Vijana wetu tu wafundishe somo la namna ya kufikiria ( critical thinking) ili wajifunze kutokana na makosa ya wengine Badala ya makosa yao wenyewe. Wakati ule MD inaitwa rare professional wanafunzi walikuwa wakisomeshwa bure kabisa 100%, Leo hii watoto wetu wanadungwa deni kubwa la miaka 5 na loans board na wengine hawapati kabisaaa. Hebu fikiria kijana Ana deni la mikopo ya miaka 5 atamaliza kulilipa lini hadi aanze kutengeneza faida? Hapo hapo unaambiwa ajira hamna.
Hiyo ni kweli kabisa, mtoto lazima awe na ndoto lakini lazima awe na uwezo kichwani pia. Sio mtoto anasema ana ndoto lakini ana supplement Karibu masomo yote kila semester, hiyo sio ndoto ni kufosikama mtoto ana ndoto za kuwa daktari msapport tuu,mambo ya ajira yatajulikana mbele kwa mbele
Watu wenye supp na wanazichomoa hao ndio wanajua vitu.Hiyo ni kweli kabisa, mtoto lazima awe na ndoto lakini lazima awe na uwezo kichwani pia. Sio mtoto anasema ana ndoto lakini ana supplement Karibu masomo yote kila semester, hiyo sio ndoto ni kufosi
Hiyo ni kweli kabisa, mtoto lazima awe na ndoto lakini lazima awe na uwezo kichwani pia. Sio mtoto anasema ana ndoto lakini ana supplement Karibu masomo yote kila semester, hiyo sio ndoto ni kufosi
Na lifestyle diseases nazo vipi ?Jitihada za kuboresha hali za maisha za watanzania zinaendenda sambamba na kupunguza umuhimu wa MD kwenye jamii. Watu wakizaa kwa mpango, wakala vizuri, wakavaa viatu, wakanywa maji safi, wakatumia choo, wakachanjwa, wakatii sheria za barabarani bila shuruti, wakalala kwenye net, na kupunguza utupaji ovyo wa takataka basi kiama cha madaktari (MD) kitawakuta live bila chenga, haha. Sisemi hata kidogo kwamba Madaktari sio muhimu kwenye jamii, lakini ninachokisema fursa zao za ajira zinazidi kuminywa kila siku kutokana na ukuwaji wa maendeleo ya kijamii na teknolojia ya mawasiliano duniani. Iko siku daktari aliyeko Marekani atatibu wagonjwa walioko Tanzania, lakini Nurse aliyeko Marekani hataweza kumhudumia mgonjwa aliyeko Tanzania.
Hivi kuna watu bado wanasoma hii clinical officer?!!!!!!Naimani hawa wanawazungumzia ma-clinical Officers
Hivi kuna watu bado wanasoma hii clinical officer?!!!!!!
Maana vyuo vyake ni vingi kama shule za kata, nadhani idadi ya clinical officers ni sawa au zaidi ya idadi ya wagonjwa (joking).
Tangu mwaka 2017..MUHAS pekee hupokea wanafumzi zaidi ya 300 kwakozi ya md pekee.Labda CO,lakini eti MD Udom 500!,wakati hata 20 hawafiki!
hizo takwimu anajua mwenyewe anakozitoa.
Weka takwimu za waliograduate MD huko muhas na Udom kwa mwaka 2021 ns 2020.Tangu mwaka 2017..MUHAS pekee hupokea wanafumzi zaidi ya 300 kwakozi ya md pekee.
Sasa juilize.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Tangu mwaka 2017..MUHAS pekee hupokea wanafumzi zaidi ya 300 kwakozi ya md pekee.
Sasa juilize.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Tghc c ni 910,000 tghs e-1480kKaka kuanzia sasa tambua kuwa manesi wamegawanyika kama ifuatavyo. Kwa kuafuata elimu wako manesi wenye certificates (Cheti), wenye Diploma, wenye bachelors, wenye masters Na wenye PhD. Kwa kufuata maeneo Kazi wako manesi ambao wako wodini, kuna walioko kwenye clinics, kwenye kufundisha vyuo, kwenye kufanya tafiti, viwandani, migodini, Na kwenye jamii.
