Vijana tusiozidi miaka 25 ambao tupo humu JF tukutane hapa

Mkuu niunganishe au nipe connection uko unakojitolea japo nipate hela ya sabun kidg
 
hapa nina notebook,nalist majina yenu,,,,,mnatongoza huko PM watu ambao tunaweza kuwa vibibi vyenu..😕
Kuludaun dada yetu usitufanyie ivo,unatak atusaidie nan kam sio nyie

Kwan vikojoloe vikikutana na vyenyew vinajua kam vimekutana na mtu mdogo au mkubw?
 
Wakuu rika tajwa hapo juu...jinsia KE siwaoni kabisa.

Au ndio rika la kuwa busy na wapenz?
Au kutongozwa tongozwa kila leo.?
 
Mwenzangu Vitoto tupu, mtu hutakiwi hata kuchangia mawazo thread zao
Kwani hao unaowaita "vitoto" hawana ruhusa ya kuwa JF....Embu nyie wazee na wabibi acheni kujimilikisha JF??..sisi mayouth pia ni haki yetu kijiachia humu
 
Humu ndio kwa sisi watoto😎

Anyway jf nmejiunga toka 2012 kwa ID yenye jina langu halali kabisa ila nikaacha kuitumia toka 2015 hadi mwaka huu nilipofungua ID hii mpya.
Kuhusu harakati huku kitaan Alhamdulillah zinaenda swalama kabisa.
 
Nliifaham na kujiunga Jf nilivyokuwa na search vitu tofauti tofauti mtandaoni kipindi hicho nilikuwa kidato cha nne.
Nmedumu na sasa niko mwaka wa pili chuo kikuu.
Ni mjasiriamali pia, mimi pamoja na wenzangu tumeunda e-commerce website ya kitanzania ambayo itakuwa kampuni kubwa badae,
www.afrotai.com
Karibuni sana mjionee bidhaa za kitanzania na mpate kuletewa mpaka mahali mlipo kwa bei nafuu.
Pia wajasiriamali wa kitanzania mnaweza kujiunga na ku post bidhaa zenu, ni bure kwa sasa!!
 
Vip mnalipa kodi sh ngap mkuu kwa mwezi kwa website hyo?
 
Nimeifaham jf zamani sana nilipokuwa nikisearch vitu google na kukuta link za jf, nilipoingia nikagundua kwamba huu mtandao una mambo mengi sana ambayo kwa mda huo nilitaman kuyajua
Nilitaman kujiunga ila nilishindwa kutokana na sikuwa na e-mail kwa wakati huo nilifanikiwa kifungua account ya kwanza 2015
Nipo chuo mwaka wa 3
Sijaoa,sipo single
 
Pamoja mkuu,,, mapambano bado yanaendelea.. Umri wetu bado unaruhusu
Dah nimechelewa siti ila sio mbaya, mm now niko na 17 yrs, nimeijua na kujiunga JF since 2016 nikiwa na 15 yrs now bado niko masomoni(kidato cha tano).
 
Dah nimechelewa siti ila sio mbaya, mm now niko na 17 yrs, nimeijua na kujiunga JF since 2016 nikiwa na 15 yrs now bado niko masomoni(kidato cha tano).
Unasoma Combi Gani..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…