Vijana someni Uuguzi, una fursa nyingi

Vijana someni Uuguzi, una fursa nyingi

Historically na jamii inavyoichukulia lakini kiuhalisia hali ni tofauti siku hizi kwa sababu nyingi lakini kwa leo nakupa hii kwa mfano halisi: Nenda Bugando, Muhimbili, KCMC, UDOM, St John's university kaangalie wanao soma bachelor of Nursing utakuta Me ni wengi kuliko wanawake na kwa vyuo vya Diploma vivyo hivyo. Hii ni kwa sababu entry qualifications zimebana tofauti na zamani ambapo hata ambaye hakusoma PCB alisoma nursing. Kwa siku hizi kama huna hayo masomo ya sayansi kasomee fani zingine na ndio maana dada zangu wanazidi kupungua huku kwenye uuguzi kwa sababu kama tunavyojua ufaulu wao kwa masomo ya sayansi ni mdogo ukilinganisha na watoto wa kiume
Ukitakujua nursing ni kipumbavu kwa tz we angalia qualification entire kwa nurse wa diploma harusiwi kusoma MD ila Co anaruhusiwa kusoma nursing wkt entrance za kusoma diploma na certificate ya nursing na clinical medicine zipo sawa
 
Ndio Dr apewe heshima yake....usiseme et kisa wote wamesoma physiology na biochemistry bhc ukaona et Dr n sawa na nurse...its impossible for a nurse to DX a disease...yy n MTU wa kupewa tu instruction ya nn afanye bhc
Hii si kweli sana kuna level nurse aruhusiwa Ku Dx na Tx Nurse Prescriber anarusiwa ila bongo nahc hakuna
 
Hii si kweli sana kuna level nurse aruhusiwa Ku Dx na Tx Nurse Prescriber anarusiwa ila bongo nahc hakuna
Ndio tunasema yy ataetee manesi wa huko mbele ..hapa bongo nesi anajua parasitology labda na microbiology tu ambazo hz haztoshi kujua disease aetiopathogenesis ....unesi bongo sio kabisa hasa ukiwa mwanaume mwenye ndevu na miguu mitatu[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Hili nakuunga mkono, ukiangalia entry qualifications za NACTE kwa kozi za afya kwa ngazi ya Diploma na Certificate, Nursing wanahitaji C-pass in Chemistry and Biology and atleast D in Physics, Mathematics and English. Kozi inayofuatia hapo kwa vigezo vigumu ni maabara, D-pass ina five subjects (Physics, Chemistry, Biology, Mathematics and English), hizi kozi nyingine ni ufaulu wa Kemia, Biolojia na Fizikia kidogo na Pass nyingine yoyote.
Jiulize kwann nurse harusiwi kusoma MD ila co anaruhusiwa kusoma nursing? Hapo ni dhahiri kuna kitu hakipo sawa
 
Ndio tunasema yy ataetee manesi wa huko mbele ..hapa bongo nesi anajua parasitology labda na microbiology tu ambazo hz haztoshi kujua disease aetiopathogenesis ....unesi bongo sio kabisa hasa ukiwa mwanaume mwenye ndevu na miguu mitatu[emoji3] [emoji3] [emoji3]
wanaume tena usiombe awe kitabi na yale manguo meupe unamkuta kwenye makorido ya wod anasukuma stretcher[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
wanaume tena usiombe awe kitabi na yale manguo meupe unamkuta kwenye makorido ya wod anasukuma stretcher[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] Mm kama mwanaume sishaur kabisa wasome unesi ...bora pharmacy tu kama Md imekushinda
 
