Vijana tujikwamue na umasikini tusitegemee Serikali

Vijana tujikwamue na umasikini tusitegemee Serikali

Kama vijana tupo serious kuna mambo kadhaa tunaweza kufanya;

1. Kufanya mobilization.Tuanzishe forum tukutane tuunde kundi tujisajili tukachukue mikopo halmashauri.Maneno bila vitendo ni sawa na bure.

2.Tutafute maeneo yenye rutuba tufanye kilimo chenye tija kwenye kilimo Serikali imeondoa tozo
sumbufu na watu wanapiga pesa kupitia kilimo tuwe serious, kama kuna mtu aliye serious na hii ishu ajitokeze kukaa kulaumu mtandaoni sio solution.

3.Tunaweza hata humuhumu kuanzisha forums kwa ajili ya kupeana mikakati ya kupiga biashara kukaa kulaumu Serikali tutalaumu hadi kuzeeka.

Kama tupo serious muda ni huu kama tunataka kuendelea kuwa walalamikaji JF basi utabaki kila siku kuilaumu Serikali.

Nawasilisha
Kwanza natoa shukrani kwko ndugu yangu kwa kuwa na muono chanya wa kimaisha
Pili shukrani kwa wachangiaji wte mliopita
Nyongeza katika hii mada ningeshauri sisi wachangiaji km kwel Tupo tayali na haya tunaweza kufanya organization nzuri na yenye tija ili kujikwamua kiuchumi vijana wenzangu
 
Fresh from school...welcome to the city boy.
Hayo ni mawazo yako .Nimeamliza chuo toka 2009 na sasa nataka kuunganisha nguvu na vijana wenzangu tufike tunapopataka wewe kama unaona umeridhika na hapo ulipo tupishe sisi ambao bado
 
Mkuu haya yalisha Ongelewa sana humu yaani tusha ongea tukachoka tukastafu.

Hapa watu wata comment then ndo mwisho wa story.

Sio rahisi kabisa na moja ya sababu kuu ni kwamba Forumu kama hii si wote ni Wakasiriamali au wafanya biashara au wana Spirt ya Ujasiriamali.

Wengine humu wanapitia kupumzika tu na wala hawana intrest na hayo na hao ndo wakatisha tamaa namba moja na watoa kejeli sana.

Mimi now Day nimestafu hata kupost humu. Huwa napita tu
 
mimi nipo tayari, ukiwapata watu usisahau kutembelea pm yangu
 
Mkuu haya yalisha Ongelewa sana humu yaani tusha ongea tukachoka tukastafu.

Hapa watu wata comment then ndo mwisho wa story.

Sio rahisi kabisa na moja ya sababu kuu ni kwamba Forumu kama hii si wote ni Wakasiriamali au wafanya biashara au wana Spirt ya Ujasiriamali.

Wengine humu wanapitia kupumzika tu na wala hawana intrest na hayo na hao ndo wakatisha tamaa namba moja na watoa kejeli sana.

Mimi now Day nimestafu hata kupost humu. Huwa napita tu
Mkuu unataka kukatisha tamaa kila mtu?
 
Aisee Nipo tayari nifate Pm tupange lini tukutana. Hakika umoja ni nguvu.
 
Mkuu haya yalisha Ongelewa sana humu yaani tusha ongea tukachoka tukastafu.

Hapa watu wata comment then ndo mwisho wa story.

Sio rahisi kabisa na moja ya sababu kuu ni kwamba Forumu kama hii si wote ni Wakasiriamali au wafanya biashara au wana Spirt ya Ujasiriamali.

Wengine humu wanapitia kupumzika tu na wala hawana intrest na hayo na hao ndo wakatisha tamaa namba moja na watoa kejeli sana.

Mimi now Day nimestafu hata kupost humu. Huwa napita tu
Kumbe mkuu ndio maana upost tena
 
Msisubiri mtafuniwe, kuna kipindi nilitamani kulima hela sina ikabidi nishawishi rafiki zangu tuanzishe kikundi cha watu 30....ambacho hisa 1 ni laki....to cut the story mpaka sasa tumesajili kikundi tunakopeshana mpaka milion 5 kwa riba ya asilimia 10 kwa miezi 6.

So nyie wenyewe anzeni hata mdogo kujichangia mfungue akaunti bank.
Asante kwa ushauri mzuri mkuu. Nimependa ujasiri wako. Na hata mie niliamua kuanza tu kwa upande wangu na bado mambo yanaendelea naomba nitakutafuta kwa maelezo zaidi ya jinsi mlivofanikiwa
 
hii mada nimeitembelea karibia mara 10 nione michango na ili deserve kuwa na page hata 100, ila hii ndio Tanzania na hawa ndio vijana.
Vijana tunataka siasa za kuchambana, Fulani kala pesa na kunyoosheana vidole. Alafu serikali yenyewe aina masikio ukiijiingiza ktk kilimo kuna watu wanaingilia shughuli nzima, na mambo yanakuwa hayana faida tena
 
Back
Top Bottom