Vijana wa CHADEMA Arusha wagoma kushiriki maandamano kuhusu suala la Mbowe

FAKE NEWS! Huchoki kuendeleza UZUSHI humu!?
 
Wamevamiwa na kukamatwa all over the couuntry mpaka kuvamia office tupu Dodoma ujue kuna kitu
 
Sijawahi kuona chombo cha habari cha kipuuzi kama TBC, hii ni Mara ya pili wanarusha hizi habari za kijinga. Siku tukiwatia vidole vya macho hao wanaojiita Vijana wa Chadema TBC waripoti pia
Watu awashutuki, tz Mambo Sio shwari ,ukiona unapofanya KAZI ,Wanaendekeza ujinga bora kuondoka hapo Kuna mda naona unakuja mnaoshirikia na kuunga juhudi za watesi KWa watu ipo siku watumishi kwenye ofisi hizo mtaacha mtatamani kimbia miji YENU , Nyie mnaishi mitaani , kaeni mbali , Hali Sio Hali naona watu Sasa wamevimba kilichobaki ni kupasuka , KWa NJIA ipi sijui
 
Simple Logic, wangekua Chadema kweli mbona Polisisiem wangeshawakamata! Yaani Chadema hata kwenda kusali wanakamatwa, Leo ndio waachie waongee na taarifa irushwe TBC? Ni mwendawazimu peke yake atakayekubali hiki
Kwa habari kama hiyo huwezi kuwapenda hata kama wangekuwa BBC!
 
Nimeona hapa TBC kuwa hawaungi mkono madai ya Katiba wala maandamano kwenda mahakamani kifupi wako kivingine na chama chao.
Walitumiwa nauli waende dar wakagoma.
Haya mtifuano huo ndani ya cdm
Very cheap propaganda!

Yaani uko CCM kumejaa vichaa wengi!

Ata mtoto wa kindergarten anawazidi ubunifu.
 
Simple Logic, wangekua Chadema kweli mbona Polisisiem wangeshawakamata! Yaani Chadema hata kwenda kusali wanakamatwa, Leo ndio waachie waongee na taarifa irushwe TBC? Ni mwendawazimu peke yake atakayekubali hiki

Sasa unaanzaje kumkamata mtu ambaye ameamua kuwapinga wenzake ambao wewe ndiyo unapambana kuwadhibiti? Kufanya hivyo lazima uwe mwendawazimu!
 
Vijana hao wameamka....

#KaziIendelee
#NchiKwanzaKablaYaYeyoteYule
 
Naona nabishana na wale wale. Ok

Mimi sio mtumishi wa TBC wala mwanachama wa chama chochote cha siasa, lakini yapo mambo mengi ya CHADEMA ambayo sikubaliani nayo kwasababu yanakinzana na kile ambacho kingefanyika kama akili na busara za kawaida zingetumika!
 
Mimi sio mtumishi wa TBC wala mwanachama wa chama chochote cha siasa, lakini yapo mambo mengi ya CHADEMA ambayo sikubaliani nayo kwasababu yanakinzana na kile ambacho kingefanyika kama akili na busara za kawaida zingetumika!
Kwa umri wangu wa JF nawajua sana watu was kalba yenu, you don't need to explain yourself.
Busara ipi? Ungekua na akili ya kawaida tu, ungeelewa kuwa kilichofanyika ni uongo, hakuna Mwanachadema atafanya Mkutano asikamatwe na Polisi, sasa hawa walifanyia wapi?

Kama wanachama kwenda kusali just kusali tu wanakamatwa (upuuzi wa wapuuzi) Leo hii ndio waitishe press wasikamatwe?

Sasa, next time tutawakamata na kuwatia bakora za matakoni ndio utanielewa kuwa huu ni upuuzi wa ccm
 

You’re just recycling a claim that doesn’t hold any water. Unamkamataje mtu ambaye ameamua kushirikiana na wewe? Hata kwenye battlefield humpigi adui ambaye ameamua kuwa upande wako!
 
You’re just recycling a claim that doesn’t hold any water. Unamkamataje mtu ambaye ameamua kushirikiana na wewe? Hata kwenye battlefield humpigi adui ambaye ameamua kuwa upande wako!
Hebu tufanye hivi, amini kile unachoamini, ni Uhuru wako! Siwezi kumuelimisha MATAGA
 
We kanjanja tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…