Vijana someni Uuguzi, una fursa nyingi

Vijana someni Uuguzi, una fursa nyingi

Nursing INA fursa nyingi zaidi. Kuna jamaa mmoja ana diploma tu ya NURSING ila maisha anayoishi MD hafuati
Ukiangalia kwa upeo huo huwezi make conclusion kwa sababu hujui mishe mishe anazofanya nje ya kazi yake...., kinachozungumzwa hapa na mleta mada ni kuwa nursing iko juu kwa sasa kuliko udaktari [emoji2] [emoji2] [emoji2] hiki kitu hakiji kutokea hata siku moja,,, kwanza nurse huwa wanawaona ma Dr kama viongozi wao na huwa wanapokea order tuu ni mwendo wa kuambiwa weka canula hapa speed to maximum and you follow,,Na huo ndo utaratibu
 
Ukiangalia kwa upeo huo huwezi make conclusion kwa sababu hujui mishe mishe anazofanya nje ya kazi yake...., kinachozungumzwa hapa na mleta mada ni kuwa nursing iko juu kwa sasa kuliko udaktari [emoji2] [emoji2] [emoji2] hiki kitu hakiji kutokea hata siku moja,,, kwanza nurse huwa wanawaona ma Dr kama viongozi wao na huwa wanapokea order tuu ni mwendo wa kuambiwa weka canula hapa speed to maximum and you follow,,Na huo ndo utaratibu
Nursing INA nafasi nyingi za ajira, maana waweza kuta Hosp moja madaktari wanahtaji 10 ila nursing zaidi ya 50. Ina wigo mkubwa wa ajira, half kutumwa canulla haimaanishi ni fani ya kinyonge. Daraja LA mshahara ni almost the same
 
Nioneshe nursing officer asie na kazi nikuletee MD anaeishi kwa laki nne kwa kufundisha chuo cha diploma


MD sifa nyingi ila njaa kali
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kweli kabisaa mkuu tatizo vijana wakiwa shule wanakuwa na matarajio makubwa saaana.
 
MD imepungua thamani yake sana miaka hii.

Nursing inazidi kupamba moto maana wahitimu ni wachache sana.

Kikubwa watu waheshimiane tu na kazi ziendelee
 
Nioneshe nursing officer asie na kazi nikuletee MD anaeishi kwa laki nne kwa kufundisha chuo cha diploma


MD sifa nyingi ila njaa kali
Ukiona anafundisha ujue hiko ni kijiwe na atakuwa na hospital kama mbili ambazo anafanya kazi

NB:nionyeshe nurse mwenye vijiwe vingi kuliko Dr
 
Ukiangalia kwa upeo huo huwezi make conclusion kwa sababu hujui mishe mishe anazofanya nje ya kazi yake...., kinachozungumzwa hapa na mleta mada ni kuwa nursing iko juu kwa sasa kuliko udaktari [emoji2] [emoji2] [emoji2] hiki kitu hakiji kutokea hata siku moja,,, kwanza nurse huwa wanawaona ma Dr kama viongozi wao na huwa wanapokea order tuu ni mwendo wa kuambiwa weka canula hapa speed to maximum and you follow,,Na huo ndo utaratibu

Kaka kwa sasa hio hali ya nurse kumuona doctor/Amo/CO kama kiongozi haipo tena...
(Nursing is distinctly from medicine)

Nursing kwa sasa ni professional inayojitegemea kabisa lakini wakati wa kumsaidia mgonjwa ndio they work as a team na kila mtu atafanya kazi yake ...kwa mfano doctor atafanya medical diagnosis nurse pia atafanya nursing diagnosis
#nurse kiongozi wake kwenye hospital anaitwa nursing director ambae ni nurse pia
#profesional zingine kama physician(md),lab technologist,& pharmacist wote wako chini ya medical director....kiasi flani utakua umelewa kidogo.
 
Nursing INA nafasi nyingi za ajira, maana waweza kuta Hosp moja madaktari wanahtaji 10 ila nursing zaidi ya 50. Ina wigo mkubwa wa ajira, half kutumwa canulla haimaanishi ni fani ya kinyonge. Daraja LA mshahara ni almost the same

http://www.tamisemi.go.tz/storage/app/media/uploaded-files/AJIRA ZA AFYA-pdf-compressed.pdf
#io link ni mfano tosha ni watu gan I wanaitajika kwa wingi....ajira zilizotoka mwaka huu
Nurses level zote wapo 2000 na points
Pharmacist level zote wapo 300...mia 3
Lab technologist __//_______200...mia2
Medical doctor hawafik 200..mia2
Clinical officers/clinical assistant...1600 na points.
Pia fungua link uangalie
 
Mkuu we utakuwa muuguzi, hiyo shule haina kitu. Tunagombana na wanaume manesi huku muda wengine hadi wanatuomba mbele ya wagonjwa tusiwaite manesi, nesi huna content ya kumzidi daktari acha kudanganya, kwa mwanaume kuwa nesi ni basi tu hakuna namna, unesi uliandaliwa kwa ajili ya wanawake, hata kanuni zao zilikuwa zimeanza na ''she'' mabadiliko yametokea 2010 kwenda mbele, ni moja kati ya kazi ngumu mno unesi.. ila kwa kuwa umejikubali haina shida nesi wangu.
Nurses wasiku izi wanashule awapelekeshwi kama nurses Wa zamani
 
Nikusahihishe mkuu.Kabla ya makato daktari ana 1,480,000 wakati nurse and 980,000

Hii tofauti kwako ni ndogo?Maana laki tano ni mshahara wa mtu kabisa

Kipato cha ziada cha nurse ni nini kama sio part time?

