Vijana someni Uuguzi, una fursa nyingi

Mkuu toka zamani wapo wanaume manesi na tunawajua.
ila sema tu jamii ikimwona mwanaume hospitali inamdhania ni daktari
labda wale tu wanaoishughulisha akili yao ndo huweza kuwatofautisha.
 
Asome systemic pathology ili naye awe daktari? Yeye ni nurse ana mambo yake ya kusoma ambayo wewe ukiwa unasoma hiyo pathology yeye anayake mengine anasoma but mwisho wa siku wote mtakutanishwa kwa mgonjwa. Nursing na Medicine ni vitu viwili tofauti
Ndio Dr apewe heshima yake....usiseme et kisa wote wamesoma physiology na biochemistry bhc ukaona et Dr n sawa na nurse...its impossible for a nurse to DX a disease...yy n MTU wa kupewa tu instruction ya nn afanye bhc
 
Wewe unaonekana umesoma imtu.
Endelea kuvaa stethoscope shingoni hata bar kama mwehu.
 
Bado naona unatetea upupu tu.....kuilinganisha Md na nursing ni sawa na kulinganisha simu ya tekno na iPhone ,tekno zpo hadi za battani ila iPhone Hanlmna upuuz huo na tekno zko nyng sana kulko iPhone ila huo haifabyi ubora wa iPhone na tekno kuwa sawa....wew kama umesomea kozi hyo ipambanie uwezavyo ila sio kwa kuicompare na udaktari....hakuna nurse bila doctor ila kuna doctor bila nurse so kubali umezdiwa kete tu mkuu
 
Kama ktk hospital moja wanaajiri wauguzi wengi kuliko madaktari inamaana kuwa hawawezi kulipwa vizuri kuliko MD's.
Bidhaa za bei poa ndio zina walaji wengi....tekno n bei poa ndio maana tunatumia wemgi ila iPhone wanatumia wachache...unesi ni kama simu za tekno ila Md n level ya iPhone...heshima ifate Mkondo jmn
 
Nyie ndio mnakuwa masecretary wakat n wanaume...do a work which makes u even proud to introduce yourself as a gentleman.... Huku kwetu nchi maskin unesi na usecretary n kaz za kike hata utetee vp....ukimuita nesi tu mbele ya watu anakumaindi[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Wewe unaonekana umesoma imtu.
Endelea kuvaa stethoscope shingoni hata bar kama mwehu.
Umekosa point...mm sjasoma imtu mkuu...ila msifananishe kazi za kidada na kaz za kiume...muwe na adabu[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Sijui umeandika ujinga gani huu. Nimesema nursing na medicine ni fani tofauti lakini kusema eti hakuna nurse bila daktari ni ujinga uliopitiliza na ujinga wako utaujua siku nurses wakikuachia wodi uwahudumie wagonjwa wako. Pengine najibizana na CO, sidhani kama MMED anaweza comment pumba kama zako
 
Unaishi kwa kuangalia watu? Ulizaliwa nao? Utakufa nao? Jinga kabisa wewe
 
Ndio Dr apewe heshima yake....usiseme et kisa wote wamesoma physiology na biochemistry bhc ukaona et Dr n sawa na nurse...its impossible for a nurse to DX a disease...yy n MTU wa kupewa tu instruction ya nn afanye bhc
Eti it's impossible for a nurse to diagnose a disease!! Hahahahaha. Yaani nifanye assessment nishindwe kudiagnose! Nilienda shule kusoma au kutafuta wachumba?
 
Ndio Dr apewe heshima yake....usiseme et kisa wote wamesoma physiology na biochemistry bhc ukaona et Dr n sawa na nurse...its impossible for a nurse to DX a disease...yy n MTU wa kupewa tu instruction ya nn afanye bhc
Eti it's impossible for a nurse to diagnose a disease!! Hahahahaha. Yaani nifanye assessment nishindwe kudiagnose! Nilienda shule kusoma au kutafuta wachumba?
 
