Vijana someni Uuguzi, una fursa nyingi

Vijana someni Uuguzi, una fursa nyingi

Maswala ya Afya ni muhimu kwetu kama wanadamu ila siwezi shauri mtu wa karibu nami ayasome
Kaka ni masomo yasiyokuwa Na tija, hata Janjaro anatanua kuliko daktari Na muuguzi.
 
Kaka kuanzia sasa tambua kuwa manesi wamegawanyika kama ifuatavyo. Kwa kuafuata elimu wako manesi wenye certificates (Cheti), wenye Diploma, wenye bachelors, wenye masters Na wenye PhD. Kwa kufuata maeneo Kazi wako manesi ambao wako wodini, kuna walioko kwenye clinics, kwenye kufundisha vyuo, kwenye kufanya tafiti, viwandani, migodini, Na kwenye jamii.

Unapotaka kulinganisha vipato basi linganisha wenye elimu zinazofanana. Maana hata madaktari (matabibu) kuna wenye certificates tu, wenye Diploma, wenye degree, wenye masters Na wenye PhD.

Ukiona daktari wenye degree moja amemzidi sana nesi mwenye degree basi huyo dkt ana kitu cha ziada anachokifanya kama vile biashara, rushwa, wizi wa Mali au muda wa mwajiri wake au familia yake au anatoa mimba kiharamu. Mshahara wake haumzidi nesi kwa zaidi ya sh. 300,000, Na hiyo ziada inatokana tu Na idadi ya miaka ya kusoma kozi ya MD Na BScN. Lakini wale wenye diploma wanafanana wote mishahara.
Kumbe kusoma MD ni useless & turn off. And that's why most of the Doctors are always lamenting and yawning on twitter for being jobless. Some of them lamenting about salaries or what they earn.
 
Hahaha.....hata siku moja mihangaiko ya daktari haitokuja kufanana na nesi nakwambia...utakufa na roho yako mbaya na hotokuja kuona hilo.....na nani kakuambia lazima kufanya kazi Tanzania......nenda tu hapo Botswana na Namibia uone vijana wa kitanzania wanavyopeta mawodini
Ajira yangu ya kwanza baada ya kumaliza intern ilikuwa Gaborone, kaka ilikuwa hivyo kwakuwa serikali yao ilikuja kuomba watumishi kwwtu, lakini baada ya vikana wao kuhitimu kwa wingi wakaanza kuwalipa wageni mishahara ya kawaida badala ya ile ya expert, siku hizi nako hakuna ajira tena.
 
MD is useless for sure if you can't employ yourself.
Zamani ilikuwa ukimaliza MD TU utapewa ajira hapohapo, nyumba nzuri, hela ya kujikimu na mkopo wa kununua gari, na wanawake njenje. Sio siku bhanaa wewe, MD wa Leo ni jobless, wanaendesha bodaboda, wanakaanga chips, wanadanga, Wana bet na walevi, no respect any more. Mama mkanye mwanao, asome MD yule TU mwenye passion ya kwelikweli ya
 
Zamani ilikuwa ukimaliza MD TU utapewa ajira hapohapo, nyumba nzuri, hela ya kujikimu na mkopo wa kununua gari, na wanawake njenje. Sio siku bhanaa wewe, MD wa Leo ni jobless, wanaendesha bodaboda, wanakaanga chips, wanadanga, Wana bet na walevi, no respect any more. Mama mkanye mwanao, asome MD yule TU mwenye passion ya kwelikweli ya

hahahhahaha dah nimecheka sana

Lakini kuitwa Doctor kuna raha yake wazee mjue [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Zamani ilikuwa ukimaliza MD TU utapewa ajira hapohapo, nyumba nzuri, hela ya kujikimu na mkopo wa kununua gari, na wanawake njenje. Sio siku bhanaa wewe, MD wa Leo ni jobless, wanaendesha bodaboda, wanakaanga chips, wanadanga, Wana bet na walevi, no respect any more. Mama mkanye mwanao, asome MD yule TU mwenye passion ya kwelikweli ya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
hahahhahaha dah nimecheka sana

Lakini kuitwa Doctor kuna raha yake wazee mjue [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Raha gani sasa wakati upo choka mbaya. Kuna dogo namfahamu awesome MD alikuwa middleman wangu wa kunitafutia wateja. Nilikuwa nikimpata Tshs 15,000/= anafurahi sana.
 
Zamani ilikuwa ukimaliza MD TU utapewa ajira hapohapo, nyumba nzuri, hela ya kujikimu na mkopo wa kununua gari, na wanawake njenje. Sio siku bhanaa wewe, MD wa Leo ni jobless, wanaendesha bodaboda, wanakaanga chips, wanadanga, Wana bet na walevi, no respect any more. Mama mkanye mwanao, asome MD yule TU mwenye passion ya kwelikweli ya

Ila ujue wengi wanasoma udaktari kwa kufikir kwamba kuna hela yan ukiwa Doctor tearii ni tajiri...

