezea kipato.

4. Wauguzi siku hizi wanasoma hadi ngazi ya PhD sawa na madaktari kitu ambacho zamani hakikuwepo, hizo siku hizi wauguzi wanafanya tafiti kubwakubwa wao wenyewe na kuandika vitabu na machapisho mbalimbali.

5. Wauguzi wanasomesha watoto wao, wanajenga nyumba, wanaendesha magari yao na ni viongozi wakubwa.

Vijana jiungeni na uuguzi kwa wingi fursa zipo huko pia, avuamae bahari papa kumbe wengine wapo. Achananeni na mawazo ya kizamani.
 
Watu wanadanganyana tu Nursing Degree Tamisemi anaanza na TGHS C,wakati MD anaanza na TGHS E. nursing huwezi linganisha na MD mpaka siku ya Kiama.
utumishi wanapanga mishahara mishahara mipya kwa watumishi kwa kuangalia pamoja na mambo mengine ni urefu (miaka ) wa kozi mtu aliyosoma. Kwavyovyote vile MD watawazidi mshahara kidogo tena kidogo wenzao wa uuguzi, pharmacy, laboratory, etc kwakuwa kusoma MD ni miaka 5 na mwaka mmoja wa mafunzo (internship) wakati uuguzi ni miaka 4 na 1 intern.

Zamani kidogo urefu wa degree ya uuguzi ulikuwa unawazubaisha sana pale Utumishi kwakuwa kulikuwa na degree za uuguzi za miaka 2.5, miaka 3 na miaka 4. Wengine walienda internship na wengine walikuwa hawaendi intern, hivyo ikawa vigumu kupanga salary scales. Lakini sasa tatizo hilo halipo kwakuwa degree ya uuguzi sasa ni miaka 4 na mwaka mmoja internship. Mambo saafiii. Baada ya kufaulu mtihani wa leseni na kusajiliwa ajira ziko njenje ndani na nje ya nchi.

Hii ya MD sasa hivi ni historia tu bro,. Na sisemi kuwa sio kozi nzuri, lakini kila siku maisha ya wanajamii yanavyoendelea kuboreka na magonjwa kama kipindupindu, malaria, kaswende, gonorrhea, UTI, TB, surua, polio, pepopunda, kifaduro, tetenasi, ajali, kwashiorkor, nk yainavyopungua kwenye jamii ndio hospitali zinavyopunguza uhitaji wa madaktari wa kuajiliwa. Badala yake wanahitaji wauguzi zaidi Na madakatari wa part-time tu. Na wakati mwingine wanahitaji clinical officers tu Na MD mmoja tu wa kudumu. Amkeni vijana wangu.
 
Sidhani kama ni ushauri wa maana. Kwanza kusoma kozi yoyote ile lazima uwe na vigezo na uwezo wa kozi husika. Pili lazima ujue changamoto, na uhitaji wa hiyo kazi si kusema inalipa tu Basi waende, je uko tayari kupambana na changamoto ya kazi husika? Pili huwezi kutumia reference ya mataifa ya nje Kama kigezo Cha mtu asome kozi Fulani. Hakuna gurantee ya kwenda huko na hata ukifika huko hakuna uhakika wa kupata hayo uyasemayo. Jambo la muhimu kabla ya kuamua kusomea kitu Fulani uelewa was kazi husika na changamoto zake ni muhimu Sana. Pili uwezo wa kozi husika kwa maana namna ya kujifunza na mwisho commitment ya kozi husika.
Hata hivyo dunia sasa ni kijiji, unaweza kufanya utafiti mdogo we we mwenyewe kuhusu hiki ninachoshauri, changanya Na zako. Hata usipotaka kwenda nje ya nchi hata nchini uuguzi ni dili pia. Nenda mahosipitalini ukahesabu idadi ya madakatari Na wauguzi walioajiliwa uone nan wako wengi. Faida nyingine wauguzi wanahitimu wachache vyuoni kuliko kada nyingine Afya.
 
utumishi wanapanga mishahara mishahara mipya kwa watumishi kwa kuangalia pamoja na mambo mengine ni urefu (miaka ) wa kozi mtu aliyosoma. Kwavyovyote vile MD watawazidi mshahara kidogo tena kidogo wenzao wa uuguzi, pharmacy, laboratory, etc kwakuwa kusoma MD ni miaka 5 na mwaka mmoja wa mafunzo (internship) wakati uuguzi ni miaka 4 na 1 intern.

