Vijana tusiozidi miaka 25 ambao tupo humu JF tukutane hapa

Vijana tusiozidi miaka 25 ambao tupo humu JF tukutane hapa

Naweza kusema kuwa Mimi.ndiyo nilikuwa member mdogo sanaa lakini michango yangu ilikuwa kama.mtu mwenye master

niliifahamu jf nikiwa darasa la 5 enzi hizo tunafundishwa somo la TeHAMa
nikiwa darasa la 6 2007 ndipo nikajiunga na jf...enzi hizo kumiliki email na interview kwangu mimi haikuwa inshu...

baada ya harakati za maisha + O level nikasahau username na password coz ilikuwa kitambo kweli

mwaka 2012 nikiwa nimemaliza 4m 4 mikajiunga tena ..lakini safari hii nilikuwa ndo nabalehe so nikawa mzee wa fiksi sanaa jukwaani mara kujifanya wa kishua kumbe hovyo tu..
kuna manzi fulani mtu mzima akajaa kwangu sasa baada ya kuonana naye...alinijibu SHOmbo sanaa na kusema ataniumbua humu jukwaani
hapo ni ka mute jf kwa muda wa miaka 2.....pasipo kuingia humu kwa kuhofia
mpaka kuingia 2014 baada ya kumaliza nikajiunga tena na hii I'd ambayo imebadilishwa zaidi ya mara 20 sasa...

maisha ya sasa yapo guda
nipo UDSM CoET Civil mwak wa 4..
Hahahaa, very funny
 
Acha zako mkuu kwa hiyo unawazidi wasomi wa vyuo vikuu kwa akili kabisa....wale vijana naowaona pale dasalama na wadada wazuri wazuri??
Hahhaha sasa mkuu wasomi wengi hawaelimika, elimu inaelekea kuwashinda ..kwanin nisiseme Nina akili nying zaid yao?! Uku mtaani zile A na B+ wanazoandikiwaga kweny Yale mavyeti yao hazina maana yeyote. Wakitoka uku machuo wakija mtaani ni kuanza upya tu..

Sasa wengi wanafeli wana ona aibu ..
 
21 nimeondoka nyumbani kibishi ila bado wananihitaji ,.
mom anadai me mdogo natakiwa niendelee kukaa home , maisha bado sijayajenga ila nashaanza kuuona mwanga mbeleni ,
nipo kwenye mahusiano japo siyachukulii serious kivile ,.

Vijana wenzangu huu ndo mda wa kutafuta kwa bidii, jasho,maumivu, tukishindwa age hii sijui kwenye 30s tutaeza toboa , .
 
SIJAONA UBAYA WOWOTE HAPA

SASA NASHANGAA HII COMMENT INAVYOSHAMBULIWA.. MADOGO HAWATAKI
KUITWA MADOGO KAzi kweli kweli
Sijui wameelewaje mkuu hata mimi nashangaa....wala sikufikiri kama ingechukuliwa negatively kiasi hicho.
 
Kutukana dhambi. Mm situkan
Kama ni hvo acha nikae kmya
Kwani akili yako na ya kenge vinatofautiana nini wee Matako...halafu acha shobo sikujui mimi situmii izo mambo za nyuma wape wengine.
 
Oy oy niaje wazee.
Mm ni wakiume nimepata kuijua JF 2014 ila officially Nilianza kua na account 2015 .

Nimemaliza chuo mwaka huu diploma .

But nashukuru nimepata sehemu najitolea kwenye taasisi ya serikali tunapewa 15 per day . fresh from school.

Naishi kwa wazazi bado sijatoka home ila mambo yakikaa vzr 2019 nasepa naanza kujitegemea.

Sijaoa ila Nina demu born96
 
Back
Top Bottom