Glenohumeral joint
JF-Expert Member
- Oct 29, 2017
- 2,054
- 2,902
Labda magonjwa ya minyoo na malaria ndio mnatibu...everything about systemic pathology mko empty maana hamjasoma hii koz....muwe na heshima bhn...yaan Dr mlinganishe na dentist ila sio kozi za like kama nursing..bullshitEti it's impossible for a nurse to diagnose a disease!! Hahahahaha. Yaani nifanye assessment nishindwe kudiagnose! Nilienda shule kusoma au kutafuta wachumba?
N kwann tukiwaita manesi kwenye wodi mnamaindi sasa kama kweli mnaipenda kaz yenu!!! Hamjiamin kabisa ...et nesi James[emoji3] [emoji3] [emoji3]Unaishi kwa kuangalia watu? Ulizaliwa nao? Utakufa nao? Jinga kabisa wewe
Umesema kweli mkuu,hiyo ya manesi na DDS kula mkwanja mrefu ni katika nchi zilizoendelea ,sio Africa.Hayo yote uliyoyasema ni sawa ila sio kwa TZ hapa
Uuguzi kwetu ni miongoni mwa kazi ngumu na yenye risk kubwa na mapato kidogo sana
Muuguzi mwenye shahada serikalini ana basic ya 980K na amesoma miaka minne..Yani analingana mshahara na Lab scientist aliyesoma miaka mitatu
Sijasema MTU akiwa Dr aabudiwe ,na wala mm sisemi unesi ni kaz isiyofaa..nachompinga mleta mada n kusema unesi ni superior over Md.. Hapo tu...n bora aseme tu kila koz INA umuhimu wake ila sio kusema et nesi n bora kulko doctor..hii sikubali had kesho yaanUnabishana na mtu ambaye hata uuguzi haujui coz kasema nurse hawezi diagnose. Pili anadhani ukiwa daktari basi uabudiwe. Nimebahatika kufanya kazi na residents, MDs na intern doctors kwa hiyo strength zao na weakness zao nazijua kwa hiyo huyu bwana kama ni CO anatupotezea mda kubishana
Short sited huyu. Anadhani nurse hawezi kudiagnose, nurse anaweza kutofautisha kati ya hydrocele na hernia, anaweza kufanya Graham stain, acid fact, blood smear, auscultation, palpation, take vital signs, set catheter, anafahamu the 9 abdominal quardriants na contents zake, anafahamu kazi za cranial nerves zote na inervations zote, anafahamu bacteria, parasites, protozoa, fungi, viruses, helmenthes wote atashindwaje kudiagnose, ndio mnavyojidanganya malofa nyie. Kazi za DK, nurse, pharmast, lab, therapist, radiologist, NK ni mgawanyo wa kazi Tu Kwa manufaa ya mgonjwa. Hakuna superior wala inferior kwenye timu Ile. Hovyo kabisa hawa.
Md anasima clinical pharmacology, different kabisa na ile ya pharmacy....cjui hawa wamesomea vyuo gan??Meaning MD anasoma Pharmacology kama anayosoma BPharm? Kuna kitu hakiko sawa kwenye hicho chuo, either kuna anaekuwa overdosed ama kuna anaekua shallowed
Hapa tunazungumzia nesi wa degree na MD ...compare and contrast them with factsHili nakuunga mkono, ukiangalia entry qualifications za NACTE kwa kozi za afya kwa ngazi ya Diploma na Certificate, Nursing wanahitaji C-pass in Chemistry and Biology and atleast D in Physics, Mathematics and English. Kozi inayofuatia hapo kwa vigezo vigumu ni maabara, D-pass ina five subjects (Physics, Chemistry, Biology, Mathematics and English), hizi kozi nyingine ni ufaulu wa Kemia, Biolojia na Fizikia kidogo na Pass nyingine yoyote.