Zamani kidogo urefu wa degree ya uuguzi ulikuwa unawazubaisha sana pale Utumishi kwakuwa kulikuwa na degree za uuguzi za miaka 2.5, miaka 3 na miaka 4. Wengine walienda internship na wengine walikuwa hawaendi intern, hivyo ikawa vigumu kupanga salary scales. Lakini sasa tatizo hilo halipo kwakuwa degree ya uuguzi sasa ni miaka 4 na mwaka mmoja internship. Mambo saafiii. Baada ya kufaulu mtihani wa leseni na kusajiliwa ajira ziko njenje ndani na nje ya nchi.

Hii ya MD sasa hivi ni historia tu bro,. Na sisemi kuwa sio kozi nzuri, lakini kila siku maisha ya wanajamii yanavyoendelea kuboreka na magonjwa kama kipindupindu, malaria, kaswende, gonorrhea, UTI, TB, surua, polio, pepopunda, kifaduro, tetenasi, ajali, kwashiorkor, nk yainavyopungua kwenye jamii ndio hospitali zinavyopunguza uhitaji wa madaktari wa kuajiliwa. Badala yake wanahitaji wauguzi zaidi Na madakatari wa part-time tu. Na wakati mwingine wanahitaji clinical officers tu Na MD mmoja tu wa kudumu. Amkeni vijana wangu.
Unaumwa wivu wewe ..... manesi karibu wote Tanzania ni doctors wannabe.....ndio change cha wivu kama huu
 
Sidhani kama jamaa anazungumzia ishu ya mishahara. Nadhani kajikita kwenye urahisi wa kupata ajira kati ya kozi tajwa hapo juu.
Watu wanadanganyana tu Nursing Degree Tamisemi anaanza na TGHS C,wakati MD anaanza na TGHS E. nursing huwezi linganisha na MD mpaka siku ya Kiama.
 
Hata hivyo dunia sasa ni kijiji, unaweza kufanya utafiti mdogo we we mwenyewe kuhusu hiki ninachoshauri, changanya Na zako. Hata usipotaka kwenda nje ya nchi hata nchini uuguzi no dili pia. Nenda mahosipitalini ukahesabu idadi ya madakatari Na wauguzi walioajiliwa uone nan wako wengi.
Tatizo ni kuwa committed kwenye kazi, na kuwa tayari kujitolea kufanya kazi husika. Usimshauri mtu asome kozi Fulani kwasababu in ajira au rahisi kupata ajira, Bali mtu Kwanza awe na wito kwenye kazi husika. Kupata kazi ya nesi ni rahisi mahali kote lakini je mtu anayajua majukumu ya nesi?

Ni kazi ambayo ya kujitoa kwelikweli na kama huna wito hutaweza utafukuzwa tu a utaacha mwenyewe.
 
utumishi wanapanga mishahara mishahara mipya kwa watumishi kwa kuangalia pamoja na mambo mengine ni urefu (miaka ) wa kozi mtu aliyosoma. Kwavyovyote vile MD watawazidi mshahara kidogo tena kidogo wenzao wa uuguzi, pharmacy, laboratory, etc kwakuwa kusoma MD ni miaka 5 na mwaka mmoja wa mafunzo (internship) wakati uuguzi ni miaka 4 na 1 intern.

Zamani kidogo urefu wa degree ya uuguzi ulikuwa unawazubaisha sana pale Utumishi kwakuwa kulikuwa na degree za uuguzi za miaka 2.5, miaka 3 na miaka 4. Wengine walienda internship na wengine walikuwa hawaendi intern, hivyo ikawa vigumu kupanga salary scales. Lakini sasa tatizo hilo halipo kwakuwa degree ya uuguzi sasa ni miaka 4 na mwaka mmoja internship. Mambo saafiii. Baada ya kufaulu mtihani wa leseni na kusajiliwa ajira ziko njenje ndani na nje ya nchi.

Hii ya MD sasa hivi ni historia tu bro,. Na sisemi kuwa sio kozi nzuri, lakini kila siku maisha ya wanajamii yanavyoendelea kuboreka na magonjwa kama kipindupindu, malaria, kaswende, gonorrhea, UTI, TB, surua, polio, pepopunda, kifaduro, tetenasi, ajali, kwashiorkor, nk yainavyopungua kwenye jamii ndio hospitali zinavyopunguza uhitaji wa madaktari wa kuajiliwa. Badala yake wanahitaji wauguzi zaidi Na madakatari wa part-time tu. Na wakati mwingine wanahitaji clinical officers tu Na MD mmoja tu wa kudumu. Amkeni vijana wangu.
Kwahiyo kazi ya md ni kutibu stis,na kwashiorkor tu ebu kua serious chief? Mahitaji ya md bado ni makubwa Kuna mashirika mbalimbali yanayotaka hao mds ,kufundisha vyuo vya Kati kunataka mds etc usiwakatishe tamaa watu wanaopenda hiyo kozi .Kama unesi mtu asome akitaka
 
