Vijana wa CHADEMA Arusha wagoma kushiriki maandamano kuhusu suala la Mbowe

Vijana wa CHADEMA Arusha wagoma kushiriki maandamano kuhusu suala la Mbowe

CHADEMA ARUSHA YA LAZIMISHA VIJANA KUSHIRIKI MAANDAMANO, VIJANA WAGOMA WATOA MSIMAMO MKALI KUHUSU SUALA LA MBOWE

Mkoani Arusha.

Moja ya mikakati mikubwa inayoendelea kufanywa na CHADEMA nchini ni pamoja na kuendelea kuratibu zoezi kubwa la maandamano kwenda mahakamani kwa ajili ya kuishinikiza mahakama kumuachia huru mwenyekiti wa chama hicho anayekabiliwa na kesi mbaya ya Ugaidi nchini yenye mikakati ovu dhidi ya viongozi wa nchi na raslimali za umma kwa mjibu wa mkuu wa jeshi la polisi nchini kamanda Saimon Sirro ambaye alisikika akizungumza katika mahojiano ya televisheni hivi juz....
Pendo, Pendo, Pendooooooooooo..!!!!
 
Yani wanaonekana kabisa ni wa kutengenezwa.Wahamie ccm kwa amani.Aliondika slaa sembuse hao sisimizi
 
Nakiona kifo Cha chadema kileee

Nimecheka kwa nguvu, bado vijana wa ccm wanatumia hizo mbili za kizee kuhadaa umma? Sio bure ccm inategemea zaidi vyombo vya dola, maana vijana ndio hawa wanaweza kizee.
 
Mambo ya Lameck Nchemba hayo! Haya ndiyo mambo anayaweza. Sio ya nafasi kubwa kama aliyonayo sasa!
 
Tunashukuru vijana kwa kuelewa kauli za wazazi wenu.

Cdm wakienda hata kwenye nyumba za ibada wanakamatwa, ndio itakuwa kufanya press conference waachwe? Kweli nimeamini ccm ni chama cha wazee, na vijana wake nao wamejikuta wanatumia mbinu za kizee. Mtategemea mbeleko ya vyombo vya dola kwa muda mrefu kama vijana wenu ndio hawa wanaotumia mbinu za kizee hivi.
 
Kati ya waliojitokeza leo kuandamana hakuna kiongozi wa kata, shina wala taifa aliejitokeza kuandamana. Nafikiri hata wale waliokamatwa sasa hivi wanajilaumu baada ya kugundua kuwa viongozi wakuu wa chama hicho kina Mnyika, Mwalimu na wengineo hawakufika maandamanoni. Hili liwe somo kwa nyumbu wengine kabla ya kuandamana wahakikishe viongozi wa chama nao wanashiriki.

Uza ubongo huo dogo maana unakaa nao kwa hasara. Mnyika alikuwa mahakamani, amka maana kumekucha usije ukachafua godoro.
 
Nimeona hapa TBC kuwa hawaungi mkono madai ya Katiba wala maandamano kwenda mahakamani kifupi wako kivingine na chama chao.
Walitumiwa nauli waende dar wakagoma.
Haya mtifuano huo ndani ya cdm
Hivi wewe kichaa, unatarajia kuaminiwa na nani labdawendawazimu wenzako tu. Toa ushuzi wako hapa halafu kachambe tena
 
Sijawahi kuona chombo cha habari cha kipuuzi kama TBC, hii ni Mara ya pili wanarusha hizi habari za kijinga. Siku tukiwatia vidole vya macho hao wanaojiita Vijana wa Chadema TBC waripoti pia
Uwezo huo unao wewe gaidi. Fanya wakuunganishe na magaidi wenzako huko Mahakamani
 
Wamedai walitumiwa nauli ili waende Dar,
Mbinu zingine zakishamba hadi aibu.
CCM mmenunua wabunge na madiwani sawa hivi mnajinunua wenyewe halafu mnatoka nje kuwa mmenunuliwa.
Vipi leo ulienda kusikiliza kesi ya Gaidi Mbowe?
 
Nimeona hapa TBC kuwa hawaungi mkono madai ya Katiba wala maandamano kwenda mahakamani kifupi wako kivingine na chama chao.
Walitumiwa nauli waende dar wakagoma.
Haya mtifuano huo ndani ya cdm
Story za kawaida hizi,hata Mandela alisalitiwa,ila sio ajabu hayo ni Mawazo yao,ni haki yao.ndio maana ya Demokrasia na maendeleo,Chadema.
Ila walete hoja,ila wajiulize kwa nini wanokwenda kinyume na sera ya kitaifa ya Chadema ndio wanapewa nafasi TBC?
Wawe makini wasinunuliwe na vipande thelathini vya pesa.
 
Vipi leo ulienda kusikiliza kesi ya Gaidi Mbowe?
Kwanini nisikilize wakati vyombo vya habari vyote ambavyo huwa haviwezi kuripoti issue za upinzani Leo vimeripoti.
 
Nimeona hapa TBC kuwa hawaungi mkono madai ya Katiba wala maandamano kwenda mahakamani kifupi wako kivingine na chama chao.
Walitumiwa nauli waende dar wakagoma.
Haya mtifuano huo ndani ya cdm

chanzo chako cha habari ni Tbc [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Simple Logic, wangekua Chadema kweli mbona Polisisiem wangeshawakamata! Yaani Chadema hata kwenda kusali wanakamatwa, Leo ndio waachie waongee na taarifa irushwe TBC? Ni mwendawazimu peke yake atakayekubali hiki
Hawa jamaa ni hewa kabisa. Baada ya ile sinema yao ya Dar kubuma wameona wahamishie Arusha 😂😂
 
Sijawahi kuona chombo cha habari cha kipuuzi kama TBC, hii ni Mara ya pili wanarusha hizi habari za kijinga. Siku tukiwatia vidole vya macho hao wanaojiita Vijana wa Chadema TBC waripoti pia

Kwa habari kama hiyo huwezi kuwapenda hata kama wangekuwa BBC!
 
Magaidi yana umoja mno .

Anayeangushwa na konyagi alafu akasingizia amepigwa na wasiojulikana ni gaidi tu.
Lakini na nyie sijui mnakwama wapi na kwa namna gani!!!!!!!. Bendera ya covid ivuma kuelekea kaskazini magharibi, woooote mkaenda huko huko, Sasa inavuma kwenda mashariki ya mbali, na ninyi mmekimbilia huko huko.
 
Back
Top Bottom