Vijana tafuteni Pesa/ hela muepukane na hizi dharau

Vijana tafuteni Pesa/ hela muepukane na hizi dharau

Dkisaka

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2018
Posts
623
Reaction score
1,809
img_1_1688854515005.jpg
 
Nje ya topiki hivi kuna uhusiano gani kati ya msemo wa kutafuta hela na kushobokea na ku glorify ufuska miongoni mwetu . Kwani end goal ya ktafuta hela ni kukidhi tamaa zetu za kingoo peke yake? Au
 
Nje ya topiki hivi kuna uhusiano gani kati ya msemo wa kutafuta hela na kushobokea na ku glorify ufuska miongoni mwetu . Kwani end goal ya ktafuta hela ni kukidhi tamaa zetu za kingoo peke yake? Au
Tunahamasishana kutafuta hela kisa wanawake. Wakiambiwa waoe wanagoma. Kizazi cha sheitwani kabisa
 
Nje ya topiki hivi kuna uhusiano gani kati ya msemo wa kutafuta hela na kushobokea na ku glorify ufuska miongoni mwetu . Kwani end goal ya ktafuta hela ni kukidhi tamaa zetu za kingoo peke yake? Au
Its partly that. Way.
 
Mkuu saizi wengi wamelala....

Mtoto poshi kama poshi tuendelee kumuita shemejiii maana kilainishi pesa hatunacho 😁😁😁

Kamuonea huruma kamjibu labda amuweke jela, mi nimewaza hata jela hawezi muweka 😆😆
🤣🤣
So unataka watu watafte hela ili kuwapata wanawake?
Hayo ni maamuzi ya mtu Mwenyewe, binafsi nasiklzia robot za Mr Elon
 
Back
Top Bottom