Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana kisamaki kweli?
Tunahamasishana kutafuta hela kisa wanawake. Wakiambiwa waoe wanagoma. Kizazi cha sheitwani kabisaNje ya topiki hivi kuna uhusiano gani kati ya msemo wa kutafuta hela na kushobokea na ku glorify ufuska miongoni mwetu . Kwani end goal ya ktafuta hela ni kukidhi tamaa zetu za kingoo peke yake? Au
Kama choteh.... Tehra tehra kanji bhahiHana kisamaki kweli?
Just asking though mbona kama nimekinusa kwa kuangalia picha tu au pua zangu zina shida?
Its partly that. Way.Nje ya topiki hivi kuna uhusiano gani kati ya msemo wa kutafuta hela na kushobokea na ku glorify ufuska miongoni mwetu . Kwani end goal ya ktafuta hela ni kukidhi tamaa zetu za kingoo peke yake? Au
Huwez kugonga kila mwanamke Kwa kigezo cha pesa hyo haipo , utazeeka unatafta pesa , tafta size yako
🤣🤣Mkuu saizi wengi wamelala....
Mtoto poshi kama poshi tuendelee kumuita shemejiii maana kilainishi pesa hatunacho 😁😁😁
Kamuonea huruma kamjibu labda amuweke jela, mi nimewaza hata jela hawezi muweka 😆😆
Hayo ni maamuzi ya mtu Mwenyewe, binafsi nasiklzia robot za Mr ElonSo unataka watu watafte hela ili kuwapata wanawake?
Kwel kabisaWoiii hizo k zipo tuuu na kila siku zipo na hazina kipya.
Toka tumeanza wa toto mpaka leo wakubwa na hamna tulichopata zaid ya kupoteza
Hata awe mzuri vip ila hamna kipya
WAnaume tuwe na kiasi la sivyo sex itatutawalaaa
Hauko serious kijana, siwezi kutafuta pesa kwa ajili ya hii takataka.