Thanks,,kwa upande wangu Mimi bado nipo chuo pia naishi home,Kuhusu JF at first niliijua nilikua form one2013,Kuna Chalii mmoko alinionyesha ndo nikaanza ku'struggle hadi Mwaka huu mwezi January ndo nikafanikiwa kuwa na Account rasmi nayo nilifunguliwa na budhaa mmoja anaitwa Sossy B,nilmfata fb nikamwomba akanifungulia ikawa echu echu,,Jf imenifaidisha kinyama kwa mambo shazi2,Kuna jukwaa la Elimu,Lugha,Doctors yamenifaidisha sana,bila kusahau ku'refresh mind kwa story za GuDume na Jukwaa la Jokes pale fiade,Ila kitu kinachonikera humu ni Ma'manzi kunifata PM wananiuliza nna kazi gani na umri gani?nikiwaambia ni mwanafunzi bado alaf sijafika 22....Years wanakua hawajibu tena Text kudadeki zao...Am out
Sent using
Jamii Forums mobile app