We jamaa umeongea point sana....big upHapo kuna mitazamo tofauti,na huu ubishani hauna afya kwa jamii tunayoihudumia. Nilichokigundua kwa haraka haraka Mzinza wa town unatema madini ya hali ya juu na kuonesha uzoefu wako wa kazi,na huna 'Inferiority complex' lakini kavulata mzee unaonekana hukubaliani na hoja za kusema MD ana shule kuliko Nurse ambapo kwa mtazamo wako huo hata ikitokea umeajiriwa (Kama bado ni mwanafunzi) lazima utaleta mikwaruzano kazini kwasababu ya 'Inferiority Complex' uliyonayo.
Nakubaliana na wewe kuwa kuna fursa nyingi za ajira kwenye hiyo kada yako kulingana na uchache mlionao. Hitimisho langu ubishani wa nani ana shule sio mzuri kwa vijana watakaokuwa na matarajio ya kufanya kozi husika,tunawajengea picha mbaya huko mbeleni.
Nikuombe tu kavulata tafuta 'Job description' ya wizara ya Afya utafahamu nani anatoa na nani anapokea oda kutoka kwa mwenzake.
Hii imtu nn??Clinical pharmacology ni the same kwa wote lakini pharmacology yenu wapharmacia na yale ma pharmacognosy mnasoma kivyenu ambayo sisi hatusomi. Ni BMLS tu ambao hawasomi clinical pharmacology
Clinical pharmacology wanayosoma MD pharmacy wanasoma kama basic pharmacology..Clinical pharmacology ni the same kwa wote lakini pharmacology yenu wapharmacia na yale ma pharmacognosy mnasoma kivyenu ambayo sisi hatusomi. Ni BMLS tu ambao hawasomi clinical pharmacology
[emoji23]N kwann tukiwaita manesi kwenye wodi mnamaindi sasa kama kweli mnaipenda kaz yenu!!! Hamjiamin kabisa ...et nesi James[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Hakiya nani kijana wewe una the wrong information about nursing.Kazi kwelkweli.....nurse hajui congenital anomalies za system yoyote ile,nurse hajui inflammatory condition za system yoyote ile,nurse hajui tumor and malignant conditions za system yoyote ile...then u say a nurse is equal to a doctor??! Au mnadanganywa na zile basics za anatomy,pathology,biochemistry, general pathology,parasitology na microbiology tunazosoma pamoja??? Nyie mseme tu kuwa kila koz n muhimu ila msiseme nesi is superior over a doctor, hili napinga miaka buku.
anaemind kuitwa nesi ni chizi tu kama wewe. Nesi zama ilikuwa na watu wasiokuwa na elimu, hiyo ndiyo image mliyokuwa nayo hadi sasa. mtanyooka tu na vimanati vyevu shingoni, it is a matter of time. mnasumbuliwa na lack of exposure.[emoji23]
Clinical pharmacology ni the same kwa wote lakini pharmacology yenu wapharmacia na yale ma pharmacognosy mnasoma kivyenu ambayo sisi hatusomi
Mleta mada umemnukuu vibaya yeye amesema nursing ina fursa nyingi kuliko MDSijasema MTU akiwa Dr aabudiwe ,na wala mm sisemi unesi ni kaz isiyofaa..nachompinga mleta mada n kusema unesi ni superior over Md.. Hapo tu...n bora aseme tu kila koz INA umuhimu wake ila sio kusema et nesi n bora kulko doctor..hii sikubali had kesho yaan
Your wrong unaposema nurse hayajui hayo na pengine chuo ulichosoma kina MD students peke yake kwa hiyo habari za nursing unazisikia vijiweniKazi kwelkweli.....nurse hajui congenital anomalies za system yoyote ile,nurse hajui inflammatory condition za system yoyote ile,nurse hajui tumor and malignant conditions za system yoyote ile...then u say a nurse is equal to a doctor??! Au mnadanganywa na zile basics za anatomy,pathology,biochemistry, general pathology,parasitology na microbiology tunazosoma pamoja??? Nyie mseme tu kuwa kila koz n muhimu ila msiseme nesi is superior over a doctor, hili napinga miaka buku.
