Vijana wa CHADEMA Arusha wagoma kushiriki maandamano kuhusu suala la Mbowe

Vijana wa CHADEMA Arusha wagoma kushiriki maandamano kuhusu suala la Mbowe

Muwakilishi wao ni nani anaetambulika na Chama? Kama hamna Kiongozi wa ngazi ya juu Kikanda huo ni utopolo tu kama mwingine. Makamanda hawana kauli mbili mbili.
 
Habari za CHADEMA zitangazwe na TBC!!!
Hao ni parody. Besides, hao CCM kamwe hawajawahi na mawazo wao huunga mkono kila kitokacho kwa viongozi wao. Hata kesho viongozi wao wakiamks na kusema wanaanzisha mchakato wa kikatiba na wao wataunga mkono....

Hizi Habari wakawaambie ndege
 
Nimeona hapa TBC kuwa hawaungi mkono madai ya Katiba wala maandamano kwenda mahakamani kifupi wako kivingine na chama chao.
Walitumiwa nauli waende dar wakagoma.
Haya mtifuano huo ndani ya cdm
Hivi CCM mbona mnaogopa katiba mpya kiasi hiki? SIJUI mtaikwepaje?
 
Ujinga huu tulipumzika umerudi kwa kasi sana
 
Kuna baadhi ya wanaccm wanaipinga katiba, alakini hawajui faida yake. So acha waendelee kupinga huku wakubwa wakinufaika na familia zao, wanamiliki majumba ya kifahari, magari ya kifahari na kusafiri safari za nje kula bata na familia zao. Mtanzania masikini na asiejitambua anang'ang'ana katiba ya zamani iendelee 😂😂😂
 
Ndio unapoambiwa ccm ni chama Cha mapumbavu
Kuna baadhi ya wanaccm wanaipinga katiba, alakini hawajui faida yake. So acha waendelee kupinga huku wakubwa wakinufaika na familia zao, wanamiliki majumba ya kifahari, magari ya kifahari na kusafiri safari za nje kula bata na familia zao. Mtanzania masikini na asiejitambua anang'ang'ana katiba ya zamani iendelee 😂😂😂
 
Tbccm mngekuwa mnatangaza kwa mizania sawa habari za chadema Kama mnavyotangaza za maccm yenu tungetilia maanani hii taarifa Ila kwakuwa nyie mnatangaza hasi tupu bakini na huu ushuzi wenu
 
Simple Logic, wangekua Chadema kweli mbona Polisisiem wangeshawakamata! Yaani Chadema hata kwenda kusali wanakamatwa, Leo ndio waachie waongee na taarifa irushwe TBC? Ni mwendawazimu peke yake atakayekubali hiki
Kabisa, halafu ccm wanatumia mbinu za kizamani ile mbaya. Kuna wengine huku mitandaoni nao wanajifanya ni wanacdm, lakini wao wanaishambulia cdm tu. Na huwa wanajisahau wakiona ccm inapewa vya moto wanaingia kuitetea😁😁 mfano kamanda asiyechoka
 
Sijawahi kuona chombo cha habari cha kipuuzi kama TBC, hii ni Mara ya pili wanarusha hizi habari za kijinga. Siku tukiwatia vidole vya macho hao wanaojiita Vijana wa Chadema TBC waripoti pia
Magaidi yana umoja mno .

Anayeangushwa na konyagi alafu akasingizia amepigwa na wasiojulikana ni gaidi tu.
 
Simple Logic, wangekua Chadema kweli mbona Polisisiem wangeshawakamata! Yaani Chadema hata kwenda kusali wanakamatwa, Leo ndio waachie waongee na taarifa irushwe TBC? Ni mwendawazimu peke yake atakayekubali hiki
Ongeza sautiiiiii
 
RIOBA unadhalilisha sana chombo cha Umma.
Hata PhD ulipataje kama unabariki huo uhuni wakati kila mwenye akili anajua ujinga wenu.
 
Ndio unapoambiwa ccm ni chama Cha mapumbavu

Hatuna umoja, lau tungeungana vyama vyote kwa pamoja tukapaza sauti katiba mpya ipitishwe, naamini ingepitishwa. Lakini mgawanyiko unatuponza.

Wakati ule wanapandisha bei za bundle wananchi walipiga kelele mno kwanini wamepandisha bundle, but kwenye hili swala la kudai katiba mpya na ndiyo muhimu zaidi kuliko la bundle hawalalamiki wakati ni haki yao.
 
Nimeona hapa TBC kuwa hawaungi mkono madai ya Katiba wala maandamano kwenda mahakamani kifupi wako kivingine na chama chao.
Walitumiwa nauli waende dar wakagoma.
Haya mtifuano huo ndani ya cdm

Sio vijana wa Arusha hao, labda Manzese
 
Wangevua hayo mabarakoa ili tuwaone sura zao vizuri wasije wakawa vijana wa jeshi la kijani🤣
images - 2021-07-24T170401.860.jpeg
 
Wamedai walitumiwa nauli ili waende Dar,

Mbinu zingine zakishamba hadi aibu.

CCM mmenunua wabunge na madiwani sawa hivi mnajinunua wenyewe halafu mnatoka nje kuwa mmenunuliwa.
 
Back
Top Bottom