Kazi Ya Kisister Du.
Najiribu Kuwaza Wewe
Ni Baba Uliye Somea Unesi
Mtoto Wako Tena Wa Kike Anakuuliza "Baba Unafanya Kazi Gani " Unabaki Kulamba Lips Tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
kijana njoo pm tuzungumze mawili matatu na kupeana mrejesho wa masuala fulani mimi na wewe tulikuwa tukifuatilia mwaka jana mwezi kama huu,
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] umepaniki mkuu.....in order to have better results in any study ,u have to compare the two things which are equal in quantity and quality...mfano inawezekana wew n nesi wa masters au hata PhD so unavoona unawazd madokta wenye degree moja bhc unajiona wee n mtaalamu sana kulko madokta huku ukisahau wao wana degree moja tu huku ww una elimu ya juu zaidi na experience ya kazini kuwazd wao...ili tupate matokeo chanya ya yupi n mzuri ktk diseases diagnosis and tx we have to set one nurse and one doctor with the same education level and qualification plus same working experience, then u will see how a nurse will be inferior to a doctor...acha hasira zisizo na msng...ukitaka kujua we ni nesi tu na utakuwa nesi hvyohvyo find a doctor with the same education level as you I mean kama ww una masters tafuta mwenye masters kama wew na awe na same working experience years sawa naww, ikiwezekana awe amesoma chuo sawa nawew then utaona n jins gan utakavyobwela.....
Wew unazungumzia madokta wale wanaofaulu kimagumashi tu ila mm kama daktar kwa level yangu hakuna nesi wa kunitisha kwa shule....yule aliyekaa kazin sana atanizd tu experience ambapo ukiicompare capacity yake in handling patients na madokta wa experience sawa nayake hawez kufua dafu.....sjui kama umenielewa lkn....
Aaaah, sikukasirikii wewe hata kidogo kwakuwa nafahamu uliambiwa hivyo na waliokutangulia ambao walifanyakazi na manesi waleee wa darasa la saba na form IV failure ambao walifanyakazi kazi zao bila ya rationale. Yaani DK mwenyewe degree anafanya kazi na "nurse" wa darasa la saba na form IV failure anayeitwa "nursing officer" Hivyo nurse wa vile alikuwa akijiona inferior mbele ya DK mwenye degree au AMO au CO au RMA.

Tanzania hakukua na kozi za degree za uuguzi hadi mwaka 1994 wahitimu wa kwanza walipoanza kufuzu. Tunatumia jf kuwakumbusha na kuwaelimisha wasiokuwa kuhusu uuguzi. Wazazi na hata madaktari wana perception kuwa muuguzi ni muuguzi tu hata siku hizi, wrong conception.
 
Aaaah, sikukasirikii wewe hata kidogo kwakuwa nafahamu uliambiwa hivyo na waliokutangulia ambao walifanyakazi na manesi waleee wa darasa la saba na form IV failure ambao walifanyakazi kazi zao bila ya rationale. Yaani DK mwenyewe degree anafanya kazi na "nurse" wa darasa la saba na form IV failure anayeitwa "nursing officer" Hivyo nurse wa vile alikuwa akijiona inferior mbele ya DK mwenye degree au AMO au CO au RMA. Tanzania hakukua na kozi za degree za uuguzi hadi mwaka 1994 wahitimu wa kwanza walipoanza kufuzu. Tunatumia jf kuwakumbusha na kuwaelimisha wasiokuwa kuhusu uuguzi. Wazazi na hata madaktari wana perception kuwa muuguzi ni muuguzi tu hata siku hizi, wrong conception.
Ofcoz unachosema n sawa lkn hata kama nesi ngaz ya degree IPO hyo haifanyi nesi wa degree awe sawa na Md mwenye jiwe moja....hata masters n hvohvo tu bado Md n ngumu na inamambo mengi kulko nursing ....kitu cha kufanya tu n jamii ielimishwe ijue umuhimu wa hii koz hata kwa wanaume japo hapa kaz ipo sana na itachukua miaka mingi sana ....

huku kwetu sio tu manes wa diploma ndio hujiona inferior noo,hata mwenye degree ukimuita nesi mbele ya wagonjwa kama yy n mwanaume hatapenda kabisa,wengne wanataka uwaite majina yao tu bila title, mambo ya kuitana nesi John hawataki kabisa.....all in all koz zote n muhimu ,nesi anajua vng tu ktk kutibu ila sio zaidi ya daktari....
CASE CLOSED....KWAHERINI....kama hamjanielewa endeleeni kubishana mm nimeishia hapa kama Md
 
Unachikiongea mm sikatai kama sio kweli ila nachokataa mpk kesho n kwamba nursing is better than Md ,hii ntakukatalia tena usiwapotoshe vijana kabisa et wakimbilie kusoma unesi kwa nchi kama Tanzania..hamasisha hukohuko ulaya na marekani ambako mambo ya wanawake yako juu kulko wanaume na sio bongo ......umesema unafanya kazi na madaktari tena kwa kuheshimiana zaidi ,labda nikuulize swali moja..kati ya wew na hao madaktari unafanya nao kazi ni yupi kati yako nawao huwa rahs kumuongoza mwenzie ktk kutibu??

