Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 May 21, 2022 #21 Weka video ili vijana wapate nguvu ya kutafuta pesa...
Machmadem JF-Expert Member Joined Jul 9, 2017 Posts 758 Reaction score 936 May 21, 2022 #22 Wazee kama niny ndo mnasababisha mlipuko wa bei na maisha kuwa juu
Msanii Platinum Member Joined Jul 4, 2007 Posts 25,252 Reaction score 36,513 May 21, 2022 #23 nyboma said: Kwa ufupi kila nikisikia ile nyimbo ya kijana Diamond aliyoimba na Zuchu, mbo..00 inasimama ghafla. Vijana tafuteni pesa ili uzeeni mfurahie maisha, ni wewe kuchagua leo uwe na amina, mke wa khalfani n.K Click to expand... Tafuta pesa ununue na vaseline pia maana soonest unaingia kwenye orodha ya walioumaliza mwendo
nyboma said: Kwa ufupi kila nikisikia ile nyimbo ya kijana Diamond aliyoimba na Zuchu, mbo..00 inasimama ghafla. Vijana tafuteni pesa ili uzeeni mfurahie maisha, ni wewe kuchagua leo uwe na amina, mke wa khalfani n.K Click to expand... Tafuta pesa ununue na vaseline pia maana soonest unaingia kwenye orodha ya walioumaliza mwendo
nchachu JF-Expert Member Joined May 30, 2021 Posts 258 Reaction score 594 May 21, 2022 #24 Alikinga mdomo ukamwarishia au Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Stanboy JF-Expert Member Joined Jul 4, 2013 Posts 1,114 Reaction score 1,308 May 21, 2022 #25 nyboma said: Kwa ufupi kila nikisikia ile nyimbo ya kijana Diamond aliyoimba na Zuchu, mbo..00 inasimama ghafla. Vijana tafuteni pesa ili uzeeni mfurahie maisha, ni wewe kuchagua leo uwe na amina, mke wa khalfani n.K Click to expand... Sema wewe mzee unakula bata sana..nasoma sana thread zako
nyboma said: Kwa ufupi kila nikisikia ile nyimbo ya kijana Diamond aliyoimba na Zuchu, mbo..00 inasimama ghafla. Vijana tafuteni pesa ili uzeeni mfurahie maisha, ni wewe kuchagua leo uwe na amina, mke wa khalfani n.K Click to expand... Sema wewe mzee unakula bata sana..nasoma sana thread zako
Smart Guy JF-Expert Member Joined Dec 19, 2016 Posts 6,808 Reaction score 6,934 May 22, 2022 #26 Upuuzi huu
KikulachoChako JF-Expert Member Joined Jul 21, 2013 Posts 19,185 Reaction score 37,239 May 22, 2022 #27 Unaweza kukuta mtoa mada ni Dogo....ameandika huu akiwa kwenye makochi ya wazazi huku akiangalia watu wakichangia akitabasamu.....who knows......Jf ya Sasa yote yanawezekana....
Unaweza kukuta mtoa mada ni Dogo....ameandika huu akiwa kwenye makochi ya wazazi huku akiangalia watu wakichangia akitabasamu.....who knows......Jf ya Sasa yote yanawezekana....
orturoo JF-Expert Member Joined Mar 13, 2017 Posts 2,947 Reaction score 4,876 May 22, 2022 #28 nyboma said: Moderator rekebisha hapo isome alichonifanyia kwa hoteli, dar es salaam itabaki sehemu pendwa ya starehe. Click to expand... Rekebisha mwenyewe,acha kusumbua mod...
nyboma said: Moderator rekebisha hapo isome alichonifanyia kwa hoteli, dar es salaam itabaki sehemu pendwa ya starehe. Click to expand... Rekebisha mwenyewe,acha kusumbua mod...
Smart AJ JF-Expert Member Joined Mar 21, 2022 Posts 5,564 Reaction score 5,884 May 23, 2022 #29 Tanzania ya viwanda inategemea rasilimali watu kama hizi kweli!??[emoji848][emoji848][emoji848]TUMEPIGWA
Tanzania ya viwanda inategemea rasilimali watu kama hizi kweli!??[emoji848][emoji848][emoji848]TUMEPIGWA
Kelsea JF-Expert Member Joined Dec 21, 2020 Posts 14,564 Reaction score 34,341 May 23, 2022 #30 Comments [emoji23][emoji23]