Vijana tusiozidi miaka 25 ambao tupo humu JF tukutane hapa

Vijana tusiozidi miaka 25 ambao tupo humu JF tukutane hapa

Naweza kusema kuwa Mimi.ndiyo nilikuwa member mdogo sanaa lakini michango yangu ilikuwa kama.mtu mwenye master

niliifahamu jf nikiwa darasa la 5 enzi hizo tunafundishwa somo la TeHAMa
nikiwa darasa la 6 2007 ndipo nikajiunga na jf...enzi hizo kumiliki email na interview kwangu mimi haikuwa inshu...

baada ya harakati za maisha + O level nikasahau username na password coz ilikuwa kitambo kweli

mwaka 2012 nikiwa nimemaliza 4m 4 mikajiunga tena ..lakini safari hii nilikuwa ndo nabalehe so nikawa mzee wa fiksi sanaa jukwaani mara kujifanya wa kishua kumbe hovyo tu..
kuna manzi fulani mtu mzima akajaa kwangu sasa baada ya kuonana naye...alinijibu SHOmbo sanaa na kusema ataniumbua humu jukwaani
hapo ni ka mute jf kwa muda wa miaka 2.....pasipo kuingia humu kwa kuhofia
mpaka kuingia 2014 baada ya kumaliza nikajiunga tena na hii I'd ambayo imebadilishwa zaidi ya mara 20 sasa...

maisha ya sasa yapo guda
nipo UDSM CoET Civil mwak wa 4..
Boss tuonane niko B22 hapa bench la nyuma kabisa[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Alafu wakubwa mna matatizo gani et[emoji848][emoji848]kila point inayowekwa Kama Ni ya wanawake wa kwanza kucoment mwanaume Kama mada ya vijana was Kwanza kucoment mzee nyinyi wazee wa dar mungu anawaona[emoji21][emoji21][emoji21][emoji21][emoji21][emoji21][emoji57]
Hawa kaka zetu tuwaombee.

Nyuzi za wanawake utaskia first sit yangu.

Za wadogo zao nazo wamevamia.... tunabahati mbaya kupata kaka kama hawa.
 
Naweza kusema kuwa Mimi.ndiyo nilikuwa member mdogo sanaa lakini michango yangu ilikuwa kama.mtu mwenye master

niliifahamu jf nikiwa darasa la 5 enzi hizo tunafundishwa somo la TeHAMa
nikiwa darasa la 6 2007 ndipo nikajiunga na jf...enzi hizo kumiliki email na interview kwangu mimi haikuwa inshu...

baada ya harakati za maisha + O level nikasahau username na password coz ilikuwa kitambo kweli

mwaka 2012 nikiwa nimemaliza 4m 4 mikajiunga tena ..lakini safari hii nilikuwa ndo nabalehe so nikawa mzee wa fiksi sanaa jukwaani mara kujifanya wa kishua kumbe hovyo tu..
kuna manzi fulani mtu mzima akajaa kwangu sasa baada ya kuonana naye...alinijibu SHOmbo sanaa na kusema ataniumbua humu jukwaani
hapo ni ka mute jf kwa muda wa miaka 2.....pasipo kuingia humu kwa kuhofia
mpaka kuingia 2014 baada ya kumaliza nikajiunga tena na hii I'd ambayo imebadilishwa zaidi ya mara 20 sasa...

maisha ya sasa yapo guda
nipo UDSM CoET Civil mwak wa 4..
Unaweza kutudokeza huyo mmama mkuu nasi tukajaribu bahati?
 
Hahahaaaaa!, umenikumbusha mbali sana interview ya kujiunga JF ilikuwa tight sana hasa oral, bora written ilikuwa nafuu kidogo..

Nakumbuka kwenye oral Mello aligonga swali, " Do you think you are a great thinker?" Nikajibu "Yes" akaniuliza, "What is thinking?" Daah , nilitoa macho kama Betlehem wa JF, lakini nashukuru nilipita interview.
Wakuu wadogo zenu tunaombeni nafasi tujadili mambo yetu.

Ni ombi tu kaka zetu.
 
Eee tumekuja ulikuwa unasemaje??

