Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,770
- 6,202
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23] umesharudi mjini?Hakuna mademu huku we mzee
So what?Sir, I think this belongs to you..
Mbwana Samatta uwezo wake wa kawaida Mno, Anabebwa na bahati tu! - JamiiForums
Naweza kusema kuwa Mimi.ndiyo nilikuwa member mdogo sanaa lakini michango yangu ilikuwa kama.mtu mwenye masterMambo vipi vijana wenzangu,
Nachukuwa fursa hii kuwakaribisha katika Uzi huu pendwa tujuane na tujuzane mambo mbalimbali..
* Uliijuaje JF ukiwa na umri
mdogo kama huu maana
member wengi wa huu
mtandao ni watu
wazima japo mambo yao
utadhani kama ni under 18
* Vipi kuhusu life kwa ujumla,
bado uko chuo au kwa mtaa,
Unajitegemea au bado uko kwa
wazee
* Kama umetoka kwa wazee, ni
mbinu/jitihada zipi ulizitumia
hadi ukaweza kujinasua kutoka
kwa wazee.
* Kama umemaliza chuo vipi
kuhusu michakato ya kazi,
umejiajiri, umeajiriwa au bado
unasota mtaani.
* Vipi kuhusu mapenzi, una
mpenzi/umeoa au upo
kibachelabachela..
So basi, karibuni sana vijana wenzangu tujadili (Miaka 25 kushuka chini)
Tuliza kishimo hicho wewe mtoto wa kiume/sjui wa kike!!! Where is the crime there? You don't know me well...kama unataka battle na mimi sema ila utaumbuka.Na uzee wako wote huo hata mwaka hauna humu toka ujiunge JF.. Kuwa kama mkubwa basi..!!
Primitive kind of person...nimemtukana mtu? Huko kwenu hamjui maana ya "jokes"?Inaonekana unaubongo mzito sana
Are u a gent or a lady? Tuanzie hapo.Acha umbea wa kijinga
Hahahaaaaa!, umenikumbusha mbali sana interview ya kujiunga JF ilikuwa tight sana hasa oral, bora written ilikuwa nafuu kidogo..Dah...kitambo sana...toka napiga shule kwa bibi...niliaso sana..hadi mwaka 1999 ndiyo nikapata kiingilio,...kitambo haikuwa bure Kama ilivyo Sasa....na kulikuwa interview ili waone kweli ni GT...siyo kama Sasa....Bado naaso kitaani ila siyo kivile...... Jf ni raha Sana[emoji41]
Wewe wa mwaka 47 pita hiviiii.....Nyie mkakutane Facebook huko
Ohoo kwa hiyo ilikua kila ukitaka kujiunga jf unaenda ofisini kwao interview??Hahahaaaaa!, umenikumbusha mbali sana interview ya kujiunga JF ilikuwa tight sana hasa oral, bora written ilikuwa nafuu kidogo..
Nakumbuka kwenye oral Mello aligonga swali, " Do you think you are a great thinker?" Nikajibu "Yes" akaniuliza, "What is thinking?" Daah , nilitoa macho kama Betlehem wa JF, lakini nashukuru nilipita interview.