Maswala ya Afya ni muhimu kwetu kama wanadamu ila siwezi shauri mtu wa karibu nami ayasome
 
Kwahiyo kazi ya md ni kutibu stis,na kwashiorkor tu ebu kua serious chief? Mahitaji ya md bado ni makubwa Kuna mashirika mbalimbali yanayotaka hao mds ,kufundisha vyuo vya Kati kunataka mds etc usiwakatishe tamaa watu wanaopenda hiyo kozi .Kama unesi mtu asome akitaka
Sio kwamba watoto wanasoma MD kwa passion, wazazi ndo wanamwambia lazima uwe MTU Fulani bila kufahamu ugumu wa kozi na trend ya fani ikoje. Unasoma kozi miaka 6, masters miaka 4. Utawakuta watoto wenzio wa kozi fupi wako mbali sana kwenye maisha na familia.

Kazi ya udaktari ni ngumu kwelikweli ni wito tu unahitajika. Unacholipwa na ugumu wa masomo na Kazi havilingani kabisa na malipo. Utawaonea huruma vijana wakihangaika kutoka hospital moja kwenda nyingine kutaguta kipato ili angalau kifanane na title, wana madeni ya magari kama watumishi wengine tu, wanapanga nyumba kama wengine tu, wana magari ya mikopo kama wengine tu. Mbaya zaidi hata ajira ni shida pia.

Siku hizi wenye hospitals wanaringa, wanaangalia umehitimu udaktari kutoka chuo gani, maana vijana ni weupe mno vichwani. Kusema ukweli wanapofika kazini wanategemea manesi, lazima wafundishwe upya na manesi.
 
Vijana nasisitiza tena na tena, kama wewe unatoka familia maskini ambayo unategemewa upate ajira ili usaidie familia yako course yenye uhakika wa angalau kupata ajira ndani na nje ya Nchi ni Uuguzi. Kama unataka kujiajili mwenye we pharmacy ni ya kwanza na nursing inafuata. Habari za MD ilikuwa zamani hizoooo mama yako hajazaliwa. Hebu fikiria TU muhimbili kila mwaka inazalisha madaktari wapy 300, KCMC 300, Bugando 310, Kairuki 270, UDS 350, Kampala International University 360, UDom 500, na St. John's 400. Hebu nambie hao ni kwa mwaka mmoja TU na kila siku juhudi kwenye vyuo zinafanyika ili kuongeza majengo na walimu ili kuongeza udahili wa wanafunzi hao, na TCU imeshusha ufaulu wa kujiunga na kozi ya MD hadi DDD, Yani D physics, D kemia vna D biology. Ufaulu wa kujiunga na kozi ya nursing chuo kikuu uko juu kuliko ule wa MD, bila kuwa na C ya kemia huwezi kujiunga na Uuguzi. Jamani msidanganywe na historia, fuata trend
Upuuzi.... Hizi data ni za nchi gan??, em ifike point utafte ukweli kwanza kabla hujapayuka

upuuzi.... Maelezo yako yanakinzana... Mara kuna ajira nje na ndan ya nchi, mara unaweza hata kujiajiri pharmacy...

Tafta data zenye ukwel ndo uje utusihi huku
 
Ni uzi wa kitambo ila huyu jamaa anadanganya mno, sijui anadhani sisi hatuishi na hao madkt na manesi au sijui anadhani ni yeye pekee alieajiriwa kwenye hiyo kada.

Kweli hawa manesi ni wa kuwafananisha na madkt kwa kipato kweliii??
Mwamba umetukosea sana aisee.

Kama we umesomea hiyo kitu na unaipigia chapuo sawa ila huku mtaani hakuna ajira na jinsi vyuo vilivyo na utitiri ndo kabisaaaa.
 
Upuuzi.... Hizi data ni za nchi gan??, em ifike point utafte ukweli kwanza kabla hujapayuka

upuuzi.... Maelezo yako yanakinzana... Mara kuna ajira nje na ndan ya nchi, mara unaweza hata kujiajiri pharmacy...


Tafta data zenye ukwel ndo uje utusihi huku
Huyu jamaa anaacha kusa huko nje ya nchi hii ni ajira pendwa eti anasema hapa tz!! Huko mbele hata ualimu ti ni ajira nzuri na wanalipwa vyema.

