Vijana tafuteni hela sio six packs, mtoto wa Mukesh Ambani anavuta kigoli matata kabisa japo ni tipwatipwa

Teslarati

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2019
Posts
2,621
Reaction score
10,466


Mtoto wa billionea Mukesh Ambani anatarajiwa kufunga ndoa siku chache zijazo, ndoa ambayo itatanguliwa na party ya siku 3 mfululizo. Watu wa karibu, wadau, Celebrities na CEO wanategemewa kuhudhuria nikiwemo mimi, Mark zuck, Bill gates na wengine wengi..

Moral of the story: Vijana tafuteni hela, pisi haziangalii six pack siku hizi, pochi nene ndio dili.
 
Tofauti ni kwamba wenye six pac wanapewa bure
 
Ukiniambia mtu fulani ni mzuri sana huwa nawaza hata hiyp skeletone yale itaonelana na huo uzuri wa nje?

Tuache ubaguzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…