Vijana someni Uuguzi, una fursa nyingi

Vijana someni Uuguzi, una fursa nyingi

Ukiangalia kwa upeo huo huwezi make conclusion kwa sababu hujui mishe mishe anazofanya nje ya kazi yake...., kinachozungumzwa hapa na mleta mada ni kuwa nursing iko juu kwa sasa kuliko udaktari [emoji2] [emoji2] [emoji2] hiki kitu hakiji kutokea hata siku moja,,, kwanza nurse huwa wanawaona ma Dr kama viongozi wao na huwa wanapokea order tuu ni mwendo wa kuambiwa weka canula hapa speed to maximum and you follow,,Na huo ndo utaratibu
Kuweka cannula ni kazi ya daktari
 
Huu ubishan si mzur kwa kuwa nurses na Dr huwa wanatoa huduma kwa Jamii,, Nurse Ana shule kwa level yake lakini si kiwango cha kulinganishwa na Dr,,,, Dr anaweza kufanya kazi zote anazofanya nurse Lakin kinyume chake tunaweza Pata maajabu
Si kweli kama dr anaweza fanya kazi zote anazofanya nurse kwa mfano namna ya kufanya bed bath inavyotakiwa kiprocedure nurse hufundishwa namna ya kufanya lakini daktari hafundishwi namna ya kufanya bed bath na vingine vingi tu nurses wanafanya madaktari hawawezi fanya.
 
Kuna mwenzako anadai nursing Wana shule kubwa kuliko u Dr
Inategemea na aina ya nurse na chuo alichosoma huyo nurse na kujituma kwa mtu binafsi Kwa mfano chuo nilichosoma MD, nursing na Bpharm wote tulikuwa tunasoma pamoja, tunashare walimu na mtihani wote ni mmoja kwa courses kama microbiology, parasitology, clinical pharmacology, basic na clinical physiology, biostatistics, health psychology, DS na si kweli kwamba MD students walikuwa siku zote wanaongoza katika course zote kwa sababu kusoma udaktari haimaanishi utawazidi wengine kwa kila kitu.
 
Fact. Lakini wapo wauguzi wa degree wa hovyo bora hao wa certificate na diploma and vice versa. Na kwa madaktari vivyo hivyo
Hata MD graduates wako ambao heri ya COs, hopeless.

Madaktari siku zote wanafikiria wale wauguzi wa darasa la saba, form IV failure, TNs, Diploma ambao walikuwa wanawatuma kuwapikia chai. Lol! siku hizi unaongea na nurse mwenye ujuzi kweli kuliko MD katika kumsaidia mgonjwa apone.

Huyu muuguzi wa sasa anayo anatomy, physiology, pharmacology, biochemistry, microbiology, research, parasitology, immunology, DS, community ileileeee ya MD,. Muuguzi ana Leadership, teaching methodology, entrepreneurship ambayo wao hawana.

Huyu wa sasa anajadiliana hafuati amri.
 
Madogo niwaambie tu, nursing ina fursa ya kutoka chap kwa haraka kuliko Medicine. MD sifa tu....maisha yao kawaida sana.
 
Ukiangalia kwa upeo huo huwezi make conclusion kwa sababu hujui mishe mishe anazofanya nje ya kazi yake...., kinachozungumzwa hapa na mleta mada ni kuwa nursing iko juu kwa sasa kuliko udaktari [emoji2] [emoji2] [emoji2] hiki kitu hakiji kutokea hata siku moja,,, kwanza nurse huwa wanawaona ma Dr kama viongozi wao na huwa wanapokea order tuu ni mwendo wa kuambiwa weka canula hapa speed to maximum and you follow,,Na huo ndo utaratibu
Didhani kama umemuelewa mtoa mada amelinganisha fursa not title, koz kititle md ipo juu tu inajulikana hivyo
 
Si kweli kama dr anaweza fanya kazi zote anazofanya nurse kwa mfano namna ya kufanya bed bath inavyotakiwa kiprocedure nurse hufundishwa namna ya kufanya lakini daktari hafundishwi namna ya kufanya bed bath na vingine vingi tu nurses wanafanya madaktari hawawezi fanya.
Una uhakika na hiki unachosema??
 