Umekosa point...mm sjasoma imtu mkuu...ila msifananishe kazi za kidada na kaz za kiume...muwe na adabu[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Hiyo mindset ya kimapokeo ni zilipendwa kaka. Nenda Ulaya na Marekani ukaseme ni DK uone kitakachotokea, hata kufirw wanaweza
 
Hiyo mindset ya kimapokeo ni zilipendwa kaka. Nenda Ulaya na Marekani ukaseme ni DK uone kitakachotokea, hata kufirw wanaweza
Unabishana na mtu ambaye hata uuguzi haujui coz kasema nurse hawezi diagnose. Pili anadhani ukiwa daktari basi uabudiwe. Nimebahatika kufanya kazi na residents, MDs na intern doctors kwa hiyo strength zao na weakness zao nazijua kwa hiyo huyu bwana kama ni CO anatupotezea mda kubishana
 
Eti it's impossible for a nurse to diagnose a disease!! Hahahahaha. Yaani nifanye assessment nishindwe kudiagnose! Nilienda shule kusoma au kutafuta wachumba?
Short sited huyu. Anadhani nurse hawezi kudiagnose, nurse anaweza kutofautisha kati ya hydrocele na hernia, anaweza kufanya Graham stain, acid fact, blood smear, auscultation, palpation, take vital signs, set catheter, anafahamu the 9 abdominal quardriants na contents zake, anafahamu kazi za cranial nerves zote na inervations zote, anafahamu bacteria, parasites, protozoa, fungi, viruses, helmenthes wote atashindwaje kudiagnose, ndio mnavyojidanganya malofa nyie.

Kazi za DK, nurse, pharmast, lab, therapist, radiologist, NK ni mgawanyo wa kazi Tu Kwa manufaa ya mgonjwa. Hakuna superior wala inferior kwenye timu Ile. Hovyo kabisa hawa.
 

Meaning MD anasoma Pharmacology kama anayosoma BPharm? Kuna kitu hakiko sawa kwenye hicho chuo, either kuna anaekuwa overdosed ama kuna anaekua shallowed
 

Hili nakuunga mkono, ukiangalia entry qualifications za NACTE kwa kozi za afya kwa ngazi ya Diploma na Certificate, Nursing wanahitaji C-pass in Chemistry and Biology and atleast D in Physics, Mathematics and English. Kozi inayofuatia hapo kwa vigezo vigumu ni maabara, D-pass ina five subjects (Physics, Chemistry, Biology, Mathematics and English), hizi kozi nyingine ni ufaulu wa Kemia, Biolojia na Fizikia kidogo na Pass nyingine yoyote.
 
Hapo kuna mitazamo tofauti,na huu ubishani hauna afya kwa jamii tunayoihudumia. Nilichokigundua kwa haraka haraka Mzinza wa town unatema madini ya hali ya juu na kuonesha uzoefu wako wa kazi,na huna 'Inferiority complex' lakini kavulata mzee unaonekana hukubaliani na hoja za kusema MD ana shule kuliko Nurse ambapo kwa mtazamo wako huo hata ikitokea umeajiriwa (Kama bado ni mwanafunzi) lazima utaleta mikwaruzano kazini kwasababu ya 'Inferiority Complex' uliyonayo.

Nakubaliana na wewe kuwa kuna fursa nyingi za ajira kwenye hiyo kada yako kulingana na uchache mlionao. Hitimisho langu ubishani wa nani ana shule sio mzuri kwa vijana watakaokuwa na matarajio ya kufanya kozi husika,tunawajengea picha mbaya huko mbeleni.

Nikuombe tu kavulata tafuta 'Job description' ya wizara ya Afya utafahamu nani anatoa na nani anapokea oda kutoka kwa mwenzake.
 
Meaning MD anasoma Pharmacology kama anayosoma BPharm? Kuna kitu hakiko sawa kwenye hicho chuo, either kuna anaekuwa overdosed ama kuna anaekua shallowed
Clinical pharmacology ni the same kwa wote lakini pharmacology yenu wapharmacia na yale ma pharmacognosy mnasoma kivyenu ambayo sisi hatusomi. Ni BMLS tu ambao hawasomi clinical pharmacology
 
Tatzo unahasira kisa umesomea unesi....komaa tu na unesi wako ila usituaminishe upuuz wako hapa....siku nikiamini nesi ni sawa na daktari in status bhc naombeni mniue tu jmn.....heshima iwepo Dada yangu
 
Unaishi kwa kuangalia watu? Ulizaliwa nao? Utakufa nao? Jinga kabisa wewe
Nyie ndio mnakuwa mashoga kisa mnafata ur fantasy[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] kasome tu unesi ila itachukua miaka bilioni kuniaminisha unesi n mzur kulko udaktari...pambaneni na hali zenu tu muache majungu na roho mbaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…