Unajua Bipolar Disorder Plus Schizophrenia Zinakusumbua Sana,anaemind kuitwa nesi ni chizi tu kama wewe. Nesi zama ilikuwa na watu wasiokuwa na elimu, hiyo ndiyo image mliyokuwa nayo hadi sasa. mtanyooka tu na vimanati vyevu shingoni, it is a matter of time. mnasumbuliwa na lack of exposure. Hushangai kuwaona wahitimu wa udakatari hawana ajira mitaani siku hizi? na bado mtakoma, vyuo vinaendelea kutema madaktari ronyaronya kila mwaka, hadi mtalilia kwenda kufanyakazi vijijini. Someni alama za nyakati, udaktari zamani bwana sio siku hizi ambazo wagonjwa wengi wanagoogle Dx na Rx zao.
Kwa taarifa yako degree yangu ya kwanza haikuwa bachelor of Nursing but nimeenda mbali zaidi ya bachelor of Nursing na bado naendelea kusoma. Nilipokuwa first year ilkiwa ruksa kuhama toka Bpharm to MD, BMLS to MD, BSN to Bpharm or MD na wengi walifanya hivyo lakini kwa upande wangu sikutaka ingawa ningetaka isingeshindikana. Kwa hiyo daktari usidhani kama ningetaka kusoma hiyo Medicine nisingeweza na nina hakika ningekuwa daktari bora kabisaTatzo unahasira kisa umesomea unesi....komaa tu na unesi wako ila usituaminishe upuuz wako hapa....siku nikiamini nesi ni sawa na daktari in status bhc naombeni mniue tu jmn.....heshima iwepo Dada yangu
Kwasasa wala haiko hivyo mindset za watu zimeshabadilika ni kama zamani mwalimu alikuwa ni mtu aliyefeli hata nyumbani wazazi husema usikose hata ualimu basi, lakin kumbe kuna watu wana one zao za advance wakapiga education nowdays inaeleweka kuwa sio kila mwalimu amefeli japo ndichi bado lakinNimekuelewa chief kuwa nurses Wana fulsa nyingi ama nafasi zao hutangazwa kwa wingi kuliko MD's. Sababu iliyopo ni saving,,,, unaposemea fulsa sijui mnaangalia idadi inayotangazwa au uhitaji wa jamii husika. MD's hata zikitangazwa nafasi tano kwenye setting fulan huwa hawapatikan kirahisi pia... So fulsa zipo na nawaencourage vijana waombe tuu coz anayopenda wa nursing aombe ingawa nurse wa kiume ukimwita "nurse"mbele ya mgonjwa inaonekana shida pia na anaweza asikuitikie kabisa..,,,,
Sio bei hata kazi wanazofanya ni tofauti kaz ambayo inahitaji doctor mmoja itahitaji nurses tatu na zaidi,na kuna ishu nyingi ambazo doctor hahitajiki nurse analimaliza wakati zinazohitaji dokta lazima nurse awe karibu mara nyingiUnachoongea inaweza kuwa kweli...market ya udaktari inaweza ikawa ni ndogo kulko ya unesi kwa sababu kuajili docta is very expensive kulko nesi...kumbuka vitu vya bei poa vina walaji wengi sana
anaemind kuitwa nesi ni chizi tu kama wewe. Nesi zama ilikuwa na watu wasiokuwa na elimu, hiyo ndiyo image mliyokuwa nayo hadi sasa. mtanyooka tu na vimanati vyevu shingoni, it is a matter of time. mnasumbuliwa na lack of exposure. Hushangai kuwaona wahitimu wa udakatari hawana ajira mitaani siku hizi? na bado mtakoma, vyuo vinaendelea kutema madaktari ronyaronya kila mwaka, hadi mtalilia kwenda kufanyakazi vijijini. Someni alama za nyakati, udaktari zamani bwana sio siku hizi ambazo wagonjwa wengi wanagoogle Dx na Rx zao.