Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
We hujui watu wa kaskazini nn Wana mengi mno kweny utajiri wao!!!Kwao utajiri unathamani kuliko utu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We hujui watu wa kaskazini nn Wana mengi mno kweny utajiri wao!!!Kwao utajiri unathamani kuliko utu?
Hakuna shortcut kwenye maisha mkuu ni lazima upitie vipengele. Ila vijana wa sasa wanataka baada ya mwaka wawe kama bakresaaUjinga huo sifanyi kabisa wanaweza kuwa wamefanya tamaaa mbaya sana hata ufanyaje uwe tajiri ipo siku utaporomoka kwa kasi!!!
Kama wanbisha nimekaa na jamaa wawili mmoja anajiita kikore mwingine mangi walikuwa na mabars town mkoa wa Tanga .Mwambie huyo labda ajui.
Nenda old Moshi mkuu ukajionee mazezeta kibao karibia kila nyumba. Kaskazini sio poa aiseeKama wanbisha nimekaa na jamaa wawili mmoja anajiita kikore mwingine mangi walikuwa na mabars town mkoa wa Tanga .
Kati ya hao jamaa kikore mwanae wa kwanza kamfanya chizi yaani zombie kabisa kwa ajili ya utajiri halafu eti analipeleka shule za gharama toto chizi kabisa linatoa udenda na mzuri kisuri .
Mwingine nae mwanae kamfanya ivyo ivyo zombie ukienda dukani unalikuta linacheka tu .
Tatizo sijamtaja jina so kumjua ni vigumu sanaaa.[emoji1787][emoji1787]Me : dakika mbili baada ya kuniambia siri zako
View attachment 2322021
Kwani hakunaga wavuta bangi mashoga?Hapana jamaa namjua sanaa, tulikua tunavuta nae bange mno chuo[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Maziwa yamepelea sana na sukari umebania wakati ulikuwa unajua watu watakunywa bila kitafunio.[emoji1787][emoji1787] Siwezi huo upuuzi hata siku moja, huyo jamaa alikua room mate wangu so siri nyingi za kwao na kwetu tulikua tunajadiliana sana baada ya kumaliza prep.
Yani jamaa anasema kigangula aliwaambia wakiwa wanafanya wasionekane na mtu yoyote yule. Ikiwa watakosea kuonekana basi mizimu itakua imechukia Sanaa.Sasa baada ya mama wa jamaa kuwafuma ikawaje utajiri ukaanza kuporomoka?? Sharti ilikuwa ni kuingiliana na walilifanya, au ilitakiwa wasionwe na mtu mwingine wanapoingiliana? Ikingili