Sasa wakishaingia na kumaliza shule Ndio wanapoona kumbe ni kazi ya wito tuu ambayo maslah yao ni kawaida mnoo ndipo wanapojiingiza kwenye mihangaiko mengine kama biashara etc na kuachana na taaluma yao

wengine wanasoma udaktar kwa ajili ya status tuu kuitwa docta

Ila nadhani angalau ukiwa na level kuanzia specialist pengine unaweza ukapiga pesa kupitia udaktari wako
 
Raha gani sasa wakati upo choka mbaya. Kuna dogo namfahamu awesome MD alikuwa middleman wangu wa kunitafutia wateja. Nilikuwa nikimpata Tshs 15,000/= anafurahi sana.

Alikua ni jobless au...
 
Kaka kuanzia sasa tambua kuwa manesi wamegawanyika kama ifuatavyo. Kwa kuafuata elimu wako manesi wenye certificates (Cheti), wenye Diploma, wenye bachelors, wenye masters Na wenye PhD. Kwa kufuata maeneo Kazi wako manesi ambao wako wodini, kuna walioko kwenye clinics, kwenye kufundisha vyuo, kwenye kufanya tafiti, viwandani, migodini, Na kwenye jamii.

Unapotaka kulinganisha vipato basi linganisha wenye elimu zinazofanana. Maana hata madaktari (matabibu) kuna wenye certificates tu, wenye Diploma, wenye degree, wenye masters Na wenye PhD.

Ukiona daktari wenye degree moja amemzidi sana nesi mwenye degree basi huyo dkt ana kitu cha ziada anachokifanya kama vile biashara, rushwa, wizi wa Mali au muda wa mwajiri wake au familia yake au anatoa mimba kiharamu. Mshahara wake haumzidi nesi kwa zaidi ya sh. 300,000, Na hiyo ziada inatokana tu Na idadi ya miaka ya kusoma kozi ya MD Na BScN. Lakini wale wenye diploma wanafanana wote mishahara.
Sasa hio laki tatu ni ndogo?,[emoji23]
 
Vijana nasisitiza tena na tena, kama wewe unatoka familia maskini ambayo unategemewa upate ajira ili usaidie familia yako course yenye uhakika wa angalau kupata ajira ndani na nje ya Nchi ni Uuguzi. Kama unataka kujiajili mwenye we pharmacy ni ya kwanza na nursing inafuata. Habari za MD ilikuwa zamani hizoooo mama yako hajazaliwa. Hebu fikiria TU muhimbili kila mwaka inazalisha madaktari wapy 300, KCMC 300, Bugando 310, Kairuki 270, UDS 350, Kampala International University 360, UDom 500, na St. John's 400. Hebu nambie hao ni kwa mwaka mmoja TU na kila siku juhudi kwenye vyuo zinafanyika ili kuongeza majengo na walimu ili kuongeza udahili wa wanafunzi hao, na TCU imeshusha ufaulu wa kujiunga na kozi ya MD hadi DDD, Yani D physics, D kemia vna D biology. Ufaulu wa kujiunga na kozi ya nursing chuo kikuu uko juu kuliko ule wa MD, bila kuwa na C ya kemia huwezi kujiunga na Uuguzi. Jamani msidanganywe na historia, fuata trend
Population haiongezeki?[emoji3],kua kusoma nesi ni kazi sana kuliko kusoma MD?......sasa kwa nini vijana wanachagua kusoma MD?,kua hawajitambui?[emoji16][emoji16]
 
Hapa nakubaliana na wewe. Ni kweli MD inakwenda kupoteza soko kwenye ajira.
........MD ndio main gateway ya specialists na super specialists zote,.....njia pekee ya kupoteza soko ni watu wasiumwe
 
Kaka kuanzia sasa tambua kuwa manesi wamegawanyika kama ifuatavyo. Kwa kuafuata elimu wako manesi wenye certificates (Cheti), wenye Diploma, wenye bachelors, wenye masters Na wenye PhD. Kwa kufuata maeneo Kazi wako manesi ambao wako wodini, kuna walioko kwenye clinics, kwenye kufundisha vyuo, kwenye kufanya tafiti, viwandani, migodini, Na kwenye jamii.

Unapotaka kulinganisha vipato basi linganisha wenye elimu zinazofanana. Maana hata madaktari (matabibu) kuna wenye certificates tu, wenye Diploma, wenye degree, wenye masters Na wenye PhD.

Ukiona daktari wenye degree moja amemzidi sana nesi mwenye degree basi huyo dkt ana kitu cha ziada anachokifanya kama vile biashara, rushwa, wizi wa Mali au muda wa mwajiri wake au familia yake au anatoa mimba kiharamu. Mshahara wake haumzidi nesi kwa zaidi ya sh. 300,000, Na hiyo ziada inatokana tu Na idadi ya miaka ya kusoma kozi ya MD Na BScN. Lakini wale wenye diploma wanafanana wote mishahara.
Wewe unaongelea manesi wenye elimu gani?? Na kwa hapa bongo manesi waliojaa wana elimu gani na madokta wanaoongelewa na watu hapa unadhani ni madokta wenye elimu gani??

Ndgu kwa jinsi mfumo wa elimu ya bongo ulivyo sio rahisi kukuta manesi wenye elimu kubwa hivyo, na ndio maana unabishana na wadau hapa kwasababu manesi wengi elimu zao ni diploma.
 
Back
Top Bottom