Aliyetengeneza huu uzi naona kama vile hamjamuelewa vizuri...yeye amemaanisha kwamba nursing ina fursa nyingi za ajira kuliko udaktari which is true!... hata ukiangalia mahospitali wakitangaza nafasi za ajira wanakuwa na uhitaji wa Nurses wengi kuliko facualty zingine zote za afya including MD!...

Wanaweza tangaza nafasi 200 kwa ajili ya Nurses na nafasi 5 kwa ajili ya Doctors!...Kuhusu title ni kweli Doctor ana title kubwa kuliko Nurse ila mwenye nafasi kubwa ya kupata ajira ni Nurse kuliko Doctor!!...Kwahyo hapa sasa ni ww mwenyewe kuchagua kati ya title au ajira!
 
Kipi apewe kipi asipewe,, kipi nurse afanye & in any changes nurse afanye nn anapo mu alert Dr... These aren't order? Isn't your responsibility? Me naona tuwaache vijana wanaotaka kusoma wasome wanachopenda na sio kuwadanganya kuwa akisoma fani fulan atakuwa secured

Sawa mkuu nmekuelewa
# ila sio order ila ana share idea kwa kile anachokjua kwa lengo la kumsaidia mgonjwa
Anawezasema kitu ambacho sio sahihi nurse asifanye kama alivyo ambiwa ...aka apply nursing knowledge na akafanya kama yeye anavyojua.

Nurse anasoma sawa kama Md lakini kuna baadhi ya vitu mds are more deep than nurses
Lakini baazi ya kozi are exactly equal
 
Aliyetengeneza huu uzi naona kama vile hamjamuelewa vizuri...yeye amemaanisha kwamba nursing ina fursa nyingi za ajira kuliko udaktari which is true!... hata ukiangalia mahospitali wakitangaza nafasi za ajira wanakuwa na uhitaji wa Nurses wengi kuliko facualty zingine zote za afya including MD!...Wanaweza tangaza nafasi 200 kwa ajili ya Nurses na nafasi 5 kwa ajili ya Doctors!...Kuhusu title ni kweli Doctor ana title kubwa kuliko Nurse ila mwenye nafasi kubwa ya kupata ajira ni Nurse kuliko Doctor!!...Kwahyo hapa sasa ni ww mwenyewe kuchagua kati ya title au ajira!

Nimekuelewa chief kuwa nurses Wana fulsa nyingi ama nafasi zao hutangazwa kwa wingi kuliko MD's. Sababu iliyopo ni saving,,,, unaposemea fulsa sijui mnaangalia idadi inayotangazwa au uhitaji wa jamii husika. MD's hata zikitangazwa nafasi tano kwenye setting fulan huwa hawapatikan kirahisi pia.

So fulsa zipo na nawaencourage vijana waombe tuu coz anayopenda wa nursing aombe ingawa nurse wa kiume ukimwita "nurse"mbele ya mgonjwa inaonekana shida pia na anaweza asikuitikie kabisa..,,,,
 
Sidhani kama utakuwa sawa ukiogopa kuitwa nurse, mimi ni nurse na ni Me, wala sina tatizo, mbona ni sawa tu kwangu, maana hata avatar yangu inajieleza kabisa?
 
Nimekuelewa chief kuwa nurses Wana fulsa nyingi ama nafasi zao hutangazwa kwa wingi kuliko MD's. Sababu iliyopo ni saving,,,, unaposemea fulsa sijui mnaangalia idadi inayotangazwa au uhitaji wa jamii husika. MD's hata zikitangazwa nafasi tano kwenye setting fulan huwa hawapatikan kirahisi pia... So fulsa zipo na nawaencourage vijana waombe tuu coz anayopenda wa nursing aombe ingawa nurse wa kiume ukimwita "nurse"mbele ya mgonjwa inaonekana shida pia na anaweza asikuitikie kabisa..,,,,
MMED ndo wachache MDs wengi mno hadi health centers wanaajiriwa siku hizi
 
Back
Top Bottom