syllae
JF-Expert Member
- May 29, 2015
- 1,793
- 1,919
Mkuu niunganishe au nipe connection uko unakojitolea japo nipate hela ya sabun kidgOy oy niaje wazee.
Mm ni wakiume nimepata kuijua JF 2014 ila officially Nilianza kua na account 2015 .
Nimemaliza chuo mwaka huu diploma .
But nashukuru nimepata sehemu najitolea kwenye taasisi ya serikali tunapewa 15 per day . fresh from school.
Naishi kwa wazazi bado sijatoka home ila mambo yakikaa vzr 2019 nasepa naanza kujitegemea.
Sijaoa ila Nina demu born96