Vijana tujiajiri, kataa kuwa mfungwa

Vijana tujiajiri, kataa kuwa mfungwa

Sio ivyo ni mtu kutokuwa na uelewa anataka nini kwa wakati upi na je mtu huyo ana jua thaman ya kile anacho kifanya na je huyo mtu mtaji aliapate kama alipewa tu wengi wao wanakuwa hawana uchungu na ile pesa walio wekeza kozi wali pata kwa uwepesi
Uwenda ikawa kama ulivyosema bob.Ila amini nakwambia kuna watu awawezi kuajiriwa na kuna watu awawezi kujiajiri.
 
Mungu bariki KAZI ya mikono yangu.
KAZI ni kipimo cha UTU
 
Sawa ila uwaambie wawe na uchaguzi wa mioyo yao.Hata walioajiriwa serikalini wako poa tu.
NB;Kwa nini tulishane mawazo ya kuwa matajiri wote?Hiyo haiwezekani maalim.
🤣🤣🤣Kaongea kwa uchungu afu wewe unamzima kama taa.
Tujifunze kukubali hali ya maisha isiyo na stress ndiyo maisha mazuri kwa kilammoja....Hii utajiri daily hii....mmh!
 
Kuna watu wanapata pesa nyingi na hawapo katika mfumo rasmi wa ajira

Ni kweli kuwa wazazi, ndugu na jamaa wanatamani upate ajira serikalini wakiaamini ndiyo njia sahihi ya kufanikiwa katika maisha yako jambo ambalo sio la kweli moja kwa moja na hii yote ni kutokana na ile dhana ya uoga wa maisha iliyopo vichwani mwa jamii za Kitanzania ya kwamba mtu aliyeajiriwa na serikali lazima afanikiwe na ni mtu muhimu kuliko

Hakuna jipya huko, kataeni kuwa wafungwa vijana, kumbuka bodaboda tu ni kazi ambayo inapatia vijana wengi wasomi pesa za kutosha kuliko hata mwalimu wa shule yani mtu unangoja laki 5 kwa mwezi wenzako wanaipata kwa wiki moja

Kuhusu kiinua mgongo NSSF Sasa hivi kila mtu anaweza kujiwekea na sio tu waajiriwa wa serikalini vijana

AMKENI ACHENI UOGA, HAKUNA JIPYA KULE UNAENDA KUWA MTUMWA NA UTADAIWA NA KILA BENKI
hizi ni motivation tu,mtu hana mwelekeo au tuseme pakukanyagia atajiajirije
 
Pesa za mtaji utapata wapi bila kuajiriwa wakati familia zetu ni ugali tembere.
 
Back
Top Bottom