Mimi nadhani mtu akasome nursing kwa sababu anapenda ila ukilinganisha kazi na maslahi,atajila[/
#kaka miongoni mwa vigezo vya mshahara ni miaka ya kusoma...zaman nursing walitambulika kusoma 3years japo baadhi ya vyuo ilikua 4years kwaio kulikua na ugumu wakati wa kupandishiwa mshahara maana miaka ya kusoma haikua fixed..ndio maana nurse alilipwa 980k similar to lab technologist ambaye anasoma 3years
#lakini kuanzia mwaka huu vyuo vyote vya nursing (degree level) ni miaka minne na internship mmoja jumla 5years ....kwaio kuanzia mwaka kesho mshahara kwa wauguzi utapanda sana...md ataweza kua juu kwa laki 1.tu kwakua yeye anasoma almost 6years
 
Hakuna nurse mwenye shule kumzidi Daktari msidanganyane nyie manesi mnapokutana kwenye vijiwe vyenu vya kahawa huko..
Haiji kutokea mkuu nurse kuwa na shule kumzidi Dr... Hawa watu wanabisha vitu wasivyojua ama kwa kuwa huwa wanakaa na client mda mwingi basi wanahisi kila anachofanya nurse ni maamuzi yake totally wrong...., Nurse unaemwona anajua ni vile anaona Specialist au prof anafanya then nayeye Ana copy in long time experience..., lakini ikija swala la pathophysiology ha ha ha haaaa utamsikia sisi huwa tunawapatia hii tuu na hii hatuwapi
 
Nurses wasiku izi wanashule awapelekeshwi kama nurses Wa zamani
Huu ubishan si mzur kwa kuwa nurses na Dr huwa wanatoa huduma kwa Jamii,, Nurse Ana shule kwa level yake lakini si kiwango cha kulinganishwa na Dr,,,, Dr anaweza kufanya kazi zote anazofanya nurse Lakin kinyume chake tunaweza Pata maajabu
 
Kaka kwa sasa hio hali ya nurse kumuona doctor/Amo/CO kama kiongozi haipo tena...
(Nursing is distinctly from medicine)
Nursing kwa sasa ni professional inayojitegemea kabisa lakini wakati wa kumsaidia mgonjwa ndio they work as a team na kila mtu atafanya kazi yake ...kwa mfano doctor atafanya medical diagnosis nurse pia atafanya nursing diagnosis
#nurse kiongozi wake kwenye hospital anaitwa nursing director ambae ni nurse pia
#profesional zingine kama physician(md),lab technologist,& pharmacist wote wako chini ya medical director....kiasi flani utakua umelewa kidogo.
We give order & must be adhered too,
 
Order kama zipi mkuu?
Kipi apewe kipi asipewe,, kipi nurse afanye & in any changes nurse afanye nn anapo mu alert Dr... These aren't order? Isn't your responsibility? Me naona tuwaache vijana wanaotaka kusoma wasome wanachopenda na sio kuwadanganya kuwa akisoma fani fulan atakuwa secured
 
Kaka udaktari una ngazi kuanzia ngazi ya chini kabisa ya Assistant Clinical officer, Clinical Officer, Medical Officer, Masters na PhD. Hata uuguzi nao unaanzia Certificate, Diploma, Bachelor, Masters na PhD. Madaktari mara nyingi huwa mnakutana wodini na wauguzi wenye Certificate, Diploma au Health attendants. Hao pia wana elimu ndogo kiwango cha ACO na COs wenu ndio maana huoni makali yao na wanakusikiliza mwanzo mwisho hata ukiboronga. Lakini Nesi mwenye degree ana kiwango cha Anatomy, physiology, Biochemistry, Microbiology, Pharmacology, Parasitology, DS, Biostatistics, Epidemiology sawa na kile cha Daktari. Baada ya hapo anakuwa Obstetrics ya hali ya juu, surgery, medical na Pharmacology nyingine ya hali ya juu kuliko daktari. Unafundishwa leadership na management kubwa.

Fanyakazi na Muuguzi mzoefu mwenye degree au Masters ili uone atakavyokuendesha puta.

Hao uliowaona wewe ni certificate na diploma. Hakuna Daktari ambaye hajafundishwa na kuonyeshwa cha kufanya na muuguzi.
Fact. Lakini wapo wauguzi wa degree wa hovyo bora hao wa certificate na diploma and vice versa. Na kwa madaktari vivyo hivyo
 
Back
Top Bottom