Nawaunga mkono wanaokataa ndoa, ndoa kwa sasa ni utapeli hususani kwa vijana wa kiume na wanaume.
Kijana wa kiume ukishindwa kabisa kujizuia kutoishi na mwanamke basi tafuta mwanamke atakayekuwa jirani na wewe ambaye atakusaidia mambo fulani yaende.
Usifunge ndoa, Ishi naye akiwa hajui kama ana hadhi ya kuwa mke ama hawara. Usiwekeze moyo kwa mwanamke na wala usiwekeze Mali kwake. K Ukiishi naye hivyo hatakusumbua sana kwakuwa anakuwa anajua yeye si mke.
Ishi kwako naye kwake, mpangie huko na asijue Mishe zako nyingi. Akikuzingua piga chini songa mbele.
Kijana wa kiume ukishindwa kabisa kujizuia kutoishi na mwanamke basi tafuta mwanamke atakayekuwa jirani na wewe ambaye atakusaidia mambo fulani yaende.
Usifunge ndoa, Ishi naye akiwa hajui kama ana hadhi ya kuwa mke ama hawara. Usiwekeze moyo kwa mwanamke na wala usiwekeze Mali kwake. K Ukiishi naye hivyo hatakusumbua sana kwakuwa anakuwa anajua yeye si mke.
Ishi kwako naye kwake, mpangie huko na asijue Mishe zako nyingi. Akikuzingua piga chini songa mbele.