Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
Uwenda ikawa kama ulivyosema bob.Ila amini nakwambia kuna watu awawezi kuajiriwa na kuna watu awawezi kujiajiri.Sio ivyo ni mtu kutokuwa na uelewa anataka nini kwa wakati upi na je mtu huyo ana jua thaman ya kile anacho kifanya na je huyo mtu mtaji aliapate kama alipewa tu wengi wao wanakuwa hawana uchungu na ile pesa walio wekeza kozi wali pata kwa uwepesi
Wataolewa tu ndio kilicho bakiUwenda ikawa kama ulivyosema bob.Ila amini nakwambia kuna watu awawezi kuajiriwa na kuna watu awawezi kujiajiri.
Kaka ni makoneksheni tu vyeti vyenyewe ukiviona utacheka mpaka ufe ni mwendo kuungaunga yaani inshort "baba kanituma" ni nyingi😂😂😂 basi nisaidie mm nifungue duka la dawa kwa vyeti vyako bhna 😂
🤣🤣🤣Kaongea kwa uchungu afu wewe unamzima kama taa.Sawa ila uwaambie wawe na uchaguzi wa mioyo yao.Hata walioajiriwa serikalini wako poa tu.
NB;Kwa nini tulishane mawazo ya kuwa matajiri wote?Hiyo haiwezekani maalim.
Haahah iyo iyo inatosha nafungua duka kubwa pale goba au makongo juu one year nainua nyumba kabisaKaka ni makoneksheni tu vyeti vyenyewe ukiviona utacheka mpaka ufe ni mwendo kuungaunga yaani inshort "baba kanituma" ni nyingi
hizi ni motivation tu,mtu hana mwelekeo au tuseme pakukanyagia atajiajirijeKuna watu wanapata pesa nyingi na hawapo katika mfumo rasmi wa ajira
Ni kweli kuwa wazazi, ndugu na jamaa wanatamani upate ajira serikalini wakiaamini ndiyo njia sahihi ya kufanikiwa katika maisha yako jambo ambalo sio la kweli moja kwa moja na hii yote ni kutokana na ile dhana ya uoga wa maisha iliyopo vichwani mwa jamii za Kitanzania ya kwamba mtu aliyeajiriwa na serikali lazima afanikiwe na ni mtu muhimu kuliko
Hakuna jipya huko, kataeni kuwa wafungwa vijana, kumbuka bodaboda tu ni kazi ambayo inapatia vijana wengi wasomi pesa za kutosha kuliko hata mwalimu wa shule yani mtu unangoja laki 5 kwa mwezi wenzako wanaipata kwa wiki moja
Kuhusu kiinua mgongo NSSF Sasa hivi kila mtu anaweza kujiwekea na sio tu waajiriwa wa serikalini vijana
AMKENI ACHENI UOGA, HAKUNA JIPYA KULE UNAENDA KUWA MTUMWA NA UTADAIWA NA KILA BENKI