Vijana tafuteni partner sio mke

Vijana tafuteni partner sio mke

Wht Abt you men were you allowed to have a sex with a woman without marriage?,[emoji57] virginity works on both sides
A man can marry 4 to 700 wives like Suleiman, can a woman get married to 4 husbands ?! See, there is clear defference and magnitude mesures to sex between men and women.

Hakunaga ati "works both sides" kutombwa ovyo kwa mwanamke ni mortal sin.
 
One thing I know, mpunguze kupeleka lawama zote kwa mwanaume kana kwamba yote yalipoanza kutokea mpaka kufika hapa kwa wanawake hamkuyaona. Implementation za women empowerment ambazo zilivuka mipaka na kuingilia hadi dhumuni halisi ya ndoa, watoto wa kike kulelewa katika maadili yasiyosahihi akiandaliwa kutokumuheshimu mumewe na huku akitegemea atunzwe na sheria zilizotungwa zinazomfanya mwanaume awe obedient more than mwanamke huku yakifumbia macho matatizo mengi wanayofanya wanawake. Mngekuwa kweli nimsaada mngetatua chanzo nasio kutupa lawama. You kill masculinity, blaming it's toxic then expect a man to exercise masculinity, that is madness. Nashuhudia wanawake kwenye maovu hufumbiana macho sana tena hushabikia ila hamtaki kurekebishana. Mnataka msaada kwamtu mliyemfunga, thats not justice or empowerment bali ni uonevu. Tabia nyingi za wanawake za ajabu zimekuwa normalized kwaneno kuwa wanawake ndiyo walivyo then you want to blame a man. Mind you walionormalize ni society na society at large ni women. So take accountability of your actions maana mlianzisha sehemu kubwa ya hayo majanga. Bases ni feminism!

Wanaume bebeni majukumu yenu kuanzia kwenye familia muweze kulea mabinti watakaokuja kuwa wake bora
Acheni kutafuta excuses maana haziwasaidii
 
Wanaume bebeni majukumu yenu kuanzia kwenye familia muweze kulea mabinti watakaokuja kuwa wake bora
Acheni kutafuta excuses maana haziwasaidii
[/QUOTE

Wanaume tunabeba majukumu yetu kuhakikisha tunakuwa na taifa bora lenye mwanzo wa familia bora.
Tatizo ni harakati za kishetani zinazoitwa za kumkomboa mwanamke zilizovuka mipaka ya Kimungu na zinalindwa na Sheria za nchi na Dunia kwa ujumla.
 
Wanaume bebeni majukumu yenu kuanzia kwenye familia muweze kulea mabinti watakaokuja kuwa wake bora
Acheni kutafuta excuses maana haziwasaidii
Nyie mnabeba majukumu yenu ?! Au ndio hata hamyajui, mnakazi ya kumpigia house girl simu "Mtoto amekunywa maziwa ?"

Mnavyoshupaa kusema wanaume watimize majukumu yao na nyie timizemi majukumu yenu ya asili kujifanya madume jike haitawasaidia.
 
Nyie mnabeba majukumu yenu ?! Au ndio hata hamyajui, mnakazi ya kumpigia house girl simu "Mtoto amekunywa maziwa ?"

Mnavyosupaa kusema wanaume watimize majukumu yao na nyie timizemi majukumu yenu ya asili kujifanya madume jike haitawasaidia.

Kwahiyo wewe ndio house girl simu "Mtoto amekunywa maziwa ?"😂😂😂😂😂
Pole mwaya
 
Nawaunga mkono wanaokataa ndoa, ndoa kwa sasa ni utapeli hususani kwa vijana wa kiume na wanaume.
Kijana wa kiume ukishindwa kabisa kujizuia kutoishi na mwanamke basi tafuta mwanamke atakayekuwa jirani na wewe ambaye atakusaidia mambo fulani yaende.
Usifunge ndoa, Ishi naye akiwa hajui kama ana hadhi ya kuwa mke ama hawara.
Usiwekeze moyo kwa mwanamke na wala usiwekeze Mali kwake. K
Ukiishi naye hivyo hatakusumbua sana kwakuwa anakuwa anajua yeye si mke.
Ishi kwako naye kwake, mpangie huko na asijue Mishe zako nyingi.
Akikuzingua piga chini songa mbele.
Hizi nyuzi za namna zinawaonesha namna msivyojua mengi kuhusu mahusiano, mapenzi na ndoa katika ujumla wake
 
Bidii imekua kubwa wengi wanapata partners wanaume wenzao na wanaona ni bora kuliko kuoa
Mungu nusuru kizazi hiki
Jambo ni kukataa ndoa na sio kuacha kula mbususu ....mbususu zitaliwa na ndoa hakuna
 
Nimeyaona na kushuhudia mambo ya uzeeni ndio maana nikasema mke wako ndiye atakaekusaidia uzeeni.
 
Wanaume bebeni majukumu yenu kuanzia kwenye familia muweze kulea mabinti watakaokuja kuwa wake bora
Acheni kutafuta excuses maana haziwasaidii
mama D hapa tuelewane kitu kimoja, kizazi kilichowalea hawa mabinti ambao ni wakuwaoa sisi mmewalea nyinyi. Nyie ndio mlisimamia malezi yao na ndio kizazi chenu ambacho mlisimamia kila agenda niliyoitaja pale juu pamoja na utungwaji wa sheria za kuwabana wanaume kufanya maamuzi bila sheria za kumkinga mwanamke hata akikosea kuingilia. It's not an excuse, ukitaka kutatua tatizo unaenda kwenye mzizi wa tatizo sio kukata matawi. You implemented those agendas and laws na mlibadilisha malezi ya mtoto wa kike na wakiume. Sasa leo hii mnakuja mnasema mwanaume asimamie nafasi yake, 😂😂😂 kijana ambae ni waleo ambapo all things and foundation mlishaziweka na kumfunga and that was your generation and particular your gender kwasababu ukiisoma agenda ya gender equality iliyojadiliwa Beijing haikuwa hivi kuna vitu mlivipush more than the exceeded limit na mwishowe mkaingilia hadi dhana ya ndoa. Huwezi kuleta huo mzigo kwa kijana leo ambapo challenges za life zimekuwa nyingi sana na uchumi kuwa mgumu kukuwa kwa mtu mmoja mmoja mkiexpect aanze kujifungua kwakuwa atarisk kupoteza muda mwingi kufanya hivyo wakati uchumi wake haujakuwa. You're generation laid the foundation na mkabadilisha maliza na kuharibu maadili vibaya sana halafu leo unataka mwanaume asimamie nafasi yake at 100% wakati nyie mlishainarrow to less than 50%. Tafakarini kwanza sio muishie kulaumu. Mlilea watoto vibaya sana na mlipush very bad agendas that exceeded the limit.
 
Back
Top Bottom