Vijana wa 2000's namna wanahesabu mapito yao! Gen-Z

Vijana wa 2000's namna wanahesabu mapito yao! Gen-Z

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
15,835
Reaction score
23,776
i.jpeg
Vijana wa mwaka 2000 mpaka sasa inasemekana ni hatari sana. Wanahitaji ushauri. Vijana hawa wamekuwa wakionekana wakiwa wanashindana na "walipotokea"

Huyu mwamba kwenye picha, kila akipita na Mdada anahakikisha anabaki na "kufuli"lake na kulibandika ukutani!
SWALI KWA MSOMAJI: Je, wewe nguo zako zingebandikwa kwa vijana , zingekuwa ngapi mpaka sasa?
 
Tena dogo ni mzee wa BBW 4×4 hizo size mmh ka Mary Joy tu ndo katakua kanachezea kilo 75 apo ingine mitulinga
 
Back
Top Bottom