Jf nilijua nikiwa nazurura tu mtandaoni mnamo mwaka 2011 nikiwa 17 age. Sikujua nini maana nlivofunguaga tu ( kipindi iko jf walikuwa hawana app) nikakuta mada mbali mbali tu..

Kwa sasa niko magetoni napambana na hali yangu ..elimu yang dàsaa la saba lakini nna akili nying kuliko wasomi wa vyuo vikuu..

Kwaiyo ndo ivo anii..
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji115][emoji115][emoji115]
 
Eee tumekuja ulikuwa unasemaje??

Jf nilijua nikiwa nazurura tu mtandaoni mnamo mwaka 2011 nikiwa 17 age. Sikujua nini maana nlivofunguaga tu ( kipindi iko jf walikuwa hawana app) nikakuta mada mbali mbali tu..

Kwa sasa niko magetoni napambana na hali yangu ..elimu yang dàsaa la saba lakini nna akili nying kuliko wasomi wa vyuo vikuu..

Kwaiyo ndo ivo anii..
Acha zako mkuu kwa hiyo unawazidi wasomi wa vyuo vikuu kwa akili kabisa....wale vijana naowaona pale dasalama na wadada wazuri wazuri??
 
Niliijua JF kwakua mimi ni mtu wa kusoma soma online nilikua namsoma Dinahcious & co kuna siku nikiwa nasearch online story yenye kutisha ikaja link ya jf. Nilivyoingia na kuzidi kuperuzi nikakuta stori ya jamaa ambaye alitaitiwa na vibaka akiwa na mpenzi wake wakataka kumlawiti mshkaji, jamaa akakimbia akamuacha mke.

Niko mtaani, najitegemea ila soon narudisha mpira kwa kipa.

Kwa wazee ilinibidi tu nitoke sikua na option. Ila sitaelezea kilichotokea.

Bado nasota mtaani.

Sijaoa. Sipo single.
Daaah dinahicious umenikumbusha mbali mno aisee... Ilikuwa 2011 pale nilipoijua hiyo blog... Nikawa na wanamaisha jamaa zangu kuhusu mastory ya humo... Basi walikuwa wana niona malaya kweli yaani.. Kwa sababu ya Topic nazo wapatia kutoka kwa dina
 
Dah...kitambo sana...toka napiga shule kwa bibi...niliaso sana..hadi mwaka 1999 ndiyo nikapata kiingilio,...kitambo haikuwa bure Kama ilivyo Sasa....na kulikuwa interview ili waone kweli ni GT...siyo kama Sasa....Bado naaso kitaani ila siyo kivile...... Jf ni raha Sana[emoji41]
Malizia Tena jf ni zaidi ya raha
 
Nipo kwenye 21-25 years na niliijua jf mwaka 2015 baada ya kuskia mwenzangu niliyekuwa naye kidato cha tano akizungumzia alivokuwa anaulizia selection jf then nikapata shauku ya kuijua vzr na hatimae nikja kujiunga 2017 baada ya kumaliza form six na nakumbuka post yangu ya kwanza niliulizia kuusu course za chuo ila majibu niliyoyapata nayajua mwenyew japo pia nilighadhabika sana ila baadae nilianza kuendana na mfumo mpaka sasa...bado nipo napambana na aya maabdishi ya wazungu bado sijajua uko mbeleni pakoje...kuusu mahusiano bado nipo narukaruka sijapata pakutua
 
Nipo kwenye 21-25 years na niliijua jf mwaka 2015 baada ya kuskia mwenzangu niliyekuwa naye kidato cha tano akizungumzia alivokuwa anaulizia selection jf then nikapata shauku ya kuijua vzr na hatimae nikja kujiunga 2017 baada ya kumaliza form six na nakumbuka post yangu ya kwanza niliulizia kuusu course za chuo ila majibu niliyoyapata nayajua mwenyew japo pia nilighadhabika sana ila baadae nilianza kuendana na mfumo mpaka sasa...bado nipo napambana na aya maabdishi ya wazungu bado sijajua uko mbeleni pakoje...kuusu mahusiano bado nipo narukaruka sijapata pakutua
Muwe mnataja jinsia wakuu ili twende sawa.

-Ila wanawake acha tu sijawaona kwenye huu uzi. Wao hawataki kuonekana wakubwa wala wadogo. Wanapenda katikati saana.
 
Back
Top Bottom