Mm navojua na navoona nesi n muhimu katika kutibu lkn sio muhimu kulko doctor...in health the doctor starts in any health consultation then manesi na waphamasia will do their roles baadae..huwez fananisha kabisa nesi na doctor,maana doctor anajua mambo mengi zaidi ktk kutibu kulko nesi..a doctor will perform major surgeries, will diagnose tumors and many cancers,will do forensic autopsy ,will know different congenital anomalies za watoto,vtu ambavyo a nurse will not be able to do!!!!

Kitu ambacho ungesema tu n kwamba nesi na doctor wote n muhimu ktk kuleta afya ya mgonjwa ila usituaminishe kwamba a nurse knows much than a physician..... Uongo wa wazi juu peleka kolomije huko
Hakuna profession safi/bora kuliko ingine kwa mgonjwa. Nilichosema mimi ni kwamba uuguzi siku hizi unazo fursa nyingi sana kuliko udaktari. Muuguzi ni vigumu kukosa ajira kuliko DK.

Twende Marekani, UK, Australia, Botswana, Israel, ujerumani, NK mimi na wewe ukaone cha mtema kuni.
Ninachokusisitizia hata achana na title na historia kamata uhalisia na alama za nyakati. Manesi siku hizi wana prescribe, wanafanya ciserian section, wanafanya circumcisions, wanafanya herniorrhaphy, NK wewe umeng'ang'ania mapokeo
 
Hakuna profession safi/bora kuliko ingine kwa mgonjwa. Nilichosema mimi ni kwamba uuguzi siku hizi unazo fursa nyingi sana kuliko udaktari. Muuguzi ni vigumu kukosa ajira kuliko DK.
Twende Marekani, UK, Australia, Botswana, Israel, ujerumani, NK mimi na wewe ukaone cha mtema kuni.
Ninachokusisitizia hata achana na title na historia kamata uhalisia na alama za nyakati. Manesi siku hizi wana prescribe, wanafanya ciserian section, wanafanya circumcisions, wanafanya herniorrhaphy, NK wewe umeng'ang'ania mapokeo
Aende wapi chief wakati hapa hapa nyumbani hatujajitosheleza,, hizo fulsa za ajira zipo bado,,, kama una sample ya MD's jobless hapa hapa bongo lete ili tuamin unachosema
 
Hakuna profession safi/bora kuliko ingine kwa mgonjwa. Nilichosema mimi ni kwamba uuguzi siku hizi unazo fursa nyingi sana kuliko udaktari. Muuguzi ni vigumu kukosa ajira kuliko DK.
Twende Marekani, UK, Australia, Botswana, Israel, ujerumani, NK mimi na wewe ukaone cha mtema kuni.
Ninachokusisitizia hata achana na title na historia kamata uhalisia na alama za nyakati. Manesi siku hizi wana prescribe, wanafanya ciserian section, wanafanya circumcisions, wanafanya herniorrhaphy, NK wewe umeng'ang'ania mapokeo
We n mbishi sana....hata hunielew nn namaanisha...unatumia nguvu nying sana kutuaminisha uongo kuwa ukweli....yaishe
 
Aende wapi chief wakati hapa hapa nyumbani hatujajitosheleza,, hizo fulsa za ajira zipo bado,,, kama una sample ya MD's jobless hapa hapa bongo lete ili tuamin unachosema

Sidhani kama kuna mtaalamu wa Afya alie jobless, zaidi ni wale ambao kazi walizonazo ama walipata haziku trigger their threshold, kwahiyo walizitema ama wanazifanya bila kuridhika.
 
We n mbishi sana....hata hunielew nn namaanisha...unatumia nguvu nying sana kutuaminisha uongo kuwa ukweli....yaishe
Sio wewe tu mko wengi msioufahamu uuguzi. Hakuna DK mzuri ambaye hajafundishwa na muuguzi wodini. Kwa attitude yako hiyo huwezi kamwe kuwa a good DK. Wagonjwa watakuja kwako kwakuwa hawana jinsi mwingine kumejaa au wengine hawapo. Hata surgeon mzuri anafahamu kuwa success rate yake inategemea uwepo wa nurse mzuri. Kwaakili yako wewe unadhani DK ni superior kuliko wengine, maalum.

