Vijana tusiozidi miaka 25 ambao tupo humu JF tukutane hapa

Usirudishe mpira kwa kipa mkuu
 
hapa nina notebook,nalist majina yenu,,,,,mnatongoza huko PM watu ambao tunaweza kuwa vibibi vyenu..😕
Kawaida tu.
Inategemea unatongoza kwa ajili gani.
But mapenz hayana umri.
Unaweza kupenda mkubwa au mdogo.

Na humu wote hatujuani sura.
 
Bulldog hutamsahau kwa alichokufanyia hahaa
 
JF nilifaham nikiwa na miaka 15 mwaka 2012 nilikua kidato cha 3 ..
Nilisha fungua ID kama 2 apo nyuma ila zote nilisha sahau nywila zake.
The Bold ni moja ya watu walio fanya nijiunge JF kwa zile Nyuzi zake
 
Ilikuwa 2011 nlianza kuifahamu kupitia kaka wa rafiki yangu.. kipindi hicho sikuwa na cm wala pc nlikuwa natumia techno bapa hivi ..kupitia operamini nkawa naingia na kusave simulizi mbali mbali na baadhi ya materials kwenye thread ya jukwaa la Elimu ..hata hivo mwezi wa 11 ndo nimejirejista rasmi kama memba wa JF ..Huwa napenda kuwa humu ndani kwasababu ya utofauti mkubwa na social network zingine tu
 
Kuna watu wengi saana pia walionifanya niipende JF nkimtaja mmoja wengine watajiona nothing ...ila ni weengi saana huwa wanaandika point sana humu ndani
 
Niliwahi kuwa member wa jf mwaka 2013

Nikajipa break mpaka mwaka nmejiunga tena lakini cha kushangaza hata miaka 25 sijafikisha
 
Wakuu member tajwa hapo juu wa uzi huu huwa tuna mambo mengi sanaa...
Ukipata penzi linalo noga (mahusiano) ni rahis kupotea JF,

Ukiwa masomon kipind cha paper ni rahis kupotea JF

Ukisafir ukaenda sehemu ambayo hujaenda siku nying pia kukaa na cmu sana ni ngumu.

Ukianza biashara za kutwa nzima,

Muda wa mpira...
Kukaaa vijiweni..
Ku watch movies
Kufanya kazi za hapa na pale,
Kutafuta hela kwa nguvu,
Mala nyingi twaweza kuwa busy.

Mimi naona tunahitaji sana ushirikiano kwa wakati huu ili kila mmoja wetu aone umuhimu wa uzi huu tajwa hapo juu.

Na mimi naona walio na rika hili tajwa hapo juu ndio watu muhimu zaidi humu JF, ukiacha kwa mambo ya siasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…