Ila kibongo bongo kufananisha muuguzi na dkt ni matusi.
 
Vijana nasisitiza tena na tena, kama wewe unatoka familia maskini ambayo unategemewa upate ajira ili usaidie familia yako course yenye uhakika wa angalau kupata ajira ndani na nje ya Nchi ni Uuguzi. Kama unataka kujiajili mwenye we pharmacy ni ya kwanza na nursing inafuata. Habari za MD ilikuwa zamani hizoooo mama yako hajazaliwa. Hebu fikiria TU muhimbili kila mwaka inazalisha madaktari wapy 300, KCMC 300, Bugando 310, Kairuki 270, UDS 350, Kampala International University 360, UDom 500, na St. John's 400. Hebu nambie hao ni kwa mwaka mmoja TU na kila siku juhudi kwenye vyuo zinafanyika ili kuongeza majengo na walimu ili kuongeza udahili wa wanafunzi hao, na TCU imeshusha ufaulu wa kujiunga na kozi ya MD hadi DDD, Yani D physics, D kemia vna D biology. Ufaulu wa kujiunga na kozi ya nursing chuo kikuu uko juu kuliko ule wa MD, bila kuwa na C ya kemia huwezi kujiunga na Uuguzi. Jamani msidanganywe na historia, fuata trend
Udom MD 500??
Takwimu zako umezitoa wapi mkuu??
Hivi unazielewa kweli takwimu zako??
 
Ni uzi wa kitambo ila huyu jamaa anadanganya mno, sijui anadhani sisi hatuishi na hao madkt na manesi au sijui anadhani ni yeye pekee alieajiriwa kwenye hiyo kada.

Kweli hawa manesi ni wa kuwafananisha na madkt kwa kipato kweliii??
Mwamba umetukosea sana aisee.

Kama we umesomea hiyo kitu na unaipigia chapuo sawa ila huku mtaani hakuna ajira na jinsi vyuo vilivyo na utitiri ndo kabisaaaa.
Madaktari wengi siku hizi ni jobless mkuu usikatae. Pia wamekuwa wadangaji sana (kwa upande wa wanawake) mtaani maana hawana hata ajira.

Kwa upande wa vijana wa kiume ambao ni Madaktari wametekwa na betting.
 
Upuuzi.... Hizi data ni za nchi gan??, em ifike point utafte ukweli kwanza kabla hujapayuka

upuuzi.... Maelezo yako yanakinzana... Mara kuna ajira nje na ndan ya nchi, mara unaweza hata kujiajiri pharmacy...

Tafta data zenye ukwel ndo uje utusihi huku
Unachobisha kitu gani? Muhimbili tu madaktari wa meno (DDS)wanaohitimu kwa mwaka ni zaidi ya 200.
 
Madaktari wengi siku hizi ni jobless mkuu usikatae. Pia wamekuwa wadangaji sana (kwa upande wa wanawake) mtaani maana hawana hata ajira.

Kwa upande wa vijana wa kiume ambao ni Madaktari wametekwa na betting.
Mi sijaongelea kuhusu ujobless wa madaktari au hujaelewa nilichoandika??

Rudia kukisoma tena ulichoquote.
 
Kwahiyo kazi ya md ni kutibu stis,na kwashiorkor tu ebu kua serious chief? Mahitaji ya md bado ni makubwa Kuna mashirika mbalimbali yanayotaka hao mds ,kufundisha vyuo vya Kati kunataka mds etc usiwakatishe tamaa watu wanaopenda hiyo kozi .Kama unesi mtu asome akitaka
Kama hujui ni heri ukakaa kimya. daktari halisi (udaktari mama) ni physician (internal medicine) hao wengine ni branches tu. Kazi mama ya physician ni kuhangaika na magonjwa ya ndani yakiwemo communicable (malaria, tb, kaswende, chlamydia, HIV, kipindupindu, kichocho) and non communitie (kisukari, pressure) diseases. Hebu nambie, tangu ujue kutumia choo, kunawa mikono baada na choo na kabla ya kula, kulala kwenye chandarua
Udom MD 500??
Takwimu zako umezitoa wapi mkuu??
Hivi unazielewa kweli takwimu zako??
Wahitimu wa udom ndio worse kwenye market, why? Intake kubwa Na practical sites chache, wagonjwa wachache Na walimu wachache. Hiyo takwimu ya 500 isikuchanganye sana inaweza kushuka Na kupanda, LA muhimu ni kwamba udom inamimina sokoni ma MD kibao sokoni kila mwaka
 
Back
Top Bottom