Unapotaka kulinganisha vipato basi linganisha wenye elimu zinazofanana. Maana hata madaktari (matabibu) kuna wenye certificates tu, wenye Diploma, wenye degree, wenye masters Na wenye PhD.
Ukiona daktari wenye degree moja amemzidi sana nesi mwenye degree basi huyo dkt ana kitu cha ziada anachokifanya kama vile biashara, rushwa, wizi wa Mali au muda wa mwajiri wake au familia yake au anatoa mimba kiharamu. Mshahara wake haumzidi nesi kwa zaidi ya sh. 300,000, Na hiyo ziada inatokana tu Na idadi ya miaka ya kusoma kozi ya MD Na BScN. Lakini wale wenye diploma wanafanana wote mishahara.
Mwambie aubadilishe mshahara wake kwenye USD aone alivyokosea kusoma kozi ya miaka 6 kwa first degree TU, na deni kubwa mgongoni. Crazy.Hutaki acha..wenzako watauchukua...naona huzijui hospital private za bongo wewe..ndio mana nakuuliza upo bongo au wewe ni diaspora.
#MaendeleoHayanaChama
Ukdt ni changamoto mkuu, ahueni yake itapatikana kwa kujilipua kufanyakazi za ziada wakati ule wa familia. Yaani anaheKuna watu wanasoma course za kawaida na wanavuta mpunga WA maana kabisa tofauti na madr
Hata hiyo laki 5 anashukuru mungu kwa kusaidiwa kuipata na jamAa yake.Kwa maana ya upatikanaji wa ajira, huwezi kusema haitakaa viwe sawa..maana its all about demand and supply, miaka ya nyuma kidogo 2010 kurudi nyuma ukimaliza MD ni hot cake, sasa nashangaa saivi watu wanavyosema hapa kuna MDs wanalipwa hadi laki 5! Yaan wako saturated kiasi hiko ndio nashangaa...
Mzee hebu wewe toa takwimu zilizo sahihi kwa Wanajamvi. Tupe idadi kamili ya MD wote waliomaliza vyuo vyote Tanzania mwaka 2021.Wengi wanajiongelea tu ooh MD 500 wamegraduate chuo kimoja!
Tukimuuliza takwimu ametoa wapi sidhani kama atakuwa na majibu kweli maana hajui.
Aliyeweka takwimu atuambie amezitoa wapi za hivyo vyuo viwili.Mzee hebu wewe toa takwimu zilizo sahihi kwa Wanajamvi. Tupe idadi kamili ya MD wote waliomaliza vyuo vyote Tanzania mwaka 2021.
Shida sio usahihi Bali maudhui ya taarifa kuhusu trend ya udaktari nchini na duniani. Hushangai Leo ukitaka madaktari kutoka Cuba, urusi, misri, au Kenya watakuja kibao tena fasta. Ndio maana siku hizi hakuna migomo ya madaktari inayofanikiwa kuwaletea tija, labda migomo hiyo wawemo na manesi.Aliyeweka takwimu atuambie amezitoa wapi za hivyo vyuo viwili.
Lifestyle diseases ni nyingi marekani na ulaya, lakini elimu ni kubwa pia kwa watu, wengi wao wanajihudumia wenyewe kama vile kucheki blood glucose, vital signs, body weights, na medication. Hapo kwenye lifestyle and degerative disorders complications ndipo linapozuka swala za manesi wengi zaidi kuhitajika kuliko MDs.Na lifestyle diseases nazo vipi ?
Kwanini mzazi akubali mtoto apoteze miaka sita na fedha na deni kubwa kwa mtoto kusoma MD Badala ya kutumia rasilimali muda, pesa na vitu kama mtaji kwa kijana, au kusoma kitu kingine ili kupunguza msongamano kwenye MD?karibia kozi zote skuhiz graduates ni wengi
sema hio clinical Officer imeanza kua na magraduates wengi miaka hii ndio maana watu wanashangaa
NB:HAKUNA KWENYE UNAFUU SKUHIZI NI CONNECTION NA KUOMBA MUNGU TUU KWENYE ISSUE ZA KAZI