Kwani kwenye ujenzi wa nyumba nani ni superior kuliko mwingine kati ya mchora ramani, mjenzi wa matofali, mpauaji, mweka milango na madirisha, mpiga rangi, fundi bomba, fundi umeme na mweka tiles?. Kila mtu hapo ni fundi na muhimu kwa kazi yake kwenye ukamilishaji wa ujenzi wa nyumba. Mgonjwa nae ni kama nyumba anahitaji mafundi wa aina tofauti ili apone.

Mawazo yako mgando ni dalili tosha kuwa taaluma ya udaktari imeyumba umefuata mkumbo na title Tu.
 
Chief unavopata tabu kumwelewesha huyo jamaa, mimi nimeona manurse wengi Wana inferiority complex na wengi wagumu kueleweshwa kama huyo jamaa,, chief mimi naona tuwaacha na taaluma yao BUT wasilinganishe na Dr's kwa namna yeyote ile
Mpuuzi, MD, sio BPharm, sio DDS, soon Nursing, sio Radiology, sio Laboratory tech, sio physiotherapist, wala sio anesthesiologist au mutually attendant. Unafananisha vipi vyote hivyo? Kwaakili hapo unadhani MD ndiye bora kati ya hao wakati yeye ndiye boya wa kusoma miaka miiingi, masomo mengi na magumu na maslahi kidogo
 
Mpuuzi, MD, sio BPharm, sio DDS, soon Nursing, sio Radiology, sio Laboratory tech, sio physiotherapist, wala sio anesthesiologist au mutually attendant. Unafananisha vipi vyote hivyo? Kwaakili hapo unadhani MD ndiye bora kati ya hao wakati yeye ndiye boya wa kusoma miaka miiingi, masomo mengi na magumu na maslahi kidogo
Sijui kwanin manurse huwa mnahasira hivi kama wewe,, nagombana Sana na ma nurse wangu shauri ya kunitukania wagonjwa wangu,,, Mzee kavulata fanya kazi bwana penda U nurse wako ila usidanganye kujicompare na Dr's
 
Doctor anasomea kumtibu mgojwa hiyo ni kazi yake, na nurse anasomea kumuuguza mgojwa. Hizi mbili tayari ni profession tofauti Ila zinaingiliana wakati wa kutimiza majukumu yake.
(Daktari lazima ajue maendeleo ya mgonjwa wakati ambapo nesi atakuwa akimuuguza mgonjwa na nesi lazima afahamu tatizo la mgonjwa na Tiba yake).

kwa jinsi ilivyokaa ni kama nesi anapokea order kutoka kwa daktari, lakini ieleweke kwamba nesi anauwezo wa kukataa pale anapoona daktari amekosea kwenye prescription na daktari akaenda kufanya mwenyewe tayari hiyo inakuwa sio order tena.
Hawa watu wawili lazima wafanye kazi kwa maelewano tu, ili kumsaidia mgonjwa. Kila mtu anafanya kazi kulingana na job description inavyomtaka.

BTW: ningependa tujikite kwenye mada inavyotaka kuliko kutaka kulinganisha kada mbili tofauti, hatutofanikiwa maana kila mtu atavutia kwake.
 
Doctor anasomea kumtibu mgojwa hiyo ni kazi yake, na nurse anasomea kumuuguza mgojwa. Hizi mbili tayari ni profession tofauti Ila zinaingiliana wakati wa kutimiza majukumu yake.
(Daktari lazima ajue maendeleo ya mgonjwa wakati ambapo nesi atakuwa akimuuguza mgonjwa na nesi lazima afahamu tatizo la mgonjwa na Tiba yake).

kwa jinsi ilivyokaa ni kama nesi anapokea order kutoka kwa daktari, lakini ieleweke kwamba nesi anauwezo wa kukataa pale anapoona daktari amekosea kwenye prescription na daktari akaenda kufanya mwenyewe tayari hiyo inakuwa sio order tena.
Hawa watu wawili lazima wafanye kazi kwa maelewano tu, ili kumsaidia mgonjwa. Kila mtu anafanya kazi kulingana na job description inavyomtaka.

BTW: ningependa tujikite kwenye mada inavyotaka kuliko kutaka kulinganisha kada mbili tofauti, hatutofanikiwa maana kila mtu atavutia kwake.
Dr ni ubongo nurse ni moyo ktk fani ya afya
 
Back
Top Bottom